CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Na wewe anakulipa milioni ngapi kumsafisha huyo fisadi papa?Unapokea shilingi ngapi kwa kumchafua Waziri Salum?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe anakulipa milioni ngapi kumsafisha huyo fisadi papa?Unapokea shilingi ngapi kwa kumchafua Waziri Salum?
Waziri Kumbe umefungua ID mbili kujitetea?Unapokea shilingi ngapi kwa kumchafua Waziri Salum?
Unapokea shilingi ngapi kumchafua Mzalendo Waziri Salum?Waziri Kumbe umefungua ID mbili kujitetea?
Kudadek
Wazalendo hawatetewi kwa malipo kama mnavyotumia nguvu kubwa kuwapamba mafisadi, walafi wa madaraka na vibaraka wa mabeberu.Na wewe anakulipa milioni ngapi kumsafisha huyo fisadi papa?
Waziri Salim chapa kazi. Sindano inawaingia mafisadi na chawa wao. Dawa ni hiyo hiyo usibadili mpaka ukurutu wa ufisadi na chuki uwatokeWAZIRI Rajab Salum ameendelea kutekeleza kwa uaminifu maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kupambana na ufisadi na uhujumu uchumi, licha ya kuwepo kwa mashambulizi ya uzushi na propaganda zinazolenga kumchafua.
Wanaharakati wa mitandaoni kama Maria Sarungi, Hilda Newton na wengine, wamelipwa mamilioni na mafisadi ili kumshambulia kwa lengo la kudhoofisha juhudi zake za kutekeleza majukumu ya kumsaidia Mama kusimamia rasilimali za taifa na kuwalinda Watanzania dhidi ya hujuma za kifisadi.
Salum amesimama imara kwa uzalendo na weledi, huku akiendelea kuwanyima usingizi mafisadi kwa bidii.
Wananchi wanapaswa kuunga mkono watu kama Waziri Salum, ambao wanasimamia maslahi ya taifa kwa uadilifu, ili kuhakikisha juhudi zao zinafanikiwa na kulinda uchumi wetu dhidi ya maadui wa maendeleo.
Ndimi Kada Mzalendo
Kama anachafuliwa si aende mahakamani akashtakiWAZIRI Rajab Salum ameendelea kutekeleza kwa uaminifu maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kupambana na ufisadi na uhujumu uchumi, licha ya kuwepo kwa mashambulizi ya uzushi na propaganda zinazolenga kumchafua.
Wanaharakati wa mitandaoni kama Maria Sarungi, Hilda Newton na wengine, wamelipwa mamilioni na mafisadi ili kumshambulia kwa lengo la kudhoofisha juhudi zake za kutekeleza majukumu ya kumsaidia Mama kusimamia rasilimali za taifa na kuwalinda Watanzania dhidi ya hujuma za kifisadi.
Salum amesimama imara kwa uzalendo na weledi, huku akiendelea kuwanyima usingizi mafisadi kwa bidii.
Wananchi wanapaswa kuunga mkono watu kama Waziri Salum, ambao wanasimamia maslahi ya taifa kwa uadilifu, ili kuhakikisha juhudi zao zinafanikiwa na kulinda uchumi wetu dhidi ya maadui wa maendeleo.
Ndimi Kada Mzalendo
Waziri hajajibu chochote isipokuwa wananchi tumegundua hila anazofanyiwa ndio maana tunamtetea. Si vema kuacha wazalendo wazushiwe uongo na propaganda za kuwachafua.Kama anachafuliwa si aende mahakamani akashtaki
TEA na jumba jeupe ni mbingu na ardhi,mabadiliko kwa huyu bwana lazima.Huyu jamaa Waziri Salum namfuatilia toka akiwa TEA ni mtu poa sana hanaga makuu
Neno Waziri kwa huyu jamaa limetumika kama jina ama cheo ??WAZIRI Rajab Salum ameendelea kutekeleza kwa uaminifu maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kupambana na ufisadi na uhujumu uchumi, licha ya kuwepo kwa mashambulizi ya uzushi na propaganda zinazolenga kumchafua.