Waziri Rajab Salum: Nguzo ya Uadilifu na Uzalendo Licha ya Fitina na Propaganda

Waziri Salim chapa kazi. Sindano inawaingia mafisadi na chawa wao. Dawa ni hiyo hiyo usibadili mpaka ukurutu wa ufisadi na chuki uwatoke
 
Kama anachafuliwa si aende mahakamani akashtaki
 
WAZIRI Rajab Salum ameendelea kutekeleza kwa uaminifu maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kupambana na ufisadi na uhujumu uchumi, licha ya kuwepo kwa mashambulizi ya uzushi na propaganda zinazolenga kumchafua.
Neno Waziri kwa huyu jamaa limetumika kama jina ama cheo ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…