mwana siasa
Senior Member
- Aug 28, 2007
- 119
- 6
nasikiliza bbc swahili LIVE naona hawajui bado au ndio wanasubiri waambiwe na IKULU.
mungu amlaze mahali pema.
Labda sahihisho kidogo tu, tuseme roho ZA marehemu..
hivi marehemu ana uhusiano wowote na mbatia wa nccr mageuzi