Waziri Selemani Jafo amsema Mkurugenzi wa SCOL Building Contractors Limited hadi akaanguka na kuzimia

Dunia inazunguka kwa kasi sana, hii barabara inazibwa viraka sasahivi kule swaswa
 
Hawa huwa hawamkimbizi kuku, akija mgeni, kuku ananyooshewa kidole anakuja mwenyewe kuchinjwa.
 
Unapochukua contract lazima utathmi uwezo wako.Haya amejitakia.Unatoa visingizio wakati umeshapewa contract,alitakiwa kuona vitu ambavyo vingen-mkwamisha mapema.Uchu wa pesa tu.
 
Arusha wamekusanya billon 30 mapato ya ndani 2023-24 mpaka mwezi jana wametumia billioni 7, zimebaki billion 23.

Kwa kanuni za serikali ikifika muda wa budget kuu wilaya na mikoa ambazo wamebakiza mapato yao ya ndani wanapeleka hazina.

Wakati huo huo wenyeji wanashida kibao na hizo hela zingewasaidia miradi ya jamii yenye tija au kuboresha mazingira ya jiji.

Bado kuna hela za miradi walizopewa na serikali kuu kiasi kikubwa awajatumia kwa kazi zilizopangiwa; maana yake nini budget ijayo mgao wao kutoka serikali kuu unaweza pungua.

Wanaopoteza ni wana Arusha na serikali inaonekana aifanyi kitu, hayo yamebainishwa na Makonda muda mchache aliokaa hapo.

Uzembe ni shida huko mikoani, huko ni Arusha tu hatujui mikoa mingine wamebakiza kiasi.

Moja ya mistake kubwa aliyofanya ‘bi-tozo’ katika uraisi wake ilikuwa kumtoa Jaffo TAMISEMI sio kwa hakuna hela huko watu wanakaa nazo tu hawafanyii kitu wanatafuta namna ya kuzitafuna kwanza.

Tanzania ukiwa mchapa kazi kwa faida ya wananchi upendwi, nchi inapenda watu wavivu na wazembe wasiowajibika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…