Waziri Simbachawene acha kuingiza raia kwenye ulinzi. Polisi wako wanafanya nini?

Waziri Simbachawene acha kuingiza raia kwenye ulinzi. Polisi wako wanafanya nini?

Rufiji dam

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2020
Posts
4,107
Reaction score
9,671
Hivi sasa kuna migogoro kila mahala juu ya kuwepo kwa ulinzi shirikishi. Mfano mtaani kwangu mwenyekiti wa mtaa ambaye ni wa CCM kawa mwizi kabisa maana analazimisha kila mkazi wa kitongoji mwenye nyumba alipe Tshs.10,000 kwa mwezi suala ambalo analibeba kama vile ni kesi.

Sasa hivi anatishia kupeleka watu polisi nikiwemo mimi. Tshs.10,000 kwa mwezi ni nyingi sana. Halafu hana walinzi wawili tu. Huyu mzee ni mwizi. Kama kilivyochama chake. Nimefanya utafiti sehemu nyingi wanalipa Tshs.3000.

Leo nimemsikia Waziri wa Mapolisi George Simbachawene akitoa maelekezo juu ya kuimarisha ulinzi kupitia ulinzi shirikishi. Waziri ajiulize mbona kipindi cha kudhibiti Wapinzani aombi ulinzi shirikishi?

Tanzania ina jeshi kubwa sana la polisi ambalo linafanya kazi kijinga mno. Hawa maarufu Tigo wapo busy na bodaboda mchana usiku wamelala sasa nchi ngani inaogopa kulinda Wananchi wake Usiku?

Hii nchi ina mambo ya hovyo sana. Waziri mjipange hata kuimarisha doria usiku, ili suala la ulinzi na kuanza mtaa uajiri Walinzi ni kuleta sokomoko mitaani.

Toeni ama zungumzeni na TAMISEMI waweke walinzi hata hawa SUMA JKT kila ofisi za serikali za mitaa italeta tija kuliko kuliacha kwa kila mjumbe ajipangei malipo yake. Na hili linawapata watu kugomea mambo ya ulinzi kutokana na kuchezea CHAGUZI zetu.
 
kuna advantage kiasi flani ya kutumia ulinzi shirikishi..
kwanza hawa jamaa wanawajua wezi wa mtaani so inakua rahisi kuwadhibiti..
pili inasolve swala la ajira kwa kiasi chake

nadhani swala la malipo ndo inabidi lifanyiwe kazi kuwe na kiwango sawa cha malipo kwa kaya zote na mahala popote nchini.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Hivi sasa kuna migogoro kila mahala juu ya kuwepo kwa ulinzi shirikishi. Mfano mtaani kwangu mwenyekiti wa mtaa ambaye ni wa CCM kawa mwizi kabisa maana analazimisha kila mkazi wa kitongoji mwenye nyumba alipe Tshs.10,000 kwa mwezi suala ambalo analibeba kama vile ni kesi.

Sasa hivi anatishia kupeleka watu polisi nikiwemo mimi. Tshs.10,000 kwa mwezi ni nyingi sana. Halafu hana walinzi wawili tu. Huyu mzee ni mwizi. Kama kilivyochama chake. Nimefanya utafiti sehemu nyingi wanalipa Tshs.3000.

Leo nimemsikia Waziri wa Mapolisi George Simbachawene akitoa maelekezo juu ya kuimarisha ulinzi kupitia ulinzi shirikishi. Waziri ajiulize mbona kipindi cha kudhibiti Wapinzani aombi ulinzi shirikishi?

Tanzania ina jeshi kubwa sana la polisi ambalo linafanya kazi kijinga mno. Hawa maarufu Tigo wapo busy na bodaboda mchana usiku wamelala sasa nchi ngani inaogopa kulinda Wananchi wake Usiku?

Hii nchi ina mambo ya hovyo sana. Waziri mjipange hata kuimarisha doria usiku, ili suala la ulinzi na kuanza mtaa uajiri Walinzi ni kuleta sokomoko mitaani.

Toeni ama zungumzeni na TAMISEMI waweke walinzi hata hawa SUMA JKT kila ofisi za serikali za mitaa italeta tija kuliko kuliacha kwa kila mjumbe ajipangei malipo yake. Na hili linawapata watu kugomea mambo ya ulinzi kutokana na kuchezea CHAGUZI zetu.
Kikubwa unabwabwaja tu hujui usemalo, pengine hukuwahi hata kupita mujibu wa sheria huko jkt au huna uelewa mpana wa maana ya ulinzi shirikishi.

Kingine kama elfu 10 yako unaona nyingi acha kutoa, mwambie mwenyekiti utajilinda mwenyewe kama hataki kamfungulie kesi.
 
Hivi sasa kuna migogoro kila mahala juu ya kuwepo kwa ulinzi shirikishi. Mfano mtaani kwangu mwenyekiti wa mtaa ambaye ni wa CCM kawa mwizi kabisa maana analazimisha kila mkazi wa kitongoji mwenye nyumba alipe Tshs.10,000 kwa mwezi suala ambalo analibeba kama vile ni kesi.

Sasa hivi anatishia kupeleka watu polisi nikiwemo mimi. Tshs.10,000 kwa mwezi ni nyingi sana. Halafu hana walinzi wawili tu. Huyu mzee ni mwizi. Kama kilivyochama chake. Nimefanya utafiti sehemu nyingi wanalipa Tshs.3000.

Leo nimemsikia Waziri wa Mapolisi George Simbachawene akitoa maelekezo juu ya kuimarisha ulinzi kupitia ulinzi shirikishi. Waziri ajiulize mbona kipindi cha kudhibiti Wapinzani aombi ulinzi shirikishi?

Tanzania ina jeshi kubwa sana la polisi ambalo linafanya kazi kijinga mno. Hawa maarufu Tigo wapo busy na bodaboda mchana usiku wamelala sasa nchi ngani inaogopa kulinda Wananchi wake Usiku?

Hii nchi ina mambo ya hovyo sana. Waziri mjipange hata kuimarisha doria usiku, ili suala la ulinzi na kuanza mtaa uajiri Walinzi ni kuleta sokomoko mitaani.

Toeni ama zungumzeni na TAMISEMI waweke walinzi hata hawa SUMA JKT kila ofisi za serikali za mitaa italeta tija kuliko kuliacha kwa kila mjumbe ajipangei malipo yake. Na hili linawapata watu kugomea mambo ya ulinzi kutokana na kuchezea CHAGUZI zetu.
Hv unategemea kbs mtu akuletee amani kwenye maisha yake binafsi? Leo hii ukiibiwa hapo nyumbani utakuwa umeibiwa wewe, na wewe ndiye utaathirika siyo Simbachawene wala Police yyt.

Kwenye mambo ya msingi mkuu tuambizane ukweli.
 
Kikubwa unabwabwaja tu hujui usemalo, pengine hukuwahi hata kupita mujibu wa sheria huko jkt au huna uelewa mpana wa maana ya ulinzi shirikishi.

Kingine kama elfu 10 yako unaona nyingi acha kutoa, mwambie mwenyekiti utajilinda mwenyewe kama hataki kamfungulie kesi.
Nina mashaka na akili yako.. Hujajibu hoja bali umeporomosha lawama na dhihaka tu..!!
 
Hv unategemea kbs mtu akuletee amani kwenye maisha yake binafsi? Leo hii ukiibiwa hapo nyumbani utakuwa umeibiwa wewe, na wewe ndiye utaathirika siyo Simbachawene wala Police yyt.

Kwenye mambo ya msingi mkuu tuambizane ukweli.
Kapimwe akili.
 
Nina mashaka na akili yako.. Hujajibu hoja bali umeporomosha lawama na dhihaka tu..!!
Hakuna hoja hapo ni utoto tu kaandika kwanza lugha ya kumshauri Waziri haiwezi kuwa ya kipuuzi namna hiyo, eti Waziri wa Mapolisi.

Watanzania acheni ujinga, kama mtu una ushauri wa maana andika vizuri huyo kiongozi unayemkusudia utamfikia
 
Hakuna hoja hapo ni utoto tu kaandika kwanza lugha ya kumshauri Waziri haiwezi kuwa ya kipuuzi namna hiyo, eti Waziri wa Mapolisi.

Watanzania acheni ujinga, kama mtu una ushauri wa maana andika vizuri huyo kiongozi unayemkusudia utamfikia
Nakubaliana na wewe kwenye lugha iliyotumika, lakini hiyo haikupi wewe uhalali wa kulaumu na kudhihaki..!! Unapoamua kutukana au kudhihaki kisa mtu mwingine kafanya usiyoyapenda, maana yake you do not have your own decision, inategemea tu mwingine kakuambia nini au kakufanyia nini..!!!
 
Mnapenda kulala kindezi mkibakwa mbio kufungua nyuzi huku.

Polisi hawatoshi kila siku mnaambiwa.
 
Kikubwa unabwabwaja tu hujui usemalo, pengine hukuwahi hata kupita mujibu wa sheria huko jkt au huna uelewa mpana wa maana ya ulinzi shirikishi.

Kingine kama elfu 10 yako unaona nyingi acha kutoa, mwambie mwenyekiti utajilinda mwenyewe kama hataki kamfungulie kesi.

nalipwa mshahara laki 2 kodiya pango elfu 80 ushuru wa taka elfu 10 ulinzi shirikishi elfu 10 malipo ya maji elfu 10 umeme elfu 20. kweli nitaishi na elfu 70 chakula na matumizi yangu madogomadogo bado tozo miamala na vocha bado usafiri wa dalala. serikali iache kuomba wananchi michango. nchi nyingi ulimwenguni takataka juu ya serikali ulinzi juu ya serikali umeme bei chini majibbei chini
 
Lipa pesa za usalama mtaani kwenu
Au wewe pia ni mtu wa vidole 2
 
Ambae Hana hela si anaingia kwenye ulinzi usiku?Why na wewe usi join Lindo?
Ambayo mostly ni siku moja Tu kwa mwezi?
 
kuna advantage kiasi flani ya kutumia ulinzi shirikishi..
kwanza hawa jamaa wanawajua wezi wa mtaani so inakua rahisi kuwadhibiti..
pili inasolve swala la ajira kwa kiasi chake

nadhani swala la malipo ndo inabidi lifanyiwe kazi kuwe na kiwango sawa cha malipo kwa kaya zote na mahala popote nchini.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Nijuavyo mm walinzi shirikishi ni sehemu ya askari.

Hivyo wanapaswa kulipwa na serikali sio RAIA.

Tanzania kuna mambo ya hovyo sana.
Kila siku kuwatwisha wanainchi mzigo wa maisha magumu
 
Ambae Hana hela si anaingia kwenye ulinzi usiku?Why na wewe usi join Lindo?
Ambayo mostly ni siku moja Tu kwa mwezi?
Uingie kwenye ulinzi ili iweje?
Kwani wale walinzi shirikishi waliopo police,
Wanalipwa na nani?

Police kama hawatoshi waajiri wengine.

Wasilete upuuzi wao..
 
Nijuavyo mm walinzi shirikishi ni sehemu ya askari.

Hivyo wanapaswa kulipwa na serikali sio RAIA.

Tanzania kuna mambo ya hovyo sana.
Kila siku kuwatwisha wanainchi mzigo wa maisha magumu
Source: >>>
Screenshot_20210810-061157_Soul.jpg
 
MASWALI YA KUJIULIZA KUHUSU ULINZI SHIRIKISHI.?

Kwanza nini maana ya ulinzi?

Mtu anayefanya kazi ya ulinzi anatakiwa awe na sifa zipi?

Na hao wanaolinda wanasifa sitahiki za kuitwa walinzi? Kiasi kwamba ikitokea labsha wanao uwezo wa kupambana na jambazi lenye bunduki?

Ulinzi ni taaluma kama zilivyo taaluma zingine za ualimu, Udaktari ,n.k huwezi ukasema Madaktari wapo wachache au walimu wapo wachache basi achukuliwe mtu yeyote aende akafanye kazi hizo et kws kigezo cha uchache wao!!!

Serikali ifanye utaratibu wa kuchukua vijana wa jkt na mgambo watawanywe maeneo yote tanzania wafanye kazi hizo.

Tena wao wanauwezo wa kutumia silaha.Hawawezi kumlinda mwizi.
 
Back
Top Bottom