Waziri Simbachawene amwagiza IGP kuwapangia kazi nyingine matrafiki wenye vitambi. Je, ni kosa askari kuwa na kitambi?

Polisi na wanajeshi wanakuwa na masaa ya mazoezi ya viungo kila wiki, haya yanahesabiwa katika masaa yao ya kazi. Kitambi ni ushahidi kuwa mmiliki alipokea pesa bila kufanya mazoezi ya viungo kwa mujibu wa mkataba.
😂😂
 
Kuna JWTZ mmoja alipangaga mtaani kwetu, alikuwa dili za udalali wa magari. Alikuwa bonge la tambi, mpaka nikawa na jiuliza ina maana ile miezi sita ukiimaliza unakula bata tu.
 
lakini mbona depo watu wanapigishwa tifu la kuondoa vitambi na kuwafanya wawe wepesi
 
Kuna watu tangu utoto ni wanene, hii dhana ya kwamba ukiwa mnene, ni dalili ya uzembe ,au ni dalili ya kuwa na maradhi sijui imezukaje duniani humu.Kwa hakika binadamu kuna wanene,wafupi warefu na wembamba.Walimu pia wapo wenye vitambi je wao rushwa wanatoa wapi?.Kwahiyo kama kuna polisi mwembamba anakula rushwa yeye atabaki?
 
Ila hao wenye vitambi wengi wao wakitubamba na makosa ndo tulikua tunawatoa buku tano,maisha yanaendelea....ila hawa wembamba tutajuta mbona na 30k zitatoka za kutosha
 
Ye hana kitambi aache wivu kwa wenye kitambi aangalie utendaji.
 
Nimeipenda daaah maana nilikuwa nawaza hivi.
 
Wasiishie kwa traffic tuu, kitambi ni aibu kwa askari wotee
Haiwezekani askari una limwili la hovyoo hovyoooo, tumbo kuuubwa mazoezi kufanya hutaki, unashindwa hata na raia
 
Hivi IGP hana kitambi? Naombeni picha yake
 
Kuna kisa fulani mwaka Jana cha askari polisi kumfuma my wife wake akigegedwa alikua na litambi pia. Japo hii polepole na Bashiru watakanusha maana madaraka yao yanawategemea sn
 
Hii serikali ina mambo ya hovyo sn. Sheria au amri inaweza kutolewa kwa ajili ya kumkomoa mtu mmoja tu.
Usikute simba au meko ana bifu na askari fulani kwa hiyo tamko linatoka likiwahusu wote
 
Kuna tofauti kubwa ya unene na kitambi
Mnene anakua kajaaa mwili mzima na kitambi kinajaaa tumboni kama mimba fulani ivi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…