Waziri Simbachawene amwagiza IGP kuwapangia kazi nyingine matrafiki wenye vitambi. Je, ni kosa askari kuwa na kitambi?

Hiyo vita tayari na uchonganishi kwa siro na askari wake
Siro siyo Mwanasiasa ni Mtu muelewa sana nina uhakika atajua namna ya kulifikisha suala lile kwa wasaidizi wake.

Ninachokiona hapa ni Simbachawene kupata aibu. Amri inaweza kutoka juu kupangua hoja yake. Huu nimwaka wa uchaguzi hatutaki kuwaudhi Wabeba Mbeleko Yetu.

Askari hupimwa kwa utendaji wao wa kazi na siyo kwa maumbile yao. Kwani maumbile yale yako kwa Polisi tu?? Hata kwenye nyanja zingine za Watumishi wa Umma wamejaa tele. Hata kwa kwa Madaktari ambao ni Wataalam wa afya wapo huko pia.

Tusibaguane/ tusinyanyapaane bali Tuchape Kazi Kweli kweli. Tutangurize masrai ya Taifa retu mbere.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namshauri Simbachawene askari wote wenye vitambi sio traffic peke yao wapelekwe FFU walau mwaka mmoja.
 
Kitambi hakihusiani na kazi ya utraffic hata kidogo hujawahi kumuona mtu mwenye kitambi lakini ni mwepesi kwenye vitendo kuliko hata huyo asiyenacho. Tatizo letu viongozi wetu wanataka sifa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
ha haaa dunia yote hakuna kibonge mwepesi au mwenyekitambi mwepes under ceteris paribus
 
Polisi na wanajeshi wanakuwa na masaa ya mazoezi ya viungo kila wiki, haya yanahesabiwa katika masaa yao ya kazi. Kitambi ni ushahidi kuwa mmiliki alipokea pesa bila kufanya mazoezi ya viungo kwa mujibu wa mkataba.
niliwahia andika kuwa kitambi ni miongoni mwa magonjwa yasiyoambukiza, so mazoezi si dawa ya kitambi.
Na ndo maana unakuta daktari na muuguzi wanavitambi ila wanamwambia mgonjwa punguza uzito/mwili, kiufupi ni aibu binadamu yoyote kuwa na kitambi au mwili mkubwa kuliko uwezo wake ni swala la kilamtu kujichunguza kujua chanzo cha tatizo lake then kuchukua hatua si mpaka daktari akwambie punguza wanga na sukari ndo ufanye hivyo.
 
kwakuhitimisha hili mtizamo wangu ni kuwa kitambi ni ugonjwa wa lishe na ni ugonjwa wa ukosefu wa elimu nzuri ya lishe.
ufahamu wa nini chakula na nini si chakula ndio kitu cha msingi sana, ila mwarubaini wa hili swala si kuwatoa tu, ni kuwatoa na kuwasaidia kupata afya nzuri ikiwa ni elimu nzuri ya namna ya kula na mazoezi kwa afya zao maana mazoezi si dawa ya kitambi
 
Ho wameshindwa korona sasa wanataka viwango vya ulevi?

Waziri ana ya kujibu.

Kwa hiyo mtu ukiota kitambi kazini uondolewe? Lugha zingine bana
 
✓Khahh hahahaha hahahaha hahahaha hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakuwa kawaonea traffic,vitambi vinatisha huko Police
 
Aweke Gym na trainers kila kituo cha polisi kama nchi nyingine wanavyofanya
 
Kwa observational research ndogo tu niliyoifanya trafic wengi wala rushwa ni wenye vitambi na matumbo makubwa asubuhi tu yale matumbo yanahitaji supu ya kuku au nyama na maji makubwa hiyo budget inatoka wapi na kwa mshahara gani wanaolipwa ? So kwa hawa kuomba rushwa kwao ndo suluhisho la kumanatain hivyo vitambi maan akitambu kina gharama sana
 
Hao wenye vitambi ndo wanatumia hivyo vitambi kuhifadhi vipesa vya kubrashia viatu na kununulia barakoa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…