“Lipo jambo moja lilisemwa na Mpina, ni jambo nzito na ukilichukulia kwa wepesiwepesi unaona amezungumza kitu chepesi lakini mpina amezungumza kitu kizito” na ni lazima tukijibu kama Serikali.
Waziri Simbachawene ametaja tuhuma za Luhaga Mpina kama ifuatavyo
Mpina anasema Ilani na Utekelezaji wa Serikali haviendani.
Mpina anasema kuna uvunjaji mkubwa wa Sheria bila hatua kuchukuliwa, yaani utawala ambao hauna sheria, No enforcement.
Mpina anasema Watanzania wanauawa.
Kuna wizi wa kutisha.
No Separation of Powers.
Teuzi za ajira bila ushindani.
Kuna ufisadi wa kutisha na akitolea mfano wa miradi ya SGR, JNHHP.
Deni la taifa halieleweki.
Viongozi hawaheshimia.
Your browser is not able to display this video.
Haiwezekani ukaacha kujibu kwasababu yeye ameshaipeleka kwenye Mitandao. ni nchi gani hiyo ambayo ina sifa kama hizi ikbaki stable kama ilivyo nchi yetu? nchi hiyo inaitwa Tanzania ambayo Demokrasia chini ya Uongozi wa Rais Samia iko kwenye viwango kuliko wakati mwingine wowote. Simbachawene ameongeza kuwa vyombo vya habari viko huru, vyama vya siasa viko huru vinafanya kikutano vinavyotaka na kuandamana vinavyotaka, halafu wewe unasema nchi hii imevurugugika.
Anachojaribu kusema Mpina hapa ni kuwa nchi hii kuna a failed State, anataka kusema kuna a weak state, sasa a weak state ina sifa zake. Sasa moja ya sifa ya a weak state ni kuwa mipaka yake haidhibitiki. Sasa katika ukanda huu kuna nchi ambayo mipaka yake inadhibitika kama Tanzania? Nchi haichezewi.
Tusijidharau kiasi hicho, ni dhambi kujidharau, na kama mtu una mambo yako ni vyema ukayazungumza kwa namna nyingine lakini si kwa mambo ya kitaalam kama haya.
Nchi yetu inaheshimika, Rais wetu anaheshimika na ndiyo maana kila anapokwena duniani wanampa shahada ya udaktari, ni heshima wanampa zawadi zote za kubeba wanaona hazifai ndiyo maana wanaamua kumpa za kichwani.
This global appreciation to a woman president haiwezekani ikadharauliwa na sisi wenyewe ndani ya nchi, ni lazima tujenge tabia ya kujiamini, kuheshimiana. Huwezi ukaizungumzia a failed state halafu ukasema unamheshimu Rais anayeiongoza hiyo nchi, hii ni insubordination.
Nchi yetu katika changamoto kubwa duniani, COVID -19 imepiga dunia nzima, nchi inatekeleza miradi mikubwa sana. Kule Meatu kwa Mbunge Luhaga Mpina Serikali imepeleka maendeleo lukuki halafu anasema this is a failed state, hapa nadhani kuna ajenda.
=============================
Minister Simbachawene: Mpina might have an agenda. President Samia's leadership is at its best compared to any other leadership time.
“There's one issue raised by Mpina; it might seem trivial, but it's significant,” said Simbachawene. He further detailed Mpina's allegations as follows:
Mpina claims the government's manifesto and implementation are misaligned.
He alleges significant law violations without any actions taken, indicating a lawless administration.
Mpina states that Tanzanians are being killed.
There's rampant theft.
No separation of powers.
Employment appointments without competition.
Severe corruption highlighted by projects like the SGR, JNHHP.
The national debt is unclear.
Leaders lack respect.
Simbachawene emphasized that under President Samia's leadership, democracy in Tanzania is at its peak. He defended the freedom of the press and political parties, stating that they can hold meetings and protests as they wish.
He suggests that what Mpina is implying is that Tanzania is a failed state. However, he challenges this notion by pointing out that the country's borders are secure, unlike other weak states. He stresses that it's sinful to belittle oneself and to speak ill of the country in such a manner.
He claims Tanzania is respected globally, and President Samia is held in high regard. This international recognition should not be undermined domestically. Speaking of a failed state while claiming to respect the president leading it amounts to insubordination.
Despite global challenges like COVID-19, Tanzania continues to implement major projects. Minister Simbachawene referenced developments in Meatu, initiated by MP Luhaga Mpina, as evidence of progress, questioning the motives behind Mpina's allegations.
However, the public has questioned this is response is not satisfactory and has not answered fully Mpina's claims.
“Lipo jambo moja lilisemwa na Mpina, ni jambo nzito na ukilichukulia kwa wepesiwepesi unaona amezungumza kitu chepesi lakini mpina amezungumza kitu kizito” Simbachawene.Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Ajira George Simbachawene wakati akijibu hoja za mbunge wa Jimbo la Kisesa Luhaga Mpina (CCM) wakati wa mjadala wa Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora) kwa Mwaka wa fedha 2024/2025
“Lipo jambo moja lilisemwa na Mpina, ni jambo nzito na ukilichukulia kwa wepesiwepesi unaona amezungumza kitu chepesi lakini mpina amezungumza kitu kizito”
“Lipo jambo moja lilisemwa na Mpina, ni jambo nzito na ukilichukulia kwa wepesiwepesi unaona amezungumza kitu chepesi lakini mpina amezungumza kitu kizito” na ni lazima tukijibu kama Serikali
Waziri Simbachawene ametaja tuhuma za Luhaga Mpina kama ifuatavyo
Mpina anasema Ilani na Utekelezaji wa Serikali haviendani.
Mpina anasema kuna uvunjaji mkubwa wa Sheria bila hatua kuchukuliwa, yaani utawala ambao hauna sheria, No enforcement.
Mpina anasema Watanzania wanauawa.
Kuna wizi wa kutisha.
No Separation of Powers.
Teuzi za ajira bila ushindani.
Kuna ufisadi wa kutisha na akitolea mfano wa miradi ya SGR, JNHHP.
Deni la taifa halieleweki.
Viongozi hawaheshimia.
Haiwezekani ukaacha kujibu kwasababi yeye ameshaipeleka kwenye Mitandao. ni nchi gani hiyo ambayo ina sifa kama hizi ikbaki stable kama ilivyo nchi yetu? nchi hiyo inaitwa Tanzania ambayo Demokrasia chini ya Uongozi wa Rais Samia iko kwenye viwango kuliko wakati mwingine wowote.
“Lipo jambo moja lilisemwa na Mpina, ni jambo nzito na ukilichukulia kwa wepesiwepesi unaona amezungumza kitu chepesi lakini mpina amezungumza kitu kizito” na ni lazima tukijibu kama Serikali
Waziri Simbachawene ametaja tuhuma za Luhaga Mpina kama ifuatavyo
Mpina anasema Ilani na Utekelezaji wa Serikali haviendani.
Mpina anasema kuna uvunjaji mkubwa wa Sheria bila hatua kuchukuliwa, yaani utawala ambao hauna sheria, No enforcement.
Mpina anasema Watanzania wanauawa.
Kuna wizi wa kutisha.
No Separation of Powers.
Teuzi za ajira bila ushindani.
Kuna ufisadi wa kutisha na akitolea mfano wa miradi ya SGR, JNHHP.
Deni la taifa halieleweki.
Viongozi hawaheshimia.
Haiwezekani ukaacha kujibu kwasababu yeye ameshaipeleka kwenye Mitandao. ni nchi gani hiyo ambayo ina sifa kama hizi ikbaki stable kama ilivyo nchi yetu? nchi hiyo inaitwa Tanzania ambayo Demokrasia chini ya Uongozi wa Rais Samia iko kwenye viwango kuliko wakati mwingine wowote.
Mimi niliona kama Simbachawene anasisitiza hoja za Mpina kwa kuzirudia kwa umakini ila baadae akajifanya kumpamba mama ili asionekane kama kamuunha mkono Mpina.
Ila kwa jicho la tatu Simbachawene kapigilia msumari hoja za mpina