Waziri Simbachawene: Huenda Mpina ana ajenda. Uongozi wa Rais Samia uko kwenye viwango kuliko wakati mwingine wowote

Waziri Simbachawene: Huenda Mpina ana ajenda. Uongozi wa Rais Samia uko kwenye viwango kuliko wakati mwingine wowote

Kinachonisikitisha ni kuwa Mpina hana maisha marefu ya kisiasa na pengine hata ya kimwili na roho........

Huu ukimya wa CCM na namna wanavyojibu tuhuma zake ni wazi kuwa Wana buy time dhidi yake..... lakini mioyoni mwao wamedhamiria ubaya..........

Sote tunawajua CCM linapokuja suala la madaraka na utawala roho zao zinakuwaje.......

Mungu aepushe mbali
Siamini kama Mpina hayajui haya.
 
Mpina hana maisha... Akitaka kuumaliza ubunge wake vizuri ale penseni yake vizuri aachane na hii njia anayo itumia.. Huyu 6*6 inamhusu
 
“Lipo jambo moja lilisemwa na Mpina, ni jambo nzito na ukilichukulia kwa wepesiwepesi unaona amezungumza kitu chepesi lakini mpina amezungumza kitu kizito” na ni lazima tukijibu kama Serikali.

Waziri Simbachawene ametaja tuhuma za Luhaga Mpina kama ifuatavyo
  1. Mpina anasema Ilani na Utekelezaji wa Serikali haviendani.
  2. Mpina anasema kuna uvunjaji mkubwa wa Sheria bila hatua kuchukuliwa, yaani utawala ambao hauna sheria, No enforcement.
  3. Mpina anasema Watanzania wanauawa.
  4. Kuna wizi wa kutisha.
  5. No Separation of Powers.
  6. Teuzi za ajira bila ushindani.
  7. Kuna ufisadi wa kutisha na akitolea mfano wa miradi ya SGR, JNHHP.
  8. Deni la taifa halieleweki.
  9. Viongozi hawaheshimia.
View attachment 2969225

Haiwezekani ukaacha kujibu kwasababi yeye ameshaipeleka kwenye Mitandao. ni nchi gani hiyo ambayo ina sifa kama hizi ikbaki stable kama ilivyo nchi yetu? nchi hiyo inaitwa Tanzania ambayo Demokrasia chini ya Uongozi wa Rais Samia iko kwenye viwango kuliko wakati mwingine wowote. Simbachawene ameongeza kuwa vyombo vya habari viko huru, vyama vya siasa viko huru vinafanya kikutano vinavyotaka na kuandamana vinavyotaka, halafu wewe unasema nchi hii imevurugugika.

Anachojaribu kusema Mpina hapa ni kuwa nchi hii kuna a failed State, anataka kusema kuna a weak state, sasa a weak state ina sifa zake. Sasa moja ya sifa ya a weak state ni kuwa mipaka yake haidhibitiki. Sasa katika ukanda huu kuna nchi ambayo mipaka yake inadhibitika kama Tanzania? Nchi haichezewi.

Tusijidharau kiasi hicho, ni dhambi kujidharau, na kama mtu una mambo yako ni vyema ukayazungumza kwa namna nyingine lakini si kwa mambo ya kitaalam kama haya.

Nchi yetu inaheshimika, Rais wetu anaheshimika na ndiyo maana kila anapokwena duniani wanampa shahada ya udaktari, ni heshima wanampa zawadi zote za kubeba wanaona hazifai ndiyo maana wanaamua kumpa za kichwani.

This global appreciation to a woman president haiwezekani ikadharauliwa na sisi wenyewe ndani ya nchi, ni lazima tujenge tabia ya kujiamini, kuheshimiana. Huwezi ukaizungumzia a failed state halafu ukasema unamheshimu Rais anayeiongoza hiyo nchi, hii ni insubordination.

Nchi yetu katika changamoto kubwa duniani, COVID -19 imepiga dunia nzima, nchi inatekeleza miradi mikubwa sana. Kule Meatu kwa Mbunge Luhaga Mpina Serikali imepeleka maendeleo lukuki halafu anasema this is a failed state, hapa nadhani kuna ajenda.

Pia soma
Kiwango kipi.. hivi kuna mtumishi utamwambia atakuelewa? Kipindi kipi kinazidi ubora wa kile cha kikwete??

Huyu simbachawenw bogus sana. Yeye anasimamia utumishi. Watumishi bado wanachangamoto kibao.


  1. Nauli za bodaboda kwao
  2. Nyumba kodi kwao
  3. Bima za afya zinasuasua
  4. Hali ya maisha ngumu bei juu kwao
Mnajua mtekeleza ilani ni mtumishi? Mnalijua hilo? Kwann mnamfanya toilet paper?

Mh. Mzee kikwete sio mjinga alipandisha mishahara kila miaka 2. Cheo miaka 3. Eti leo mnamuwekea bureaucracy eti oprus, eti pepmiso, eti mfumo..mnamnyenga mtumishi mkijishibisha na posho.. nurse anaposho ipi? Mwalimu wa darasani ana posho ipi...askari polisi wakaida ana posho ipi.

Mchengerwa anaweza akawa kijana pekee mwenye haiba bora kuliko chuichamwene...maneno mengi bure
 
Siamini kama Mpina hayajui haya.
Kujua ubaya wa adui yako ni jambo la kwanza na kujilinda dhidi yake ni jambo la pili........

Inawezekana Mpina ameamua kujinyanyua kisiasa Incase akitimuliwa au akikataliwa kura za maoni ndani ya chama.......

Mtaji wa mwanasiasa ni wananchi na ili awe mtaji analazimika kuziteka akili za wananchi kutokana na upepo unaovuma kwa wakati huo........

Nina hakika Mpina anajua nini anakifanya
 
Kwanikuna binaadam asiyekufa yeyekafakamawatu watuwengine wachunguze nini mbonanyerere Kafa mkapakafawotetuunde tumehuoniupuuzitoo
 
Kupewa shahada ni sababu wanamuona ni ........
Wapi umeona Putin, Xi, Sunak, Trump, Obama, Merkel wanapewa shahada za bure?
Je nchi zao na zetu zipi bora?
Sisi tushaonekana wapumbavu
 
ccmu mmebakiwa na ukabila ndo mtaji wenu , hamuez jibu hoja za watu , Mambo aliyofanya Jpm hata ww unanufaika ila ukabila na ujinga unakusumbua , siku ukiviondoa hivyo ndo utahundua namna unafeli
Najuiliza tu kama jpm asingeamua kujenga hilo bwawa leo serikali ya huyu mama engekuwa na lipi la kumaliza mgao wa umeme au tungeingiza majenerata mengine kama yale ya Richmond.
 
“Lipo jambo moja lilisemwa na Mpina, ni jambo nzito na ukilichukulia kwa wepesiwepesi unaona amezungumza kitu chepesi lakini mpina amezungumza kitu kizito” na ni lazima tukijibu kama Serikali.

Waziri Simbachawene ametaja tuhuma za Luhaga Mpina kama ifuatavyo
  1. Mpina anasema Ilani na Utekelezaji wa Serikali haviendani.
  2. Mpina anasema kuna uvunjaji mkubwa wa Sheria bila hatua kuchukuliwa, yaani utawala ambao hauna sheria, No enforcement.
  3. Mpina anasema Watanzania wanauawa.
  4. Kuna wizi wa kutisha.
  5. No Separation of Powers.
  6. Teuzi za ajira bila ushindani.
  7. Kuna ufisadi wa kutisha na akitolea mfano wa miradi ya SGR, JNHHP.
  8. Deni la taifa halieleweki.
  9. Viongozi hawaheshimia.
View attachment 2969225

Haiwezekani ukaacha kujibu kwasababi yeye ameshaipeleka kwenye Mitandao. ni nchi gani hiyo ambayo ina sifa kama hizi ikbaki stable kama ilivyo nchi yetu? nchi hiyo inaitwa Tanzania ambayo Demokrasia chini ya Uongozi wa Rais Samia iko kwenye viwango kuliko wakati mwingine wowote. Simbachawene ameongeza kuwa vyombo vya habari viko huru, vyama vya siasa viko huru vinafanya kikutano vinavyotaka na kuandamana vinavyotaka, halafu wewe unasema nchi hii imevurugugika.

Anachojaribu kusema Mpina hapa ni kuwa nchi hii kuna a failed State, anataka kusema kuna a weak state, sasa a weak state ina sifa zake. Sasa moja ya sifa ya a weak state ni kuwa mipaka yake haidhibitiki. Sasa katika ukanda huu kuna nchi ambayo mipaka yake inadhibitika kama Tanzania? Nchi haichezewi.

Tusijidharau kiasi hicho, ni dhambi kujidharau, na kama mtu una mambo yako ni vyema ukayazungumza kwa namna nyingine lakini si kwa mambo ya kitaalam kama haya.

Nchi yetu inaheshimika, Rais wetu anaheshimika na ndiyo maana kila anapokwena duniani wanampa shahada ya udaktari, ni heshima wanampa zawadi zote za kubeba wanaona hazifai ndiyo maana wanaamua kumpa za kichwani.

This global appreciation to a woman president haiwezekani ikadharauliwa na sisi wenyewe ndani ya nchi, ni lazima tujenge tabia ya kujiamini, kuheshimiana. Huwezi ukaizungumzia a failed state halafu ukasema unamheshimu Rais anayeiongoza hiyo nchi, hii ni insubordination.

Nchi yetu katika changamoto kubwa duniani, COVID -19 imepiga dunia nzima, nchi inatekeleza miradi mikubwa sana. Kule Meatu kwa Mbunge Luhaga Mpina Serikali imepeleka maendeleo lukuki halafu anasema this is a failed state, hapa nadhani kuna ajenda.

Pia soma
Magufuli mwenyewe mwaka 2019 akiwa Mara na Luhaga Mpina alikiri kuwa amemchagua Luaga Mpina kuwa Waziri wa Uvuvi kwa vile ni kichaa kama yeye. Ukibisha nakuletea YouTube hapa
 
Kinachonisikitisha ni kuwa Mpina hana maisha marefu ya kisiasa na pengine hata ya kimwili na roho........

Huu ukimya wa CCM na namna wanavyojibu tuhuma zake ni wazi kuwa Wana buy time dhidi yake..... lakini mioyoni mwao wamedhamiria ubaya..........

Sote tunawajua CCM linapokuja suala la madaraka na utawala roho zao zinakuwaje.......

Mungu aepushe mbali
Tunawafahamu lakini tusiombe wafike huko. Huwa hawataki ukweli, kwao ukweli ni mwiko.
 
Back
Top Bottom