kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Kwa umbea hamjamboUchunguzi wa nini mtu alikua anatumia pacemaker miaka 10!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa umbea hamjamboUchunguzi wa nini mtu alikua anatumia pacemaker miaka 10!!
Kwa umbea hamjamboUchunguzi wa nini mtu alikua anatumia pacemaker miaka 10!!
Wengine tunatamani hata kifo cha Mkapa nacho kichunguzwe lakini pia kifo cha Mahiga kichunguzwe imekuwaje nafasi yake ijazwe haraka haraka hata kabla hajazikwa! Kulikuwa na haraka gani?Waanze basi kufanya uchunguzi wa kifo cha mwendazake
Hakuna haja ya uchunguzi wa kifo cha jiwe. Jiwe alikufa kizembe kwa kutoheshimu masharti ya korona, badala ya kupiga chanjo yeye akawa anajifukiza. Matokeo yake korona ikamuua. Moyo ni kichaka tu cha kuficha aibu ya kifo cha kizembe.Waanze basi kufanya uchunguzi wa kifo cha mwendazake
KbsKwani anaye tumia pacemaker hawezi kuuwawa?
Maalim Seif naye alikuwa anatumia pacemaker?
Vipi kuhusu vifo vya ghafla vya watu wa karibu na Magufuli; Engineer Mfugale na John Kijazi!
Ngoma bado mbichi,CDF Mabeyo kaonesha wazi kuwa kwenye vyombo vya usalama jambo la Rais kufa kienyeji halijakaa sawa!!
Ccm washenzi Sana wenyewe ikikaribia Uchaguzi wanajifanya kugombana wanatupumbaza mwisho wa siku vyeo wanapeana hao hao wanateuana na Vizazi Vyao huku wakiendelea kuiba vya kutosha huko nyuma ya pazia,,kula Kuku na wakipeana chiazii na Whiskey za bei mbaya wakifurahia Kodi za Wanyonge
Hawa waparuane wafukuzane... Kidumu cha hiyo cartel kipasuke ndo pona pona ya waTanzania ilipo!“Lipo jambo moja lilisemwa na Mpina, ni jambo nzito na ukilichukulia kwa wepesiwepesi unaona amezungumza kitu chepesi lakini mpina amezungumza kitu kizito” na ni lazima tukijibu kama Serikali.
Waziri Simbachawene ametaja tuhuma za Luhaga Mpina kama ifuatavyo
View attachment 2969225
- Mpina anasema Ilani na Utekelezaji wa Serikali haviendani.
- Mpina anasema kuna uvunjaji mkubwa wa Sheria bila hatua kuchukuliwa, yaani utawala ambao hauna sheria, No enforcement.
- Mpina anasema Watanzania wanauawa.
- Kuna wizi wa kutisha.
- No Separation of Powers.
- Teuzi za ajira bila ushindani.
- Kuna ufisadi wa kutisha na akitolea mfano wa miradi ya SGR, JNHHP.
- Deni la taifa halieleweki.
- Viongozi hawaheshimia.
Haiwezekani ukaacha kujibu kwasababi yeye ameshaipeleka kwenye Mitandao. ni nchi gani hiyo ambayo ina sifa kama hizi ikbaki stable kama ilivyo nchi yetu? nchi hiyo inaitwa Tanzania ambayo Demokrasia chini ya Uongozi wa Rais Samia iko kwenye viwango kuliko wakati mwingine wowote. Simbachawene ameongeza kuwa vyombo vya habari viko huru, vyama vya siasa viko huru vinafanya kikutano vinavyotaka na kuandamana vinavyotaka, halafu wewe unasema nchi hii imevurugugika.
Anachojaribu kusema Mpina hapa ni kuwa nchi hii kuna a failed State, anataka kusema kuna a weak state, sasa a weak state ina sifa zake. Sasa moja ya sifa ya a weak state ni kuwa mipaka yake haidhibitiki. Sasa katika ukanda huu kuna nchi ambayo mipaka yake inadhibitika kama Tanzania? Nchi haichezewi.
Tusijidharau kiasi hicho, ni dhambi kujidharau, na kama mtu una mambo yako ni vyema ukayazungumza kwa namna nyingine lakini si kwa mambo ya kitaalam kama haya.
Nchi yetu inaheshimika, Rais wetu anaheshimika na ndiyo maana kila anapokwena duniani wanampa shahada ya udaktari, ni heshima wanampa zawadi zote za kubeba wanaona hazifai ndiyo maana wanaamua kumpa za kichwani.
This global appreciation to a woman president haiwezekani ikadharauliwa na sisi wenyewe ndani ya nchi, ni lazima tujenge tabia ya kujiamini, kuheshimiana. Huwezi ukaizungumzia a failed state halafu ukasema unamheshimu Rais anayeiongoza hiyo nchi, hii ni insubordination.
Nchi yetu katika changamoto kubwa duniani, COVID -19 imepiga dunia nzima, nchi inatekeleza miradi mikubwa sana. Kule Meatu kwa Mbunge Luhaga Mpina Serikali imepeleka maendeleo lukuki halafu anasema this is a failed state, hapa nadhani kuna ajenda.
Pia soma
- Luhaga Mpina: Kuundwe Tume ya kuchunguza 'Utata' wa kifo cha Hayati Magufuli
- Luhaga Mpina akamatwe ahojiwe analeta chokochoko, kifo cha Hayati Magufuli hakina utata wowote
- Mpina ataka viongozi wa wizara, mashirika, mikoa na wilaya kupatikana kwa usahili!
- Luhaga Mpina: Teuzi na baadhi ya ajira kutolewa bila kuzingatia ushindani imefanya nchi ipate viongozi dhaifu
Ni wewe kweli ndugu!!??..Mpina anachukia wasagaji.
..2025 hakuna msagaji atachaguliwa.
Ana PhD ya uzurulajihuo udaktari kauokota wap ? hana fumbuz wala jambo kalifanya kiubora zaid ya watanguliz , zaid anashindwa kusimamia mali za nchi badala yake anazigawa kwa wageni kwa mikataba mibovu kbs
Mpina mimi namchukulia kuwa ni mtu mwenye roho ya kichawi.“Lipo jambo moja lilisemwa na Mpina, ni jambo nzito na ukilichukulia kwa wepesiwepesi unaona amezungumza kitu chepesi lakini mpina amezungumza kitu kizito” na ni lazima tukijibu kama Serikali.
Waziri Simbachawene ametaja tuhuma za Luhaga Mpina kama ifuatavyo
View attachment 2969225
- Mpina anasema Ilani na Utekelezaji wa Serikali haviendani.
- Mpina anasema kuna uvunjaji mkubwa wa Sheria bila hatua kuchukuliwa, yaani utawala ambao hauna sheria, No enforcement.
- Mpina anasema Watanzania wanauawa.
- Kuna wizi wa kutisha.
- No Separation of Powers.
- Teuzi za ajira bila ushindani.
- Kuna ufisadi wa kutisha na akitolea mfano wa miradi ya SGR, JNHHP.
- Deni la taifa halieleweki.
- Viongozi hawaheshimia.
Haiwezekani ukaacha kujibu kwasababi yeye ameshaipeleka kwenye Mitandao. ni nchi gani hiyo ambayo ina sifa kama hizi ikbaki stable kama ilivyo nchi yetu? nchi hiyo inaitwa Tanzania ambayo Demokrasia chini ya Uongozi wa Rais Samia iko kwenye viwango kuliko wakati mwingine wowote. Simbachawene ameongeza kuwa vyombo vya habari viko huru, vyama vya siasa viko huru vinafanya kikutano vinavyotaka na kuandamana vinavyotaka, halafu wewe unasema nchi hii imevurugugika.
Anachojaribu kusema Mpina hapa ni kuwa nchi hii kuna a failed State, anataka kusema kuna a weak state, sasa a weak state ina sifa zake. Sasa moja ya sifa ya a weak state ni kuwa mipaka yake haidhibitiki. Sasa katika ukanda huu kuna nchi ambayo mipaka yake inadhibitika kama Tanzania? Nchi haichezewi.
Tusijidharau kiasi hicho, ni dhambi kujidharau, na kama mtu una mambo yako ni vyema ukayazungumza kwa namna nyingine lakini si kwa mambo ya kitaalam kama haya.
Nchi yetu inaheshimika, Rais wetu anaheshimika na ndiyo maana kila anapokwena duniani wanampa shahada ya udaktari, ni heshima wanampa zawadi zote za kubeba wanaona hazifai ndiyo maana wanaamua kumpa za kichwani.
This global appreciation to a woman president haiwezekani ikadharauliwa na sisi wenyewe ndani ya nchi, ni lazima tujenge tabia ya kujiamini, kuheshimiana. Huwezi ukaizungumzia a failed state halafu ukasema unamheshimu Rais anayeiongoza hiyo nchi, hii ni insubordination.
Nchi yetu katika changamoto kubwa duniani, COVID -19 imepiga dunia nzima, nchi inatekeleza miradi mikubwa sana. Kule Meatu kwa Mbunge Luhaga Mpina Serikali imepeleka maendeleo lukuki halafu anasema this is a failed state, hapa nadhani kuna ajenda.
Pia soma
- Luhaga Mpina: Kuundwe Tume ya kuchunguza 'Utata' wa kifo cha Hayati Magufuli
- Luhaga Mpina akamatwe ahojiwe analeta chokochoko, kifo cha Hayati Magufuli hakina utata wowote
- Mpina ataka viongozi wa wizara, mashirika, mikoa na wilaya kupatikana kwa usahili!
- Luhaga Mpina: Teuzi na baadhi ya ajira kutolewa bila kuzingatia ushindani imefanya nchi ipate viongozi dhaifu
Kinachonisikitisha ni kuwa Mpina hana maisha marefu ya kisiasa na pengine hata ya kimwili na roho........Mtoa shutuma huwa anaitwa anakaa na vyombo vya usalama anatoa data za yale anayoyashutumu, kisha serikali inafanya analysis ya kila kilichosemwa na kukifanyia kazi, bila kujali ni kidogo kiasi gani.
Wao wanamjibu ki siasa, ki-team. Team Samia na Team Magufuli ziko vitani. Huyu Luhaga Mpina kesha itwa na kamati ya maadili ya ccm mkoa, kamati ya maadili ya bunge la ccm, na kote huko alipeleka ushahidi ya aliyoyasema na akaachwa huru. Inaonyesha huwa hakurupuki huwa ana data za kutosha kwa kila anachokisema.
Wayafanyie kazi waache blabla.
Unataka kusema angekuwa waziri asingesema anayosema? Je anayosema ni ya uongo?Uwaziri ni miwani ya mbao au ni ear-plug?Mpina mimi namchukulia kuwa ni mtu mwenye roho ya kichawi.
Ni mtu ambae ameumizwa sana kuukosa uwaziri.
Ameanza vizuri mno ila ghafla amediverge kuelekea kwenye pambizo 😁😁😁! Hii nchi inahitaji nuclear missile kwenye mihimili miwili ambayo sitaitaja sababu mwanasheria wangu hajamaliza mitihani ya school of law. Tukianza upya kama taifa huenda tukaenda vyema.Waziri amejibu kwa porojo namna hiyo? Au hizo porojo ni zako wewe mleta mada?