Waziri Simbachawene: Huenda Mpina ana ajenda. Uongozi wa Rais Samia uko kwenye viwango kuliko wakati mwingine wowote

Waziri Simbachawene: Huenda Mpina ana ajenda. Uongozi wa Rais Samia uko kwenye viwango kuliko wakati mwingine wowote

Ccm washenzi Sana wenyewe ikikaribia Uchaguzi wanajifanya kugombana wanatupumbaza mwisho wa siku vyeo wanapeana hao hao wanateuana na Vizazi Vyao huku wakiendelea kuiba vya kutosha huko nyuma ya pazia,,kula Kuku na wakipeana chiazii na Whiskey za bei mbaya wakifurahia Kodi za Wanyonge
 
Waanze basi kufanya uchunguzi wa kifo cha mwendazake
Hakuna haja ya uchunguzi wa kifo cha jiwe. Jiwe alikufa kizembe kwa kutoheshimu masharti ya korona, badala ya kupiga chanjo yeye akawa anajifukiza. Matokeo yake korona ikamuua. Moyo ni kichaka tu cha kuficha aibu ya kifo cha kizembe.
 
Kwani anaye tumia pacemaker hawezi kuuwawa?
Maalim Seif naye alikuwa anatumia pacemaker?
Vipi kuhusu vifo vya ghafla vya watu wa karibu na Magufuli; Engineer Mfugale na John Kijazi!
Ngoma bado mbichi,CDF Mabeyo kaonesha wazi kuwa kwenye vyombo vya usalama jambo la Rais kufa kienyeji halijakaa sawa!!
Kbs
 
Kweli kabisa
Ccm washenzi Sana wenyewe ikikaribia Uchaguzi wanajifanya kugombana wanatupumbaza mwisho wa siku vyeo wanapeana hao hao wanateuana na Vizazi Vyao huku wakiendelea kuiba vya kutosha huko nyuma ya pazia,,kula Kuku na wakipeana chiazii na Whiskey za bei mbaya wakifurahia Kodi za Wanyonge
 
“Lipo jambo moja lilisemwa na Mpina, ni jambo nzito na ukilichukulia kwa wepesiwepesi unaona amezungumza kitu chepesi lakini mpina amezungumza kitu kizito” na ni lazima tukijibu kama Serikali.

Waziri Simbachawene ametaja tuhuma za Luhaga Mpina kama ifuatavyo
  1. Mpina anasema Ilani na Utekelezaji wa Serikali haviendani.
  2. Mpina anasema kuna uvunjaji mkubwa wa Sheria bila hatua kuchukuliwa, yaani utawala ambao hauna sheria, No enforcement.
  3. Mpina anasema Watanzania wanauawa.
  4. Kuna wizi wa kutisha.
  5. No Separation of Powers.
  6. Teuzi za ajira bila ushindani.
  7. Kuna ufisadi wa kutisha na akitolea mfano wa miradi ya SGR, JNHHP.
  8. Deni la taifa halieleweki.
  9. Viongozi hawaheshimia.
View attachment 2969225

Haiwezekani ukaacha kujibu kwasababi yeye ameshaipeleka kwenye Mitandao. ni nchi gani hiyo ambayo ina sifa kama hizi ikbaki stable kama ilivyo nchi yetu? nchi hiyo inaitwa Tanzania ambayo Demokrasia chini ya Uongozi wa Rais Samia iko kwenye viwango kuliko wakati mwingine wowote. Simbachawene ameongeza kuwa vyombo vya habari viko huru, vyama vya siasa viko huru vinafanya kikutano vinavyotaka na kuandamana vinavyotaka, halafu wewe unasema nchi hii imevurugugika.

Anachojaribu kusema Mpina hapa ni kuwa nchi hii kuna a failed State, anataka kusema kuna a weak state, sasa a weak state ina sifa zake. Sasa moja ya sifa ya a weak state ni kuwa mipaka yake haidhibitiki. Sasa katika ukanda huu kuna nchi ambayo mipaka yake inadhibitika kama Tanzania? Nchi haichezewi.

Tusijidharau kiasi hicho, ni dhambi kujidharau, na kama mtu una mambo yako ni vyema ukayazungumza kwa namna nyingine lakini si kwa mambo ya kitaalam kama haya.

Nchi yetu inaheshimika, Rais wetu anaheshimika na ndiyo maana kila anapokwena duniani wanampa shahada ya udaktari, ni heshima wanampa zawadi zote za kubeba wanaona hazifai ndiyo maana wanaamua kumpa za kichwani.

This global appreciation to a woman president haiwezekani ikadharauliwa na sisi wenyewe ndani ya nchi, ni lazima tujenge tabia ya kujiamini, kuheshimiana. Huwezi ukaizungumzia a failed state halafu ukasema unamheshimu Rais anayeiongoza hiyo nchi, hii ni insubordination.

Nchi yetu katika changamoto kubwa duniani, COVID -19 imepiga dunia nzima, nchi inatekeleza miradi mikubwa sana. Kule Meatu kwa Mbunge Luhaga Mpina Serikali imepeleka maendeleo lukuki halafu anasema this is a failed state, hapa nadhani kuna ajenda.

Pia soma
Hawa waparuane wafukuzane... Kidumu cha hiyo cartel kipasuke ndo pona pona ya waTanzania ilipo!
 
huo udaktari kauokota wap ? hana fumbuz wala jambo kalifanya kiubora zaid ya watanguliz , zaid anashindwa kusimamia mali za nchi badala yake anazigawa kwa wageni kwa mikataba mibovu kbs
Ana PhD ya uzurulaji
 
Mtoa shutuma huwa anaitwa anakaa na vyombo vya usalama anatoa data za yale anayoyashutumu, kisha serikali inafanya analysis ya kila kilichosemwa na kukifanyia kazi, bila kujali ni kidogo kiasi gani.

Wao wanamjibu ki siasa, ki-team. Team Samia na Team Magufuli ziko vitani. Huyu Luhaga Mpina kesha itwa na kamati ya maadili ya ccm mkoa, kamati ya maadili ya bunge la ccm, na kote huko alipeleka ushahidi ya aliyoyasema na akaachwa huru. Inaonyesha huwa hakurupuki huwa ana data za kutosha kwa kila anachokisema.

Wayafanyie kazi waache blabla.
 
“Lipo jambo moja lilisemwa na Mpina, ni jambo nzito na ukilichukulia kwa wepesiwepesi unaona amezungumza kitu chepesi lakini mpina amezungumza kitu kizito” na ni lazima tukijibu kama Serikali.

Waziri Simbachawene ametaja tuhuma za Luhaga Mpina kama ifuatavyo
  1. Mpina anasema Ilani na Utekelezaji wa Serikali haviendani.
  2. Mpina anasema kuna uvunjaji mkubwa wa Sheria bila hatua kuchukuliwa, yaani utawala ambao hauna sheria, No enforcement.
  3. Mpina anasema Watanzania wanauawa.
  4. Kuna wizi wa kutisha.
  5. No Separation of Powers.
  6. Teuzi za ajira bila ushindani.
  7. Kuna ufisadi wa kutisha na akitolea mfano wa miradi ya SGR, JNHHP.
  8. Deni la taifa halieleweki.
  9. Viongozi hawaheshimia.
View attachment 2969225

Haiwezekani ukaacha kujibu kwasababi yeye ameshaipeleka kwenye Mitandao. ni nchi gani hiyo ambayo ina sifa kama hizi ikbaki stable kama ilivyo nchi yetu? nchi hiyo inaitwa Tanzania ambayo Demokrasia chini ya Uongozi wa Rais Samia iko kwenye viwango kuliko wakati mwingine wowote. Simbachawene ameongeza kuwa vyombo vya habari viko huru, vyama vya siasa viko huru vinafanya kikutano vinavyotaka na kuandamana vinavyotaka, halafu wewe unasema nchi hii imevurugugika.

Anachojaribu kusema Mpina hapa ni kuwa nchi hii kuna a failed State, anataka kusema kuna a weak state, sasa a weak state ina sifa zake. Sasa moja ya sifa ya a weak state ni kuwa mipaka yake haidhibitiki. Sasa katika ukanda huu kuna nchi ambayo mipaka yake inadhibitika kama Tanzania? Nchi haichezewi.

Tusijidharau kiasi hicho, ni dhambi kujidharau, na kama mtu una mambo yako ni vyema ukayazungumza kwa namna nyingine lakini si kwa mambo ya kitaalam kama haya.

Nchi yetu inaheshimika, Rais wetu anaheshimika na ndiyo maana kila anapokwena duniani wanampa shahada ya udaktari, ni heshima wanampa zawadi zote za kubeba wanaona hazifai ndiyo maana wanaamua kumpa za kichwani.

This global appreciation to a woman president haiwezekani ikadharauliwa na sisi wenyewe ndani ya nchi, ni lazima tujenge tabia ya kujiamini, kuheshimiana. Huwezi ukaizungumzia a failed state halafu ukasema unamheshimu Rais anayeiongoza hiyo nchi, hii ni insubordination.

Nchi yetu katika changamoto kubwa duniani, COVID -19 imepiga dunia nzima, nchi inatekeleza miradi mikubwa sana. Kule Meatu kwa Mbunge Luhaga Mpina Serikali imepeleka maendeleo lukuki halafu anasema this is a failed state, hapa nadhani kuna ajenda.

Pia soma
Mpina mimi namchukulia kuwa ni mtu mwenye roho ya kichawi.

Ni mtu ambae ameumizwa sana kuukosa uwaziri.
 
CCM inaelekea kwenye shimo la umauti.......kiwango chao ushenzi, ubaya, ufirauni, na uovu dhidi ya watanzania kimefikia hatua mbaya mpaka wameanza kuparuana wenyewe kwa wenyewe.........

Naweza kusema Mungu ameamua kusimama na wanyonge........ngoja vita vilipuke kuanzia ndani ili tuone milipuko mikubwa zaidi......
 
Mtoa shutuma huwa anaitwa anakaa na vyombo vya usalama anatoa data za yale anayoyashutumu, kisha serikali inafanya analysis ya kila kilichosemwa na kukifanyia kazi, bila kujali ni kidogo kiasi gani.

Wao wanamjibu ki siasa, ki-team. Team Samia na Team Magufuli ziko vitani. Huyu Luhaga Mpina kesha itwa na kamati ya maadili ya ccm mkoa, kamati ya maadili ya bunge la ccm, na kote huko alipeleka ushahidi ya aliyoyasema na akaachwa huru. Inaonyesha huwa hakurupuki huwa ana data za kutosha kwa kila anachokisema.

Wayafanyie kazi waache blabla.
Kinachonisikitisha ni kuwa Mpina hana maisha marefu ya kisiasa na pengine hata ya kimwili na roho........

Huu ukimya wa CCM na namna wanavyojibu tuhuma zake ni wazi kuwa Wana buy time dhidi yake..... lakini mioyoni mwao wamedhamiria ubaya..........

Sote tunawajua CCM linapokuja suala la madaraka na utawala roho zao zinakuwaje.......

Mungu aepushe mbali
 
Mpina mimi namchukulia kuwa ni mtu mwenye roho ya kichawi.

Ni mtu ambae ameumizwa sana kuukosa uwaziri.
Unataka kusema angekuwa waziri asingesema anayosema? Je anayosema ni ya uongo?Uwaziri ni miwani ya mbao au ni ear-plug?

Kesha itwa na kamati za maadili kuhojiwa na kuombwa ushahidi wa anayoyasema na alipeleka ushahidi na akaachwa huru, sio mgeni kwao, wanamfahamu kwamba sio mropokaji, ana kusanya data za yote anayoyasema kisha naongea, anafahamu ccm ni nini na watafanya nini hivyo uwa anajiandaa.

Sioni kwanini mtu kuusema ukweli aonekane ni mchawi, au ndio kusema "Sisi ukweli kwetu mwiko".
 
Waziri amejibu kwa porojo namna hiyo? Au hizo porojo ni zako wewe mleta mada?
Ameanza vizuri mno ila ghafla amediverge kuelekea kwenye pambizo 😁😁😁! Hii nchi inahitaji nuclear missile kwenye mihimili miwili ambayo sitaitaja sababu mwanasheria wangu hajamaliza mitihani ya school of law. Tukianza upya kama taifa huenda tukaenda vyema.
 
Back
Top Bottom