Waziri Simbachawene: Huenda Mpina ana ajenda. Uongozi wa Rais Samia uko kwenye viwango kuliko wakati mwingine wowote

Waziri Simbachawene: Huenda Mpina ana ajenda. Uongozi wa Rais Samia uko kwenye viwango kuliko wakati mwingine wowote

ccmu mmebakiwa na ukabila ndo mtaji wenu , hamuez jibu hoja za watu , Mambo aliyofanya Jpm hata ww unanufaika ila ukabila na ujinga unakusumbua , siku ukiviondoa hivyo ndo utahundua namna unafeli
Sukuma gang sio ukabila ni Itikadi japo memba wake wengi ni wasukuma.
 
Brother huyu mbunge yupo jikoni kabisa pengine kuna Siri anaijua
Jiko lipi? JPM alikwisha mtosa uwaziri ile 2021 so hakuna kitu anajua. Mind you kipindi Lissu anadai JPM ameparalyse huyu Mpina alikua anapinga na kuita uzushi. Eti leo ndio anajua sijui yupo jikoni? Hana lolote anataka attention tu apewe uwaziri
 
Kila anaetumia dozi kifo chake hakipaswi kuchunguzwa ?
Uchunguze nini wakati kifo kipo wazi? Angekua anaumwa ila kafa kwa ajali au Figo tungehoji ila aliumwa moyo na kafariki kwa moyo sasa unachunguza nini?

Nyie kipindi wapinzani wanapiga kelele JPM yuko wapi mngeungana nao, sasa mliwaita wazushi baada ya Rais kufariki ndio mnataka uchunguzi? Uchunguzi kwa kitu mlichoita uzushi?
 
Uchunguzi wa nini mtu alikua anatumia pacemaker miaka 10!!
Kwani anaye tumia pacemaker hawezi kuuwawa?
Maalim Seif naye alikuwa anatumia pacemaker?
Vipi kuhusu vifo vya ghafla vya watu wa karibu na Magufuli; Engineer Mfugale na John Kijazi!
Ngoma bado mbichi,CDF Mabeyo kaonesha wazi kuwa kwenye vyombo vya usalama jambo la Rais kufa kienyeji halijakaa sawa!!
 
“Lipo jambo moja lilisemwa na Mpina, ni jambo nzito na ukilichukulia kwa wepesiwepesi unaona amezungumza kitu chepesi lakini mpina amezungumza kitu kizito” na ni lazima tukijibu kama Serikali.

Waziri Simbachawene ametaja tuhuma za Luhaga Mpina kama ifuatavyo
  1. Mpina anasema Ilani na Utekelezaji wa Serikali haviendani.
  2. Mpina anasema kuna uvunjaji mkubwa wa Sheria bila hatua kuchukuliwa, yaani utawala ambao hauna sheria, No enforcement.
  3. Mpina anasema Watanzania wanauawa.
  4. Kuna wizi wa kutisha.
  5. No Separation of Powers.
  6. Teuzi za ajira bila ushindani.
  7. Kuna ufisadi wa kutisha na akitolea mfano wa miradi ya SGR, JNHHP.
  8. Deni la taifa halieleweki.
  9. Viongozi hawaheshimia.
View attachment 2969225

Haiwezekani ukaacha kujibu kwasababi yeye ameshaipeleka kwenye Mitandao. ni nchi gani hiyo ambayo ina sifa kama hizi ikbaki stable kama ilivyo nchi yetu? nchi hiyo inaitwa Tanzania ambayo Demokrasia chini ya Uongozi wa Rais Samia iko kwenye viwango kuliko wakati mwingine wowote. Simbachawene ameongeza kuwa vyombo vya habari viko huru, vyama vya siasa viko huru vinafanya kikutano vinavyotaka na kuandamana vinavyotaka, halafu wewe unasema nchi hii imevurugugika.

Anachojaribu kusema Mpina hapa ni kuwa nchi hii kuna a failed State, anataka kusema kuna a weak state, sasa a weak state ina sifa zake. Sasa moja ya sifa ya a weak state ni kuwa mipaka yake haidhibitiki. Sasa katika ukanda huu kuna nchi ambayo mipaka yake inadhibitika kama Tanzania? Nchi haichezewi.

Tusijidharau kiasi hicho, ni dhambi kujidharau, na kama mtu una mambo yako ni vyema ukayazungumza kwa namna nyingine lakini si kwa mambo ya kitaalam kama haya.

Nchi yetu inaheshimika, Rais wetu anaheshimika na ndiyo maana kila anapokwena duniani wanampa shahada ya udaktari, ni heshima wanampa zawadi zote za kubeba wanaona hazifai ndiyo maana wanaamua kumpa za kichwani.

This global appreciation to a woman president haiwezekani ikadharauliwa na sisi wenyewe ndani ya nchi, ni lazima tujenge tabia ya kujiamini, kuheshimiana. Huwezi ukaizungumzia a failed state halafu ukasema unamheshimu Rais anayeiongoza hiyo nchi, hii ni insubordination.

Nchi yetu katika changamoto kubwa duniani, COVID -19 imepiga dunia nzima, nchi inatekeleza miradi mikubwa sana. Kule Meatu kwa Mbunge Luhaga Mpina Serikali imepeleka maendeleo lukuki halafu anasema this is a failed state, hapa nadhani kuna ajenda.

Pia soma
Haya sasa mnaanza kuwashindanisha menyewe kwa menyewe! Samia kumzidi Nyerere kwa uongozi si jambo dogo.
 
Aache kutudanganya huyo Cha wene kuwa Tanzania inaheshimika Kwa lipi?ukiend huko ulay Kila mtu anasema the worse country ni the world is Tanzania.kutunukiw cheti siyo sifa ni ujuha.yaani wamekuona wakikupa kikaratasi utafurahi ili wao wachukue kukubwa zaidi.nchi kama china ambayo imefanya maendeleo makubwa Kwa watu wake lakini huwezi kusikia upuuzi eti ametunukiwa PhD uchwara.
 
Waanze basi kufanya uchunguzi wa kifo cha mwendazake
Washaanza kujinyea. Walitegemea watafanya siasa zao za kuzima ma uozo yanayoendelea ndani ya Utawala huu.

Walikuwa wapi wakati Hayat anatukanwa hapa? Walikuwa wapi wakati Mama Janeth Magufuli anazodolewa hapa, tena wakati akiwa katika majonzi makubwa ya kufiwa na Baba wa watoto zake?

Yaani wanataka kusema kulikuwa hakuna umuhimu wa Kukanusha au Kukubali madai ya hovyo kabisa kutokea katika Nchi hii?

Kwani kuna tofauti gani Mbowe na Tundu Lissu huwa wanasema na ambacho Luhaga Mpina kasema? Huwa Waziri anatoka?

Yote haya kwasababu wanajua Dunia nzima inatakanl kujua Ukweli kuhusu utata uliouzunguka kifo cha Hayat Rais.

Hatahivyo sidhani kama Yeye Waziri ana nafasi ama anatakiwa ayajibu haya kwani ana uhusiano wa karibu na Rais? There is a Conflict of Interest. He is Biased
 
Mpina naona unataka kunyanganywa jimbo ,si bora ujilipue kama Lyatonga Mrema alivyokimbilia upinzani NCR Mageuzi.
CCM hawasahau na ukiona wamekupa kalipio kibunge na si kupitia chief whip ujue your days as CCM MP are numberd.
 
“Lipo jambo moja lilisemwa na Mpina, ni jambo nzito na ukilichukulia kwa wepesiwepesi unaona amezungumza kitu chepesi lakini mpina amezungumza kitu kizito” na ni lazima tukijibu kama Serikali.

Waziri Simbachawene ametaja tuhuma za Luhaga Mpina kama ifuatavyo
  1. Mpina anasema Ilani na Utekelezaji wa Serikali haviendani.
  2. Mpina anasema kuna uvunjaji mkubwa wa Sheria bila hatua kuchukuliwa, yaani utawala ambao hauna sheria, No enforcement.
  3. Mpina anasema Watanzania wanauawa.
  4. Kuna wizi wa kutisha.
  5. No Separation of Powers.
  6. Teuzi za ajira bila ushindani.
  7. Kuna ufisadi wa kutisha na akitolea mfano wa miradi ya SGR, JNHHP.
  8. Deni la taifa halieleweki.
  9. Viongozi hawaheshimia.
View attachment 2969225

Haiwezekani ukaacha kujibu kwasababi yeye ameshaipeleka kwenye Mitandao. ni nchi gani hiyo ambayo ina sifa kama hizi ikbaki stable kama ilivyo nchi yetu? nchi hiyo inaitwa Tanzania ambayo Demokrasia chini ya Uongozi wa Rais Samia iko kwenye viwango kuliko wakati mwingine wowote. Simbachawene ameongeza kuwa vyombo vya habari viko huru, vyama vya siasa viko huru vinafanya kikutano vinavyotaka na kuandamana vinavyotaka, halafu wewe unasema nchi hii imevurugugika.

Anachojaribu kusema Mpina hapa ni kuwa nchi hii kuna a failed State, anataka kusema kuna a weak state, sasa a weak state ina sifa zake. Sasa moja ya sifa ya a weak state ni kuwa mipaka yake haidhibitiki. Sasa katika ukanda huu kuna nchi ambayo mipaka yake inadhibitika kama Tanzania? Nchi haichezewi.

Tusijidharau kiasi hicho, ni dhambi kujidharau, na kama mtu una mambo yako ni vyema ukayazungumza kwa namna nyingine lakini si kwa mambo ya kitaalam kama haya.

Nchi yetu inaheshimika, Rais wetu anaheshimika na ndiyo maana kila anapokwena duniani wanampa shahada ya udaktari, ni heshima wanampa zawadi zote za kubeba wanaona hazifai ndiyo maana wanaamua kumpa za kichwani.

This global appreciation to a woman president haiwezekani ikadharauliwa na sisi wenyewe ndani ya nchi, ni lazima tujenge tabia ya kujiamini, kuheshimiana. Huwezi ukaizungumzia a failed state halafu ukasema unamheshimu Rais anayeiongoza hiyo nchi, hii ni insubordination.

Nchi yetu katika changamoto kubwa duniani, COVID -19 imepiga dunia nzima, nchi inatekeleza miradi mikubwa sana. Kule Meatu kwa Mbunge Luhaga Mpina Serikali imepeleka maendeleo lukuki halafu anasema this is a failed state, hapa nadhani kuna ajenda.

Pia soma
Angalau angejibu hoja Moja tu, kuhusu uchunguzi wa utata wa kifo Cha magu badala yake anasifu na kuabudu! Dah ndiyo mawaziri wetu Hawa yaani namna anavyoteleza kwenye kujibu hoja kama kambale
 
Kwani kuchunguza bei gani ?Walisema chunguzeni ya Lissu na sanane mkataa simply si wenzenu sasa chunguzeni kifo cha kipenzi cha wanyonge Magu napo hamtaki!
 
“Lipo jambo moja lilisemwa na Mpina, ni jambo nzito na ukilichukulia kwa wepesiwepesi unaona amezungumza kitu chepesi lakini mpina amezungumza kitu kizito” na ni lazima tukijibu kama Serikali.

Waziri Simbachawene ametaja tuhuma za Luhaga Mpina kama ifuatavyo
  1. Mpina anasema Ilani na Utekelezaji wa Serikali haviendani.
  2. Mpina anasema kuna uvunjaji mkubwa wa Sheria bila hatua kuchukuliwa, yaani utawala ambao hauna sheria, No enforcement.
  3. Mpina anasema Watanzania wanauawa.
  4. Kuna wizi wa kutisha.
  5. No Separation of Powers.
  6. Teuzi za ajira bila ushindani.
  7. Kuna ufisadi wa kutisha na akitolea mfano wa miradi ya SGR, JNHHP.
  8. Deni la taifa halieleweki.
  9. Viongozi hawaheshimia.
View attachment 2969225

Haiwezekani ukaacha kujibu kwasababi yeye ameshaipeleka kwenye Mitandao. ni nchi gani hiyo ambayo ina sifa kama hizi ikbaki stable kama ilivyo nchi yetu? nchi hiyo inaitwa Tanzania ambayo Demokrasia chini ya Uongozi wa Rais Samia iko kwenye viwango kuliko wakati mwingine wowote. Simbachawene ameongeza kuwa vyombo vya habari viko huru, vyama vya siasa viko huru vinafanya kikutano vinavyotaka na kuandamana vinavyotaka, halafu wewe unasema nchi hii imevurugugika.

Anachojaribu kusema Mpina hapa ni kuwa nchi hii kuna a failed State, anataka kusema kuna a weak state, sasa a weak state ina sifa zake. Sasa moja ya sifa ya a weak state ni kuwa mipaka yake haidhibitiki. Sasa katika ukanda huu kuna nchi ambayo mipaka yake inadhibitika kama Tanzania? Nchi haichezewi.

Tusijidharau kiasi hicho, ni dhambi kujidharau, na kama mtu una mambo yako ni vyema ukayazungumza kwa namna nyingine lakini si kwa mambo ya kitaalam kama haya.

Nchi yetu inaheshimika, Rais wetu anaheshimika na ndiyo maana kila anapokwena duniani wanampa shahada ya udaktari, ni heshima wanampa zawadi zote za kubeba wanaona hazifai ndiyo maana wanaamua kumpa za kichwani.

This global appreciation to a woman president haiwezekani ikadharauliwa na sisi wenyewe ndani ya nchi, ni lazima tujenge tabia ya kujiamini, kuheshimiana. Huwezi ukaizungumzia a failed state halafu ukasema unamheshimu Rais anayeiongoza hiyo nchi, hii ni insubordination.

Nchi yetu katika changamoto kubwa duniani, COVID -19 imepiga dunia nzima, nchi inatekeleza miradi mikubwa sana. Kule Meatu kwa Mbunge Luhaga Mpina Serikali imepeleka maendeleo lukuki halafu anasema this is a failed state, hapa nadhani kuna ajenda.

Pia soma
Mpina kaonggea point simba chawene kajibu takataka
 
Back
Top Bottom