Waziri Simbachawene: Tunapozungumzia kinga kwa Usalama wa Taifa, tunazungumzia kinga dhidi ya Ugaidi

Waziri Simbachawene: Tunapozungumzia kinga kwa Usalama wa Taifa, tunazungumzia kinga dhidi ya Ugaidi

Waziri George Simbachawene akitoa ufafanuzi kuhusu kinga kwa maafisa wa Idara ya Usalama wa Taifa kama ilivyoelezwa kwenye Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa wa Mwaka 2023.

Tayari Bunge limepitisha muswada huo na sasa utapelekwa kwa Rais kwa ajili ya kusainiwa. Kazi kwenu

NB: Hata wa bandari nao utapitishwa hivi hivi.

View attachment 2650136
Nchi ikiingia kwenye machafuko ccm watafurahi sana, maana hiyo hali wanaitafuta kwa udi na uvumba. Wanayofanya ni kuwatia WaTz vidole jichoni, nani atakubali atobolewe jicho lake?
 
Waziri George Simbachawene akitoa ufafanuzi kuhusu kinga kwa maafisa wa Idara ya Usalama wa Taifa kama ilivyoelezwa kwenye Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa wa Mwaka 2023.

Tayari Bunge limepitisha muswada huo na sasa utapelekwa kwa Rais kwa ajili ya kusainiwa. Kazi kwenu

NB: Hata wa bandari nao utapitishwa hivi hivi.

View attachment 2650136
Mungu alivyo wa ajabu huu mswada utaanza kuwashughulikia waliotunga hii Sheria na wataanza kulialia huku tukiwatazama kwa kucheka

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
 
binafsi nakubaliana na hii sheria ya Kinga kwa watumishi wa usalama. maana Kuna wakati wanapata maagizo kutoka kwa idara , na kwakuwa wanakiapo ni lazima atii na afanye kazi , maana hii nchi ilikuwa imeanza kuwa ya kukomoana na visasi . Bora wameileta hii sheria . Ila kwa atakaye onea kwa Hira binafsi Basi tutamshirikishi kuhani lema , atushitakie kwa mungu ili aingilie Kati .
 
Uzuri baada ya muda kidogo hii Sheria itatumika kuwapoteza walioitunga.
TISS IPO na itaendelea kuwepo, watawala wanapita na watashughulikiwa wakikorofisha
 
Uzuri baada ya muda kidogo hii Sheria itatumika kuwapoteza walioitunga.
TISS IPO na itaendelea kuwepo, watawala wanapita na watashughulikiwa wakikorofisha
 
Waziri George Simbachawene akitoa ufafanuzi kuhusu kinga kwa maafisa wa Idara ya Usalama wa Taifa kama ilivyoelezwa kwenye Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa wa Mwaka 2023.

Tayari Bunge limepitisha muswada huo na sasa utapelekwa kwa Rais kwa ajili ya kusainiwa. Kazi kwenu

NB: Hata wa bandari nao utapitishwa hivi hivi.

View attachment 2650136
Kwa kupitishwa Sheria hii, kama wa-Tz wangekuwa smart kama raia wa nchi zingine zenye watu wenye akili nzuri, mpaka leo pengine tungekuwa na Utawala wa Serikali ya mpito.
 
Kesho utaskia inapitishwa na sheria ya kinga kwa askari polisi, ili watumalize kabisa!

Hii nchi wabunge akili zao zipo makal*oni. Walikua wanalalamika huko huko bungeni kuwa wanafatiliwa na gari/watu wasiojulikana sambamba na wengine wakilalamika wanapigiwa simu za vitisho na watu wasiojulikana.

Halafu leo wanawapa kinga ya kisheria hao hao watu wasiojulikana?
"Noah Nyeusi"
 
ofcourse, kila mtu ana kinga. sijajua specifically kinga hiyo ni kwenye suala gani hasa, manake hata polisi akipiga na kuua kama hajatumia excessive force na kama ilikuwa lazima kujilinda n.k, ana kinga, na raia pia hivyo hivyo. sasa hicho wanachokilinda kwa tiss sijui ni nini though najua pengine wanaweza kuwa na good intentions.
Ni kama imefafabuliwa kuwa kinga ipo hasa kwenye utekelezaji wa masuala yanayopinga ugaidi, ingawa hapa naona loophole, maana mfano Mr Y amemfuma jamaa na demu wake akamuua upo uwezekano marehemu akasingiwa kosa lenye kinga kwa Mr. Y, unless sheria iwe so specific.
 
Back
Top Bottom