Nchi ikiingia kwenye machafuko ccm watafurahi sana, maana hiyo hali wanaitafuta kwa udi na uvumba. Wanayofanya ni kuwatia WaTz vidole jichoni, nani atakubali atobolewe jicho lake?Waziri George Simbachawene akitoa ufafanuzi kuhusu kinga kwa maafisa wa Idara ya Usalama wa Taifa kama ilivyoelezwa kwenye Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa wa Mwaka 2023.
Tayari Bunge limepitisha muswada huo na sasa utapelekwa kwa Rais kwa ajili ya kusainiwa. Kazi kwenu
NB: Hata wa bandari nao utapitishwa hivi hivi.
View attachment 2650136
Mungu alivyo wa ajabu huu mswada utaanza kuwashughulikia waliotunga hii Sheria na wataanza kulialia huku tukiwatazama kwa kuchekaWaziri George Simbachawene akitoa ufafanuzi kuhusu kinga kwa maafisa wa Idara ya Usalama wa Taifa kama ilivyoelezwa kwenye Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa wa Mwaka 2023.
Tayari Bunge limepitisha muswada huo na sasa utapelekwa kwa Rais kwa ajili ya kusainiwa. Kazi kwenu
NB: Hata wa bandari nao utapitishwa hivi hivi.
View attachment 2650136
Hii sheria itawageukia wenyeweUzuri baada ya muda kidogo hii Sheria itatumika kuwapoteza walioitunga.
TISS IPO na itaendelea kuwepo, watawala wanapita na watashughulikiwa wakikorofisha
Kwa kupitishwa Sheria hii, kama wa-Tz wangekuwa smart kama raia wa nchi zingine zenye watu wenye akili nzuri, mpaka leo pengine tungekuwa na Utawala wa Serikali ya mpito.Waziri George Simbachawene akitoa ufafanuzi kuhusu kinga kwa maafisa wa Idara ya Usalama wa Taifa kama ilivyoelezwa kwenye Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa wa Mwaka 2023.
Tayari Bunge limepitisha muswada huo na sasa utapelekwa kwa Rais kwa ajili ya kusainiwa. Kazi kwenu
NB: Hata wa bandari nao utapitishwa hivi hivi.
View attachment 2650136
"Noah Nyeusi"Kesho utaskia inapitishwa na sheria ya kinga kwa askari polisi, ili watumalize kabisa!
Hii nchi wabunge akili zao zipo makal*oni. Walikua wanalalamika huko huko bungeni kuwa wanafatiliwa na gari/watu wasiojulikana sambamba na wengine wakilalamika wanapigiwa simu za vitisho na watu wasiojulikana.
Halafu leo wanawapa kinga ya kisheria hao hao watu wasiojulikana?
Ni kama imefafabuliwa kuwa kinga ipo hasa kwenye utekelezaji wa masuala yanayopinga ugaidi, ingawa hapa naona loophole, maana mfano Mr Y amemfuma jamaa na demu wake akamuua upo uwezekano marehemu akasingiwa kosa lenye kinga kwa Mr. Y, unless sheria iwe so specific.ofcourse, kila mtu ana kinga. sijajua specifically kinga hiyo ni kwenye suala gani hasa, manake hata polisi akipiga na kuua kama hajatumia excessive force na kama ilikuwa lazima kujilinda n.k, ana kinga, na raia pia hivyo hivyo. sasa hicho wanachokilinda kwa tiss sijui ni nini though najua pengine wanaweza kuwa na good intentions.