Waziri Simbachawene umedharau kauli ya Spika?

Waziri Simbachawene umedharau kauli ya Spika?

robbyr

Senior Member
Joined
Apr 8, 2017
Posts
129
Reaction score
221
GhCIziIXoAEaUje.jpeg

Chanzo: mtandaoni

George Simbachawere ni dharau kwa spika au maamuzi yako?

Kuna vijana wamejitolea kwenye shule za serikali zaidi ya miaka 3 hadi 4. Spika aliomba kufanyike utafiti ili wawe kipaumbele lakini kwa kauli yako bungeni ulisema zoezi lina changamoto.

Kwangu hapana. Kwani kuna baadhi ya shule zimekuwa zikwalipa pesa kidgo kama nauli kupitia account zao jambo ambalo linaweza kutumia kama kukusanya taarifa.

Kupitia mikoa na wilaya viongozi wangeweza kusimamia zoezi hili ila kwangu naona ni ukaidi wa wizara.

Serikali iwe na huruma kwa vijana walijitoa kwa muda mwingi 🥺

Pia suala hili la usaili ni kuumiza vijana kihisia na kwangu naona kama suala gumu sana.😪

Naona bora serikali iendelee na sandakawale tu kuliko huu utaratibu.
 
Unajitolea kwenye taasisi kama nani?
Sio jukumu lako kutoa msaada wa kufundisha ni jukumu la serikali kuhakikisha inatoa elimu bora kwa kuajiri raslimali watu.

Kama msomi bado unadanganywa hivyo basi hata Elimu yako haijakusaidia. WFK
 
Wewe na huyo spika wako wote hamna akili.

Unajitolea kwenye taasisi kama nani?
Sio jukumu lako kutoa msaada wa kufundisha ni jukumu la serikali kuhakikisha inatoa elimu bora kwa kuajiri raslimali watu.

Kama msomi bado unadanganywa hivyo basi hata Elimu yako haijakusaidia. WFK
Wameamua kuwa cheap labour wenyewe sa iv wanataka upendeleo wa nini? Hao ndo wanaziba ma gap mpaka Serikali inashindwa kuona umuhimu wa kuajiri.......uzoefu waliopata ukawasaidie kushindana na wenzao na SI vinginevyo
 
Wameamua kuwa cheap labour wenyewe sa iv wanataka upendeleo wa nini? Hao ndo wanaziba ma gap mpaka Serikali inashindwa kuona umuhimu wa kuajiri.......uzoefu waliopata ukawasaidie kushindana na wenzao na SI vinginevyo
robbyr Dunia ya leo ni yakibepari "hatuna huruma kwenye ubapari" hao ni wanasiasa wanataka kukutumia tu ili kikidhi mahitaji yao hakuna kingine.

Unajitolea unalipwa laki 1 utaishije kwa pesa kama hiyo? Huo ni zaidi ya utumwa mkuu.

Vijana tuacheni siasa nyepesi tujitoe tupambane kivyovyote vile kujitoa kwenye umasikini. Tukitegema hawa wanasiasa walioshiba mipesa tutakufa kibudu.
 
View attachment 3199373
Chanzo: mtandaoni

George Simbachawere ni dharau kwa spika au maamuzi yako?

Kuna vijana wamejitolea kwenye shule za serikali zaidi ya miaka 3 hadi 4. Spika aliomba kufanyike utafiti ili wawe kipaumbele lakini kwa kauli yako bungeni ulisema zoezi lina changamoto.

Kwangu hapana. Kwani kuna baadhi ya shule zimekuwa zikwalipa pesa kidgo kama nauli kupitia account zao jambo ambalo linaweza kutumia kama kukusanya taarifa.

Kupitia mikoa na wilaya viongozi wangeweza kusimamia zoezi hili ila kwangu naona ni ukaidi wa wizara.

Serikali iwe na huruma kwa vijana walijitoa kwa muda mwingi 🥺

Pia suala hili la usaili ni kuumiza vijana kihisia na kwangu naona kama suala gumu sana.😪

Naona bora serikali iendelee na sandakawale tu kuliko huu utaratibu.
Sikubaliani na hoja ya watu wanaojitolea kupewa first priority kwenye Ajira za serikalini Kwa sababu watu hao hawajitolei Bure ,wanalipwa kiposho Cha kujikimu.

Naongea hivi Mimi nikiwa mwalimu mwajiriwa,shuleni kwangu part time teachers wanalipwa sh 200,000/= Kwa kutuma maombi na kufanyiwa usaili,pili kupata hii nafasi ya kujitolea sio lelemama,ni mbinde,je hawa wanaokosa hizi nafasi wao wafanye nini?

Pili huu ni umanamba wa kulazimisha watu wajitolee ndo waajiriwe,hawa watu wengine wanafamilia pia wanategemewa na familia zao,Sasa huyu spika anapokuja na hoja ya kujitolea kuwa kigezo Cha Ajira ni uonevu mkubwa Kwa watanzania.

Nampongeza waziri husika Kwa kutozingatia vigezo kandamizi Kwa watanzania wenzetu.
 
Sikubaliani na hoja ya watu wanaojitolea kupewa first priority kwenye Ajira za serikalini Kwa sababu watu hao hawajitolei Bure ,wanalipwa kiposho Cha kujikimu.

Naongea hivi Mimi nikiwa mwalimu mwajiriwa,shuleni kwangu part time teachers wanalipwa sh 200,000/= Kwa kutuma maombi na kufanyiwa usaili,pili kupata hii nafasi ya kujitolea sio lelemama,ni mbinde,je hawa wanaokosa hizi nafasi wao wafanye nini?

Pili huu ni umanamba wa kulazimisha watu wajitolee ndo waajiriwe,hawa watu wengine wanafamilia pia wanategemewa na familia zao,Sasa huyu spika anapokuja na hoja ya kujitolea kuwa kigezo Cha Ajira ni uonevu mkubwa Kwa watanzania.

Nampongeza waziri husika Kwa kutozingatia vigezo kandamizi Kwa watanzania wenzetu.
Nafasi zenyewe za kujitolea zinapatikana kimchongo mchongo...peleka barua ya kujitolea kama hamna anaekujua hutoboi........
 
Miaka 4 yt unajitoleaa 😔😔😔 mwaka wa Tano ajira zinatolewa na haupatii 😅
 
Nakumbuka sista alijitolea miaka mitatu ajira zikatoka yeye hola na kusimamishwa kazi. Mpaka leo sitaki kusikia neno kujitolea ili kuajiriwwa
 
Vigezo na masharti kuzingatiwa, watu wote kwa mujibu wa katiba wana haki sawa kupambana na kupata hizo nafasi zilizopo wazi ivyo kama waziri amejitahidi kubaki kwenye utaratibu pasipo kuyumbishwa kisiasa watu wapambane atayefaulu basi apewe haki yake
 
Hapa mnazungumzia Ualim
Ila kwa fani nyingine pia kunakujenga kupata experience
Ajira nyingi zinahitaji watu experienced

The sad truth
Mfano wahitimu wengi wanaojitolea kwenye makampuni mengi hutumika vibaya. Unakuta kampuni ina wanaojitolea 20, mwakani hawawajiri wanachukua wa kujitolea wapya

Cheap workers. Inakumbia kulip wafanyakaz kwa kuwatukia vibaya wanaojitolea
 
View attachment 3199373
Chanzo: mtandaoni

George Simbachawere ni dharau kwa spika au maamuzi yako?

Kuna vijana wamejitolea kwenye shule za serikali zaidi ya miaka 3 hadi 4. Spika aliomba kufanyike utafiti ili wawe kipaumbele lakini kwa kauli yako bungeni ulisema zoezi lina changamoto.

Kwangu hapana. Kwani kuna baadhi ya shule zimekuwa zikwalipa pesa kidgo kama nauli kupitia account zao jambo ambalo linaweza kutumia kama kukusanya taarifa.

Kupitia mikoa na wilaya viongozi wangeweza kusimamia zoezi hili ila kwangu naona ni ukaidi wa wizara.

Serikali iwe na huruma kwa vijana walijitoa kwa muda mwingi 🥺

Pia suala hili la usaili ni kuumiza vijana kihisia na kwangu naona kama suala gumu sana.😪

Naona bora serikali iendelee na sandakawale tu kuliko huu utaratibu.
Kwa fani kama walimu wanahitajila watu wenye moyo wa kufanya kazi kama hao wa kujitolea kuliko wapuuzi wengine mnaotaka kuwapachika wasio na moyo.

Hao wajinga mnaotaka kuwapachika wengi wao watatumia fursa ya kupata Ajira Mikoani na kisha kuhama au kuacha tena kazi.

Huyo Simbachawene ni Moja ya watu wenye roho mbaya na atakuwa amesoma seminari huyo.
 
Kwa fani kama walimu wanahitajila watu wenye moyo wa kufanya kazi kama hao wa kujitolea kuliko wapuuzi wengine mnaotaka kuwapachika wasio na moyo.

Hao wajinga mnaotaka kuwapachika wengi wao watatumia fursa ya kupata Ajira Mikoani na kisha kuhama au kuacha tena kazi.

Huyo Simbachawene ni Moja ya watu wenye roho mbaya na atakuwa amesoma seminari huyo.
Walimu wa kujitolea ni sawa na "tegesha"wapo pale kusubiri huruma katika ajira. Ndio hao wanaolalamika humu. Hongera Mh. Waziri ajira ni haki ya kila muombaji na sio kikundi cha tegesha pekee.
 
Walimu wa kujitolea ni sawa na "tegesha"wapo pale kusubiri huruma katika ajira. Ndio hao wanaolalamika humu. Hongera Mh. Waziri ajira ni haki ya kila muombaji na sio kikundi cha tegesha pekee.
Hao tegesha ni muhimu zaidi Kwa Nchi kuliko nyie waviziaji msio na Msaada Kwa Nchi.

Shule za kata zisizo na walimu zinategemea hao tegesha,nyie wahuni mnaosubiria Ajira Kwa nini muajiriwe?

Na huyo Waziri mjinga,huko kwake porini Kongwa kutatumika kama daraja la watu kama.wewe.kupata kazi na kuhama,hapo ndio atakuwa ni mjinga,angekuwa anaongea hivi akiwa Waziri wa Jimbo la mjini ningemwelewa.ila huko maporoni Kibakwe gen Z yupi ataenda Kukaa zaidi ya wanojitolew huko?
 
Mhitimu aliyejitolea maana yake.....
1. Ameonyesha uwezo wake wa kuwajibika kwa vitendo.
2. Ametengeneza uzoefu katika kazi aliyoisomea.
3. Umetoa mchango mkubwa katika pato la taifa na ujenzi wa taifa.


Litakuwa jambo la ajabu na jambo la kipumbavu mnoo kama taasisi husika (serikali, shirika au kampuni) itakwepa kumpa kipaumbele mhitimu huyo wakati wa ajira.
 
Back
Top Bottom