Waziri Simbachawene usiwe kigeugeu ndugu yangu

Hiyo ndio mwanasiasa halisi anavyutakiwa kuwa. Kigeukageuka kwa kufuata mahitaji ya siasa ya sasa hivi.
Kuwa kiongozi ndio unatakiwa uhakikishe maamuzi yako yaangalie sasa na baadae. Lawyers are always there to serve politics and never the reverse.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
VIONGOZI WETU ACHENI KUTUPOTOSHA WANANCHI
WANANCHI TULISHIRIKI KUTOA MAONI NA MAPENDEKEZO YA KATIBA KWENYE TUME YA WARIOBA KWA SABABU TUNATAKA KATIBA MPYA WAPI TULISEMA HATUTAKI?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Yaleyale mawazo ya walio wengi wa elimu za kuunga unga...mie mara ya mwisho nakumbuka Mheshimiwa alikuwa na FTC, sasa hiyo degree ya sheria itakuwa na mengineyo....
Aliisotea open university kwa miaka nane,kichwa kigumu
 
Warioba na team yake warudishe pesa ya umma
Hii naunga mkono hoja na isiwe Warioba na akina polepole warudishe posho za wanyonge ..Mana wanaikana rasimu waliyopigania..
 
Akiwa ofcn yuko vzr kiasi, tatizo akishatoka titanic pub akili yote inakuwa imehama!
 
Hii naunga mkono hoja na isiwe Warioba na akina polepole warudishe posho za wanyonge ..Mana wanaikana rasimu waliyopigania..
Mie naona tuwafungulie kesi ya wizi wa kuaminiwa na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu
 
Kama unafikiri wanasiasa wanajali taaluma zao, au ni watu honest wasio na vigeugeu basi una shida kubwa kichwani.
 
Kinacho mbeba ni vimiwani, suti, tie na vipodozi otherwise kichwani ni blank
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…