Waziri Simbachawene, Zitto akamatwe na kulisaidia jeshi la polisi kumpata kijana aliyempa taarifa kuwa hayati Magufuli alituma watu kuchoma mali zake

Na ikibainika kama ni kweli je??
 
Utakamata wangapi kwa ajili ya kumsafisha DIKTETA wa Chato? Kitu gani wewe unatia wasiswasi juu ya UFEDHULI Magufuli?

Huhitaji kumkamata Zitto kujuwa kuwa Magufuli alikuwa SHETANI. Mambo yote yako kwenye clips zake akiagiza
Wewe kama walishiriki kuchoma na kuwakakamata sasa ndio kumsafisha hayati JPM?
 
Joyce Mukya amechoka kuvumilia genye wadau tunajilia tu.

Gaidi usiombe msamaha kaa huko huko
 
Mbona wapo CHADEMA wengi tu hawajachanjwa!! Masuala ya kijamii msifungamanishe na siasa. Familia yangu ni CHADEMA dami ila siku JPM anafariki nilitoa chozi na wote tulimlilia sana almost mwezi mzima.

Nachosema tusifungamanishe mambo ya kijamii na siasa. Maana licha ya kwamba nilimlilia au kuna mtu hajapigwa chanjo haimaanishi lazma amuunge mkono JPM.
 
Hio shamba la korosho huko nyuma alilikana .... sasa leo inakuwaje? Kumbe huyu kijana naye haaminiki ingawa anajifanya ana misimamo yake ....!! Kwa kulikana shamba lake la korosho alikuwa na malengo gani hasa ..... au ndiyo zile hofu za Magufuli ....!!
 
Uzandiki mliofanya kwenye takataka za Tanzanite mmeusahau? That aside, Magufuli is gone forever. Mkubali msikubali
 
Bado mnaishi zama za meko?
Meko kafa hamtaki kuamini????
 
Acheni kutukuza waliokufa, kama vipi aje yeye mwenyewe Magufuli kumkamata Zitto!
 
Hoja sio kumuunga mkono hayati JPM hoja ni kupata ukweli na kujua ni akina nani walitumwa kuchoma nyumba na shamba lako
 
Zitto Kigoma wewe, waulize polisi wakati wa Magu kama walishaweza kumkamata Zitto labda aamue kwenda mwenyewe
 
Niko vaccinated kwa utashi wangu na wala haihusiani na kumpinga JPM. Hoja yako ya mtu asiyechanja kwa kutopenda au kutopata fursa eti ndio kumuunga mkono marehemu ni mfu kabisa.
 
Waliochoma nyumba yake dodoma kuwakamata? Waliochoma imma advocate??
Meko alikuwa shetani tutake usitake
Ulichoandika kina mahusino na Zitto kusaidia polisi kuwajua waliotumwa na JPM kuchoma mali za Zitto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…