Waziri Simbachawene

Waziri Simbachawene

Mama Edina

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
850
Reaction score
2,019
Ningependa ufahamu magumu wanayopitia watumishi walioko chini ya OR-Tamisemi hususani kada za

1. Elimu
2. Afya
3. Watendaji wa Serikali za mitaa

Hawa wanapitia mateso makubwa hususani wale wa chini kwa Wakuu wa idara wao kugeuka Miungu Watu hususani Waalimu stahiki yao nimegeuzwa mitaji ya Wakuu wa idara mfano fedha za uhamisho wa ndani na hata wa nje, nauli ya likizo, kujikimu (imekua Kama hisani na siyo haki) na pale wanapokuwa na barua za maombi Kama vile kweñda masomoni kubadilishana vituo vya kazi na uhamisho wa kawaida. Ukiwataka wafanye ulivyotamka unakuwa umeweka petroleum oil kwenye moto.

Wasaidie uhamisho badala ya kuwatelekeza. Umedangannywa na wanaokuambia na usitamani kurudishwa kituo chako cha zamani.
 
Mapendekezo yako kimuundo?
Afya washughulikie mambo yao, ajira nk.... Ofisi ziwe hospitalini.

Wizara ya elimu washighulikie Yao ikiwa no pamoja na ajira. Ofsi ziwe kwenye shule.mojawapo.

Ujenzi kadhalika, Maji, Mapato washughulikie TRA wenyewe nk nk. Tamisemi imewekwa kiulaji usio na lazima

Utumishi wabaki Halmashauri ku coordinate masula yote hapo hapo halmashauri . Hilo dude kuuubwa halitakiwepo tena
 
ogopa mtu mweny mvi sehmu mooja tu ya kichwa chake.

ukomo wa uelewa wake ni hicho kisehemu chenye mvi.
 
OR- TAMISEMI huko hakufai aiseee!! Ni kubaya na hakuna haki.

Huko ni dhuluma na umaskini tuu.
 
Ningependa ufahamu magumu wanayopitia watumishi walioko chini ya OR-Tamisemi hususani kada za

1. Elimu
2. Afya
3. Watendaji wa Serikali za mitaa

Hawa wanapitia mateso makubwa hususani wale wa chini kwa Wakuu wa idara wao kugeuka Miungu Watu hususani Waalimu stahiki yao nimegeuzwa mitaji ya Wakuu wa idara mfano fedha za uhamisho wa ndani na hata wa nje, nauli ya likizo, kujikimu (imekua Kama hisani na siyo haki) na pale wanapokuwa na barua za maombi Kama vile kweñda masomoni kubadilishana vituo vya kazi na uhamisho wa kawaida. Ukiwataka wafanye ulivyotamka unakuwa umeweka petroleum oil kwenye moto.

Wasaidie uhamisho badala ya kuwatelekeza. Umedangannywa na wanaokuambia na usitamani kurudishwa kituo chako cha zamani.
Mweh
Huko ni chaka la ufisadi na uonevu wa wafanyakazi kada ya kati na chini
 
Back
Top Bottom