Waziri TAMISEMI tunaharibu elimu siasa zisiharibu utaratibu uniform zina sababu ya kuwepo tikiruhusu hilo mabint wataishia kwenye magheto

Waziri TAMISEMI tunaharibu elimu siasa zisiharibu utaratibu uniform zina sababu ya kuwepo tikiruhusu hilo mabint wataishia kwenye magheto

polokwane

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2018
Posts
3,361
Reaction score
5,842
tusipeleke mambo kienyeji na kuharibu mifumo iliyo kuwepo itatugharibu baadae kuirudisha pale itakapo bainika inaharibu utaratibu

waziri TAMISEMI nikuombe sana mifumo ya shule iliyopo ilisha tengenezwa, siasa zisifanye tuanze kuivuruga tena

sare za shule zina umuhimu sana kwa usalama wa mwanafunzi na kumdhibiti kuwa na mizunguko isiyo faa si jambo jema kuruhusu wanafunzi kuto vaa sare katika hali hii, mnawadekeza sana watanzania hawa kwa sababu za kisiasa hali inayo pelekea wawe wazembe kupita kiasi katika mambo mengi

kwa namna hii uliyo anza kuna wakati hao wazazi watasema hatuna hela za madaftari na peni kitu ambacho nadhan mtasema waende tu bila madaftari


Nashauri tupunguze siasa kwenye elimu tuache mifumo iliyo kwisha kuwepo isimamiwe tusirahisishe kila jambo kutafuta kuungwa mkono kisiasa kuna mengine yanafaida kisiasa ila yana hasara kijamii

Mapokeo ya hili hayato kuwa kama wewe waziri ulivyo waza kwa mimi nanaewajua wanafunzi na natabia zao na pia wazazi na tabia zao hii itakuwa sababu kuu na mabinti wataishia kwenye ma guest na magheto ya wahuni , sare ya shule ina punguza sana mwanya huo lifikirie upya kuna mengine ni kuyaacha tu utaratibu uzingatiwe maana hizo nguo za nyumbani kwa wanafunzi sijui ni za aina gani maana wengine wana visuruali tu na wengine vimin na vitop au mabega wazi hii ina kiwa na muongozo gani maana ukimkataa mtoto aliye kija na nguo hiyo isiyo sare lakini haina maadili bado kwa mzazi aliye zoea mavaz hayo na kuyaona ya kawaida kwakwe itakuaa nongwa, tusiingize siasa kwa kila jambo swala la sare za shule lisirahisishwe kisiasa maaa siasa zilizo ingizwa kwenye elimu had sasa zitoshe tu.
 
Viongozi wa sasa wamekuwa MATAHIRA sana
Huwa nashindwa kujua hayo maamuz huwa wanayajadili kwanza? Au ummy kwa vile kaaminiwa basi atakalo liwaza yeye halihitaji mjadala , maana kama huwa wanajadiliana basi kuna shida kubwa sana ya uwezo wa vingozi wetu kung'amua na kutafakari mambo kwa kina
 
Huwa nashindwa kujua hayo maamuz huwa wanayajadili kwanza? Au ummy kwa vile kaaminiwa basi atakalo liwaza yeye halihitaji mjadala , maana kama huwa wanajadiliana basi kuna shida kubwa sana ya uwezo wa vingozi wetu kung'amua na kutafakari mambo kwa kina
Hakuna muunganiko na serikali kuu kila kiongozi ana maamuzi yake
 
tusipeleke mambo kienyeji na kuharibu mifumo iliyo kuwepo itatugharibu baadae kuirudisha pale itakapo bainika inaharibu utaratibu

waziri TAMISEMI nikuombe sana mifumo ya shule iliyopo ilisha tengenezwa, siasa zisifanye tuanze kuivuruga tena

sare za shule zina umuhimu sana kwa usalama wa mwanafunzi na kumdhibiti kuwa na mizunguko isiyo faa si jambo jema kuruhusu wanafunzi kuto vaa sare katika hali hii, mnawadekeza sana watanzania hawa kwa sababu za kisiasa hali inayo pelekea wawe wazembe kupita kiasi katika mambo mengi

kwa namna hii uliyo anza kuna wakati hao wazazi watasema hatuna hela za madaftari na peni kitu ambacho nadhan mtasema waende tu bila madaftari


Nashauri tupunguze siasa kwenye elimu tuache mifumo iliyo kwisha kuwepo isimamiwe tusirahisishe kila jambo kutafuta kuungwa mkono kisiasa kuna mengine yanafaida kisiasa ila yana hasara kijamii

Mapokeo ya hili hayato kuwa kama wewe waziri ulivyo waza kwa mimi nanaewajua wanafunzi na natabia zao na pia wazazi na tabia zao hii itakuwa sababu kuu na mabinti wataishia kwenye ma guest na magheto ya wahuni , sare ya shule ina punguza sana mwanya huo lifikirie upya kuna mengine ni kuyaacha tu utaratibu uzingatiwe maana hizo nguo za nyumbani kwa wanafunzi sijui ni za aina gani maana wengine wana visuruali tu na wengine vimin na vitop au mabega wazi hii ina kiwa na muongozo gani maana ukimkataa mtoto aliye kija na nguo hiyo isiyo sare lakini haina maadili bado kwa mzazi aliye zoea mavaz hayo na kuyaona ya kawaida kwakwe itakuaa nongwa, tusiingize siasa kwa kila jambo swala la sare za shule lisirahisishwe kisiasa maaa siasa zilizo ingizwa kwenye elimu had sasa zitoshe tu.
Ummmy mwanzo alikuwa na akili lakin Sasa hv kilaza kweli , et mwanafunz aje hvyohvyo ukifany Kaz na mjinga nawe unakuwa mjinga
 
tusipeleke mambo kienyeji na kuharibu mifumo iliyo kuwepo itatugharibu baadae kuirudisha pale itakapo bainika inaharibu utaratibu

waziri TAMISEMI nikuombe sana mifumo ya shule iliyopo ilisha tengenezwa, siasa zisifanye tuanze kuivuruga tena

sare za shule zina umuhimu sana kwa usalama wa mwanafunzi na kumdhibiti kuwa na mizunguko isiyo faa si jambo jema kuruhusu wanafunzi kuto vaa sare katika hali hii, mnawadekeza sana watanzania hawa kwa sababu za kisiasa hali inayo pelekea wawe wazembe kupita kiasi katika mambo mengi

kwa namna hii uliyo anza kuna wakati hao wazazi watasema hatuna hela za madaftari na peni kitu ambacho nadhan mtasema waende tu bila madaftari


Nashauri tupunguze siasa kwenye elimu tuache mifumo iliyo kwisha kuwepo isimamiwe tusirahisishe kila jambo kutafuta kuungwa mkono kisiasa kuna mengine yanafaida kisiasa ila yana hasara kijamii

Mapokeo ya hili hayato kuwa kama wewe waziri ulivyo waza kwa mimi nanaewajua wanafunzi na natabia zao na pia wazazi na tabia zao hii itakuwa sababu kuu na mabinti wataishia kwenye ma guest na magheto ya wahuni , sare ya shule ina punguza sana mwanya huo lifikirie upya kuna mengine ni kuyaacha tu utaratibu uzingatiwe maana hizo nguo za nyumbani kwa wanafunzi sijui ni za aina gani maana wengine wana visuruali tu na wengine vimin na vitop au mabega wazi hii ina kiwa na muongozo gani maana ukimkataa mtoto aliye kija na nguo hiyo isiyo sare lakini haina maadili bado kwa mzazi aliye zoea mavaz hayo na kuyaona ya kawaida kwakwe itakuaa nongwa, tusiingize siasa kwa kila jambo swala la sare za shule lisirahisishwe kisiasa maaa siasa zilizo ingizwa kwenye elimu had sasa zitoshe tu.
Kwanini waTanzania tupo negative kila kitu tunawaza failure tu?

Kwani nani kasema mtoto akitaka kwenda lodge hawezi beba nguo ya ziada kwenye begi? So akienda kichakani anabadili tu anaenda lodge?

Ambacho ni obvious ni kwamba zipo standards na miongozi ya nguo gani zivaliwe na zipi zisivaliwe ila huwezi zuia sera eti kisa kuna mabinti wataishia gesti au kuvaa vimini.

Tuache kuwa pessimistic tuwe na positive mind na tushauri objectively sio kutumia emotions na speculations as if huko wizarani hakuna wanataaluma.
 
Kwakweli naelewa kwa nini wanawake hawatakiwi kuwa viongpzi wakubwa
Ndio nini tena hiki?? Tanzania si imeongozwa na marais wanaume toka uhuru wame achieve nini cha kusema?

Hakuna correlation ya uwezo wa kuongoza na jinsia ya mtu!! Hyo tafiti haipo maana kila mtu akipewa fursa anaweza onyesha uwezo wake!!! Otherwise wizara za wanawake zinge under perform kuliko za wanaume.
 
Kwanini waTanzania tupo negative kila kitu tunawaza failure tu?

Kwani nani kasema mtoto akitaka kwenda lodge hawezi beba nguo ya ziada kwenye begi? So akienda kichakani anabadili tu anaenda lodge?

Ambacho ni obvious ni kwamba zipo standards na miongozi ya nguo gani zivaliwe na zipi zisivaliwe ila huwezi zuia sera eti kisa kuna mabinti wataishia gesti au kuvaa vimini.

Tuache kuwa pessimistic tuwe na positive mind na tushauri objectively sio kutumia emotions na speculations as if huko wizarani hakuna wanataaluma.
Kwakweli ukiwa hujui kitu unajiona uko sahihi yawezekana wewe umeongea kisiasa leo mtasema wasivae sare kwa vile mnadhan sare ni kikwazo na kesho wakisema hawana madaftari mtawambia waende shule bila madaftari?na kesho kutwa mkiona viatu ni kikwazo mtawambia pia waende shule bila viatu?

Hapa ndio maana kuna mazingira huwa namuona MAGUFULI alikuwa sahihi kabisa kwa baadhi ya mambo hakupenda kabisa kuulea ujinga ujinga kama hiv

Siasa zinawafanya muwadekeze watanzania hadi wawe wajinga, swala la sare lilisha kaa kwenye mfumo kuanza kulivuruga tena ni kukosa maarifa tuwe wakweli bila unafiki, siasa zimesha vuruga mambo mengi sana kwenye elimu na bado itazidi kuivuruga kama hivi.

Unapo niambia swala la sera nakuona wewe nawe upeo wako mdogo au hiyo sera huijui , katika sera ya elimu hakuna mahali pamesema watoto kwenda shule bila sare , ingawa sera inataka wanafunzi wote wapate elimu ya msingi.

Kuhusi kiwaza negative lazima Kuna mambo ukiona yapo hovyo lazima uwaze negative kwa sababu jambo lenyewe ni negative mbona yaliyo positive tunayaunga mkono?

Kuhusu mwanamke kuongoza hilo lipo wazi na hata kwenye vitabu vitakatifu limeandikwa tena katika dini zoye kuu sasa ni kipi mungu alikiona kwa mwanamke hadi akaandika hayo mimi kasome maandiko kwa dini yako.
 
Shule zote ziwe chini ya Wizara ya Elimu , Hospital, Vituo vya Afya na Zahanati zirudishwe Wizara ya Afya, OR-TAMISEMi wabaki kusimamia vijiji, huu mwingiliano ndio unaleta shida,
 
Kwakweli ukiwa hujui kitu unajiona uko sahihi yawezekana wewe umeongea kisiasa leo mtasema wasivae sare kwa vile mnadhan sare ni kikwazo na kesho wakisema hawana madaftari mtawambia waende shule bila madaftari?na kesho kutwa mkiona viatu ni kikwazo mtawambia pia waende shule bila viatu?

Hapa ndio maana kuna mazingira huwa namuona MAGUFULI alikuwa sahihi kabisa kwa baadhi ya mambo hakupenda kabisa kuulea ujinga ujinga kama hiv

Siasa zinawafanya muwadekeze watanzania hadi wawe wajinga, swala la sare lilisha kaa kwenye mfumo kuanza kulivuruga tena ni kukosa maarifa tuwe wakweli bila unafiki, siasa zimesha vuruga mambo mengi sana kwenye elimu na bado itazidi kuivuruga kama hivi.

Unapo niambia swala la sera nakuona wewe nawe upeo wako mdogo au hiyo sera huijui , katika sera ya elimu hakuna mahali pamesema watoto kwenda shule bila sare , ingawa sera inataka wanafunzi wote wapate elimu ya msingi.

Kuhusi kiwaza negative lazima Kuna mambo ukiona yapo hovyo lazima uwaze negative kwa sababu jambo lenyewe ni negative mbona yaliyo positive tunayaunga mkono?

Kuhusu mwanamke kuongoza hilo lipo wazi na hata kwenye vitabu vitakatifu limeandikwa tena katika dini zoye kuu sasa ni kipi mungu alikiona kwa mwanamke hadi akaandika hayo mimi kasome maandiko kwa dini yako.
[emoji23][emoji23]oya agiza apo kapepsi kamoja apo kwa Mangi,Afu achana na hao vijana wa hovyo ambao hawajui walitendalo
 
Shule zote ziwe chini ya Wizara ya Elimu , Hospital, Vituo vya Afya na Zahanati zirudishwe Wizara ya Afya, OR-TAMISEMi wabaki kusimamia vijiji, huu mwingiliano ndio unaleta shida,
Points!!
 
Siasa zinawafanya muwadekeze watanzania hadi wawe wajinga, swala la sare lilisha kaa kwenye mfumo kuanza kulivuruga tena ni kukosa maarifa tuwe wakweli bila unafiki, siasa zimesha vuruga mambo mengi sana kwenye elimu na bado itazidi kuivuruga kama hivi.
Tatizo lako mkuu unaishi kwa kukariri na kukosa exposure. Shule niliosoma Primary ilikua ya kanisa hatukua na uniform ila maadili na performance tulikua far ahead ya shule za hapo Dodoma.
Hakuna correlation kati ya uniform na ufaulu or maadili so sielewi kwanini hatupendi exemptions ili kupunguza urasimu wa watoto ku access elimu!!!
Unapo niambia swala la sera nakuona wewe nawe upeo wako mdogo au hiyo sera huijui , katika sera ya elimu hakuna mahali pamesema watoto kwenda shule bila sare , ingawa sera inataka wanafunzi wote wapate elimu ya msingi
Sera inasema kupunguza barriers kwa access ya elimu; so moja ya strategy ndio kama hiyo kuondoa urasimu kwenye accessibility maana hta mtaani kwangu kuna watoto walishindwa kujiandikisha kisa sketi tu na uniform, kiatu n.k. so kama nia ni njema tushauri namna ya ku-customize huduma sio kusema oooh sera zisibadilishwe as if ni Katiba!!
Kuhusi kiwaza negative lazima Kuna mambo ukiona yapo hovyo lazima uwaze negative kwa sababu jambo lenyewe ni negative mbona yaliyo positive tunayaunga mkono
Ndio nakushauri uwe optimistic, huo mfumo wa elimu ulishaharibika toka enzi za Nyerere kwa hiyo mabadiliko yoyote can only make things less worse. Kama issue ni kuongeza accessibility kwa vulnerable communities kwanini uwaze ngono na vimini tu? Kwanini usiwaze maskini asiyeweza kumudu uniform asiwe na kikwazo cha kupata elimu then utaratibu unafanyika while kawa enrolled!!

Kingine unadai watakuja na vimini, sasa kama unakiri wanamiliki vimini ina maana maadili si tayari hawana sasa hizo uniform unazozipigia chapuo zimesolve nini kwenye suala la maadili? If at all wakirudi home wanavaa vimini?
Kuhusu mwanamke kuongoza hilo lipo wazi na hata kwenye vitabu vitakatifu limeandikwa tena katika dini zoye kuu sasa ni kipi mungu alikiona kwa mwanamke hadi akaandika hayo mimi kasome maandiko kwa dini yako
Mimi ni mkristo Biblia hiyo hiyo imekubali suala la utumwa na imeruhusu watu wanunue watumwa sasa mbona serikali hairuhusu human trafficking au forced labor? Mbona sijasikia ukisema tunakosea kuacha suala la utumwa ambalo lipo kibiblia? Au unafanya cherry picking? Anyway nionyeshe mstari gani wa Biblia ambapo MUNGU anasema mwanamke hafai kuongoza au mwanaume pekee ndio aongoze taifa. Na mimi ntakuja hapa na story za Kendake, Malkia wa sheba, Deborah,Esther,Prisca et al ambao kwa nafasi zao kibiblia waliongoza wanaume kufikia mafanikio!!
 
Unakuta mwalimu amevaa sweta na koti kujilinda na baridi anawachapa viboko wanafunzi waliovaa makoti kwa sababu sio sare ya shule! na wanafunzi wamevaa kaptula wanapigwa baridi!
 
Back
Top Bottom