Waziri Ulega akipiga mkwara na Kingereza cha ugoko

Waziri Ulega akipiga mkwara na Kingereza cha ugoko

Home boy hakuna sababu ya kutumia hizi lugha za mataifa, lakini fanyia marekebisho hizi sentensi zako mbili.

"when the speaker and receiver understands each other".(kuna makosa hapa,fanya iwe hivi:when speaker and receiver understand each other.(ukishakuwa na compound subject always verb inakuwa ya umoja)).

"Did the Chinese Contractor understood the minister's message?"(kosa jingine hapa,ushakuwa na auxiliary Do katika past form mategemeo yetu ni kwamba main verb itakuwa kwenye base form,kwahiyo hiyo "understood" ni kosa lingine tu lakutumia lugha za watu bila sababu ya msingi)
Did ikishatumika tu, basi main verb Kama iyo understand inabakia ivyo ivyo.
Nakumbuka mwalimu wangu wa English primary mlimani primary school alisema kuwa Kuna walimu wanamkaririsha mwanafunzi kuwa ukiona yesterday basi go inakuwa went.
Sasa Kuna aina tatu za Sentesi , question, affirmative and negative Sentences.
 
Kama alishindwa kujisimamia kielimu ili ajifunze kiingereza fasaha atawezaje kusimamia public mega project?
Mkuu,

Huoni kwamba kwa Kiingereza chake hichohicho cha manati, Waziri Ulega ameibua issues muhimu kabisa katika Project Management, issues kama za timeline, mpaka issues za diplomasia ya kimataifa ya urafiki wa Tanzania na China ambao kampuni hii inatishia kuuharibu?

Hujaona Waziri Ulega anafanya kitu muhimu kabisa katika Project Management kinaitwa MBWA, Management By Walking Around, anapitia hiyi sehemu kuangalia kama wanafanya kazi mpaka weekend na anaona hawafanyi kazi?

Na ingawa Kiingereza si kizuri sana, kajieleza kuhusu issue hizi na zimeeleweka?

Mkuu,

Huoni kwamba watu wana focus kwenye Kiingereza tu wakati Waziri Ulega ame raise mambo muhimu sana mpaka yanayohusu traffic jams za Dar, na watu hawaongelei haya mambo muhimu, ambayo kabda yameelezwa kwa Kiingereza cha manati, lakini yameelezwa, watu wanaishia kujadili Kiingereza tu?
 

Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.

Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.

Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.

Poleni Tanzania. Ni aibu
Mbona limeongea kizuri tu kwa size Tanzania aiseee! Wewe cha kwako kiko wapi?
 
Binafsi naona kaongea vizuri, labda na mimi ndio walewale.

Tutofautishe grammatical errors na accent, grammar yake haikuwa mbaya, tena yupo vizuri kuliko wengi wetu. Accent yake ni ya kiafrika, au tunataka aongee kama muingereza?
Hmm really? Mbona amefanya makosa mengi tu ya kisarufi hapo….

Na siyo kakosea kwenye sarufi tu. Hadi syntax katenda makosa kadhaa.
 
Mkuu,

Huoni kwamba kwa Kiingereza chake hichohicho cha manati, Waziri Ulega ameibua issues muhimu kabisa katika Project Management, issues kama za timeline, mpaka issues za diplomasia ya kimataifa ya urafiki wa Tanzania na China ambao kampuni hii inatishia kuuharibu?

Hujaona Waziri Ulega anafanya kitu muhimu kabisa katika Project Management kinaitwa MBWA, Management By Walking Around, anapitia hiyi sehemu kuangalia kama wanafanya kazi mpaka weekend na anaona hawafanyi kazi?

Na ingawa Kiingereza si kizuri sana, kajieleza kuhusu issue hizi na zimeeleweka?

Mkuu,

Huoni kwamba watu wana focus kwenye Kiingereza tu wakati Waziri Ulega ame raise mambo muhimu sana mpaka yanayohusu traffic jams za Dar, na watu hawaongelei haya mambo muhimu, ambayo kabda yameelezwa kwa Kiingereza cha manati, lakini yameelezwa, watu wanaishia kujadili Kiingereza tu?
Limeongea vizuri bwana tena pronounciation ya lenyewe iko vizuri tu 'we can not allow that!"
 

Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.

Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.

Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.

Poleni Tanzania. Ni aibu
Mbona mkuu wa mkoa alimsifia kuwa yuko fit sana?
 
Hmm really? Mbona amefanya makosa mengi tu ya kisarufi hapo….

Na siyo kakosea kwenye sarufi tu. Hadi syntax katenda makosa kadhaa.
Inaweza isiwe advanced au proficient, ila ikawa intermediate au upper intermediate mkuu!! Kwa level ya Tanzania na watanzania mimi naona hayupo mbali sana.
 
Did ikishatumika tu, basi main verb Kama iyo understand inabakia ivyo ivyo.
Nakumbuka mwalimu wangu wa English primary mlimani primary school alisema kuwa Kuna walimu wanamkaririsha mwanafunzi kuwa ukiona yesterday basi go inakuwa went.
Sasa Kuna aina tatu za Sentesi , question, affirmative and negative Sentences.
Sio tu Did bali forms zote za auxiliary verb DO(do,does,did) zikisimama na main verb kwenye sentensi zinabaki katika base form au umbo lake la dictionary ukipenda wengine waziita simple verbs
 

Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.

Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.

Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.

Poleni Tanzania. Ni aibu
Wewe kweli Zumbukuku wa mwisho usiyejielewa ushawah kumsikia Putin, Xi jinping au Rais wa Iran wakiongea kingereza...Acha utumwa wa Akili Bro.
Kingereza ni lugha tu kama Kipare
 

Kwa aibu niliyojiskia leo baada ya kusikiza Kiingereza cha Waziri Ulega akizungumza na Wakandarasi Wachina wanaojenga barabara ya mwendokasi huko Mwenge leo nakuomba tu Msemaji wa Serikali zungumza na Waandishi wa habari na waombe tu wasirushe zilr clips za Waziri wetu akizungumza kiingereza.

Kwa kifupi tu Waziri wetu kaharibu mbaya. Ile clip ikienda viral ni aibu sana 😅. Kile kiingereza kitatuaibisha sana kama Taifa. Ni broken isiyovumilika.

Mwisho jamani nafasi za Uwaziri ni kubwa sana. Hawa ni watu wanao negotiate deals kwa faida ya nchi. Wanaosimama kwenye international platforms kuwakilisha nchi. Jamaniii tuteue watu wenye uwezo hata wa kuzungumza hizi lugha kubwa za kigeni kama kiingereza kwa ufasaha.

Poleni Tanzania. Ni aibu
Mbona kiingereza chake siyo kibaya...tatizo watz na wakenya mnataka mtu aongee kiingereza kama native speaker...hicho kitu hakipo. Cha misingi ni ujumbe kufika na mawasiliano yafanyike..
 
Inaweza isiwe advanced au proficient, ila ikawa intermediate au upper intermediate mkuu!! Kwa level ya Tanzania na watanzania mimi naona hayupo mbali sana.
Kwa viwango vya Watanzania waliosoma mpaka elimu ya chuo, hayuko vizuri, licha ya kwamba mtu unaweza kuelewa alichokuwa anakimaanisha.

Ingawa sina hakika na elimu yake, nahisi walau atakuwa na elimu ya diploma au chuo kikuu.

Uzungumzaji wake naulinganisha na ule wa Rais Magufuli.

Rais Magufuli na shahada zake tatu ila uzungumzaje wake wa lugha ya Kiingereza ulikuwa mbovu sana.
 
Limeongea vizuri bwana tena pronunciation ya lenyewe iko vizuri tu 'we can not allow that!"
Sawa mkuu, wewe umeshatoka kwenye lugha.

Vipi kwenye substance.

Kuna watu wanasema Ulega muongo, haiwezekani serikali itoe hela yote halafu mkandarasi azembee hivyo.

Ama serikali haijatoa pesa zote, ama kama imetoa pesa zote hata kwenye upande wa serikali ufuatiliaji umezembea.

Kuna mtaalamu mmoja niko naye hapa anasema hivi.

Lazima kampuni Class A itumie hela zake.

Lazima ulipaji uende awamu kwa awamu kila awamu ikikamilika malipo yafanywe.

Serikali kama wamelipa hela zote, kwa nini hawakukagua mradi mpaka mwezi mmoja kabla ya mradi kukamilika?

Kwa nini Ulega anaweka drama nyingi wakati angeweza kusema anavunja mkataba kwa kuwa mkandarasi hajatimiza vigezo hivi na vile vya mkataba?

Hapo vipi?

Huoni kwamba kwa kujikita kwenye Kiingereza cha Ulega (bila kujali ni kizuri au kibaya) tunakosa kujadiliana kwenye haya mambo mengine muhimu sana?
 
Kiingereza cha Waziri, katika nchi ambayo Kiingereza ni lugha rasmi, si kizuri, huwezi kukitetea.

Na pengine kama hujazoea Kiingereza kizuri, huwezi kuona mapungufu.

So, from the outset Ulega kakosea, aliyemteua Ulega kakosea. Hilo kwangu halina mjadala. Waziri anatakiwa kujua Kiingereza. Akisafiri nje ataongea Kiswahili? Hata kama atatafsiriwa, kama Kiingereza chake cha matata, ataweza kusoma na kuelewa mambo ya nje ya Tanzania? Kutokujua Kiingereza, hata kama kuna watafsiri, kunapunguza efficiency ya mawasiliano.

Hiki Kiingereza angeongea Waziri wa DR Congo, ningeweza kumtetea kuwa nchi yao hawaongei Kiingereza. Lakini kwa nchi ambayo Kiingereza ni lugha rasmi, Kiingereza hiki si kizuri, lakini pia si Kiingereza fulani ambacho hakieleweki Waziri anasema nini.

Sasa hapo tunapaswa kujiuliza swali.

Of course in the perfect world tunatakiwa kuwa na Waziri anayejua Kiingereza vizuri na anayewabana anaotakiwa kuwabana kwa Kiingereza kilichonyooka kabisa.

Lakini je, ukiwa na Waziri kama Ulega mwenye Kiingereza cha kuvuta kwa manati, ungependa afanye nini? Asifanye kazi yake ya kuwabana anaotaka kuwabana mpaka aweze kuongea Kiingereza cha Mfalme Charles kwa lafudhi ya Received Pronunciation ya James Naughtie wa BBC?

Labda vijana wa sasa hamjui habari ya Bunge la Tanzania kuanza kukubali Kiswahili ilianzaje.

Mbunge wa Kinondoni ( nafikiri Kinondoni), Bibi Titi Mohammed, alikuwa bungeni akitaka kuwakilisha watu wake vizuri, akitaka kudai umeme upelekwe Magomeni watu wa Magomeni wafaidi kuwa na taa za umeme.

Lakini Bibi Titi Mohammed, ingawa alikuwa na ari kubwa sana ya kuwasikisha hoja yake hii bungeni, hakuwa msomi, hakujua sana Kiingereza.

Bobi Titi Mohammed akawa na uamuzi mgumu sana. Je, asimame na kudai anachotaka kudai kwa Kiingerwza ambacjo hakijui vizuri na anaweza kuboronga maneno akachekwa na watu? Au akae kimya na kuogopa kuharibu Kiingereza, lakini kwa kukaa kimya hivyo, aiachie nafasi ya kupigania haki za wananchi waliomtuma bungeni?

Bibi Titi Mohammed akaamua kusimama na kuongea kwa Kiingereza hicho hicho cha manati alichokijua.

Hapo ndipo aliposimama na kutoa hotuba iliyopata umaarufu ya "fire in the bottle". Akisema kwamba "We want fire in Magomeni...We want fire in small bottles".

Watu wajawa hawaelewi, anamaanisha nini kwa kusema "We want fire in small the bottles"?

Wakaja kugundua kuwa alikuwa anadai umeme ili watu wa Magomeni wapate taa za umeme, "fire in small bottles" ni zike taa za umeme.

Sasa hapo utamcheka Bibi Titi kuwa alikuwa hajui Kiingereza? Au utamsifia kuwa huyu alikuwa shujaa wa kupigania maslahi ya wananchi waliomtuma, hata pale ambapo hakujua Kiingereza vizuri, alisimama hivyohivyo ili nradi kawakikisha watu wake tu?

Serikali ililiona hili tatizo. Watu wetu wwngi hawajui Kiingerwza, kwa nini tunalazimisha bunge liwe ka Kiingereza?

Wakabadilisha mfumo wakaruhusu wabunge kuongea Kiswahili.

Ulega kaharibu lugha. Hapo siwezi kumtetea.

Vipi kuhusu substance?

Kuna watu wamezungumzia substance ya alichoongea Ulega?

Au tumeishia kucheka lugha tu?
Mkuu,Umemtetea na Kumkosoa Kwa Wakati Mmoja ...Msimamo Wako Ni Upi Uko Upande Gani?
 
Ndalichako yule sijui alipata je udakitari PhD, wote na mwendazake kiingereza kinawasumbua na Zelensky wa Ukurain anawaxidi wakati hakusoma kiingereza
Kile cha Ndalichako ni kiboko ukizingatia alikuwa waziri wa elimu.
 
Mkuu,Umemtetea na Kumkosoa Kwa Wakati Mmoja ...Msimamo Wako Ni Upi Uko Upande Gani?

Msimamo wangu ni kudai katiba mpya itakayotupa rais na mawaziri politico-technocrats watakaopanda kwa meritocracy ambao hawatakiwi kutokana na wabunge.

Msimamo wangu ni kukataa false dichotomies.

Hili si jambo la ama kumtetea ama kumkosoa, kuna nuances nyingi hapa. Nyingine ni systemic ambazo zimevuka level ya kawama kwa mtu mmoja, kama hiyo ya katiba mpya hapo juu.

Kama Kiingereza ni muhinu hivyo, kutoka bunge lililojaa wabunge wasiojua Kiingereza vizuri, unategemea vipi rais awe na mawaziri wanaojua Kiingereza vizuri?

Huyu si peke yake. Tumeona Jenister Mhagama alivyohangaika kuongea Kiingereza cha kujitambukisha na diplomasia ndogo za mikutano kule Congo kwenye mkutano wa WHO nafikiri.

Msimamo wangu ni kwamba, ingawa Waziri anatakiwa kujua Kiingereza kizuri, na hana excuse kwenye hilo, huyu ndiye Waziri wetu na hayo ndiyo maneno aliyoyasema. Na huyu kama muwakilishi wa Watanzania, ambao wengi wana matatizo ya Kiingereza, simtegemei ajue Kiingereza cha Received Pronunciation cha BBC.

Kwa Kiingereza chake hicho cha kuunga unga, tunaweza kuelewa kasema nini?

Kama tumeelewa, tunaweza kujadili alichosema badala ya kujadili umahiri wake katika Kiingereza?

Inawezekana mkamlaumu Waziri kutokujua Kiingereza, kumbe lawama ni za rais na wananchi waliomchagua. Ukimchagua mbunge umesema huyu mtu anafaa kuwa waziri dakika yoyote.

Sasa, hao wananchi wanaochagua wabunge wanajali Kiingereza?

Wananchi wanachagua wabunge wanaowataka kweli?

Sasa kama Watanzania wengi hawajui Kiingereza na huyu ndiye muwakilishi wao wanaona anawafaa, kwa kuwa wao kujua Kiingereza si muhimu kama kujua matatizo yao, akiwa waziri kwao ni sawa, hapo kuna kosa?

After all, hata hapa wengi wamesema Kiingereza chake ni cha kawaida tu kwa Mtanzania, na kwamba hata rais Magufuli alikuwa na Kiingereza kama hiki.

Tumejadili hoja alizosema Ulega au tumeishia kwenye Kiingereza tu?
 
Mkuu uchina urusi wajerumani wafaransa wareno mbona wana lugha zao na maisha yanaenda so hawaingiagi miktaba ,yaani mmekuwa brainwashed Ile mbaya
Kwani wao wakiwasiliana kwa kingereza huwa wanapata tabu kama Ulega!!?
Kwani wao wakiingia mikataba huwa wanatumia kiingereza ama wanatumia lugha zao!!??
Kwani wao shule zao wanajifunza kwa kutumia kiingereza ama kwa lugha zao!!??

Muombe Mungu sana akupe akili ya kusoma na kuelewa hoja kwa umakini kabla ya kukurupuka kujibu au kuongea.
 
Did ikishatumika tu, basi main verb Kama iyo understand inabakia ivyo ivyo.
Nakumbuka mwalimu wangu wa English primary mlimani primary school alisema kuwa Kuna walimu wanamkaririsha mwanafunzi kuwa ukiona yesterday basi go inakuwa went.
Sasa Kuna aina tatu za Sentesi , question, affirmative and negative Sentences.
Mlimani ya Mndolwa!!??
 
Back
Top Bottom