Biz TV
New Member
- May 14, 2022
- 2
- 0
Waziri Ummy amewataka NIMR Kuwa na Mashamba kiła Halmashauri watakayotumia kuotesha Miti Dawa. "Nimewapa maelekezo NIMR, Nataka kuona Mashamba ya miti Dawa nchi nzima, kwa kuangalia upatikanaji wa hizo dawa. Kwasababu hizi dawa zimetusaidia na zimetutibu" Alisema Waziri Ummy.
Aidha Waziri Ummy amewataka NIMR kufanya utafiti kama Stafeli ni tiba ya Saratani. "Tunasikia Habari mtaani kwamba Stafeli linatibu Saratani, Kwahiyo sasa ni NIMR Waingie kazini watupe utafiti Je kweli Stafeli linatibu Saratani au halitibu Saratani"
Aidha Waziri Ummy amewataka NIMR kufanya utafiti kama Stafeli ni tiba ya Saratani. "Tunasikia Habari mtaani kwamba Stafeli linatibu Saratani, Kwahiyo sasa ni NIMR Waingie kazini watupe utafiti Je kweli Stafeli linatibu Saratani au halitibu Saratani"