Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu internship inaenda sanjari na allowances kama busfare, meals and accomodation na ipo kisheria kwa taaluma kama utabibu, unesi, maabara na mafamasia kwa ngazi ya shahada hapa nchini. Vipi hawa walimu mliwatangazia lini wajitolee na ajira zao zinatolewa kwa mfumo huo tangu lini? nani alikuwa anawalipa pesa za kujikimu? na vipi kuhusu taasisi za uma zilizokataa kupokea vijana wa kujitolea?wewe ndiye huelewi- duniani kuna internship
internship
noun
the position of a student or trainee who works in an organization, sometimes without pay, in order to gain work experience or satisfy requirements for a qualification.
"they encouraged students to apply for newspaper internships"
Kila mmoja anataka aaijiriwe serikalini. Hao walioomba serikalini asilimia kubwa wana ajira tayari shule binafsi na wanalipwa vizuri lakini hawazithami.Tatizo ni kubwa kuliko hata ajira zenyewe, boresheni sekta binafsi wau wajiajiri
Wewe unadhani ni asilimia ngapi ya wahitimu wanamudu hali ya kujikimu wenyewe pindi wawapo majitoleoni?wewe ndiye huelewi- duniani kuna internship
internship
noun
the position of a student or trainee who works in an organization, sometimes without pay, in order to gain work experience or satisfy requirements for a qualification.
"they encouraged students to apply for newspaper internships"
Tangu lini kujitolea kumefanywa kigezo cha kuajiriwa?Na hafanyi unachotaka tuone sasa
Ulikuwa mvivu gwijiKuitafuta 3.9 mkwawa ni kuitafuta pepo
Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu amesema yapo malalamiko kuwa baadhi ya Walimu wanaojitolea wanawasilisha barua feki zinazosema wanafanya hivyo wakati hawajitolei.
Ametoa kauli hiyo leo Mei 25, 2021 Bungeni Dodoma wakati akimjibu Mbunge wa Longido Kiruswa aliyehoji ni kwanini Seikali isiajiri Walimu ambao wanajitolea. Amesema hata Wanaojitolea watafanyiwa uchambuzi ili kuona kama ni kweli wanafanya hivyo.
Amesema kigezo kikubwa kitakachotumika ni hicho akiongeza kuwa, suala hilo ni tete ambapo nafasi ni 6,949 ilihali mpaka Mei 23, 2021 walioomba ni 89,958. Ameomba Serikali iaminiwe akisisitiza Haki itatendeka.
========
Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu akibu swali la mbunge Kiruswa lililouliza 'Kwanini wasiajiri walimu ambao wanajitolea?' kwenye ajira za ualimu zilizotangazwa karibuni, amesema kigezo kikubwa ambacho watakitumia katika kuangalia wenye vigezo ni wale ambao wanajitolea.
Waziri Ummy amesema kwa sasa ipo changamoto kwa wengine kuleta bara feki kwamba wanajitolea na suala hilo ni tete kwani nafasi zipo 6,949 lakini walioomba wameshafika 89,958 na kumuomba spika aiamini serikali itatenda haki.
Amesema pia upo mtazamo ndani ya wazira labda waajiri ambao wamemaliza muda mrefu lakini hawajaajiriwa akitolea mfano waliomaliza 2012 kwani muda wao wa kuajiriwa serikalini nao unapungua ambapo wanatakiwa kuajiriwa kabla ya kufikisha umri wa miaka 45.
Hakujawahi kutokea utaratibu huu Serikalini wa kuajiri kwa GPA acha ujinga
Mkuu GPA ya 3.8 ST JOSEPH ni sawa na 3.8 MZUMBE? Kwa wewe unavyodhania?Vigezo vifuatavyo vitasaidia kuondoa malumbano ambavyo ni;
1. Waliokaa muda mrefu bila ajira mfano aliyemaliza 2015 apewe kwanza kabla ya alomaliza 2019 maana hata kukaa mtaani tu uzoefu.
2. Ufaulu wa GPA waweke benchmark ya 3.8
UKWELI MCHUNGU UKIONA KAZI YAKO WAFANYAKAZI MLIOPO NCHI NZIMA NI WENGI KUANZIA ELFU 20 BASI MSHAHARA WENU LAZIMA UWE MDOGO.Wengi humu wanaangalia solution ya muda mfupi, wakati bado vyuo vinatema.
Hili tatizo limetengenezwa na hao Wizara ya elimu na TCU yao.
Mtu anaenda kusoma education kwasababu
1. Apate mkopo
2. Programme nyingine zimemtema ualimu ndio kapu la kubeba walioshindwa kwenda labda health programmes.
Lazima watu wajazane wawe wengi sanaa kwenye hiyo fani na wakose pakwenda.
Nashauri
1. TCU iweke vigezo vikali kwenye programmes za ualimu tupate walimu kweli, wenye kupenda ualimu na sio igeuke ni kimbilio la mwisho kwa wanaojiunga na elimu ya juu.
Hii iende sambamba na kuboresha maslahi ya walimu iwe taaluma inayoheshimika.
Una ushahidi?Kila mmoja anataka aaijiriwe serikalini. Hao walioomba serikalini asilimia kubwa wana ajira tayari shule binafsi na wanalipwa vizuri lakini hawazithami.
Mkuu ukijitolea kijijini kwenu ulikozaliwa au kwenye shule ya mtaani kwenu unagharamika nini- mbona mkiitwa na Mbowe kwenye maandamano mnaenda na kudai hamulipwi kitu wala kusombwa kama wale wa CCM- unakera sana wewe na kijilizaliza kwako.Wewe unadhani ni asilimia ngapi ya wahitimu wanamudu hali ya kujikimu wenyewe pindi wawapo majitoleoni?
Mkuu ukishatangaziwa hiyo ni ajira sasa- kujitolea unajipelekamkuu internship inaenda sanjari na allowances kama busfare, meals and accomodation na ipo kisheria kwa taaluma kama utabibu, unesi, maabara na mafamasia kwa ngazi ya shahada hapa nchini. Vipi hawa walimu mliwatangazia lini wajitolee na ajira zao zinatolewa kwa mfumo huo tangu lini? nani alikuwa anawalipa pesa za kujikimu? na vipi kuhusu taasisi za uma zilizokataa kupokea vijana wa kujitolea?
Failed stateAjira 7000 tu katika population ya 60m lakini kila siku bungeni mjadala ni huo huo hii ni big deal kweli?!
Huna akiliMkuu ukijitolea kijijini kwenu ulikozaliwa au kwenye shule ya mtaani kwenu unagharamika nini- mbona mkiitwa na Mbowe kwenye maandamano mnaenda na kudai hamulipwi kitu wala kusombwa kama wale wa CCM- unakera sana wewe na kijilizaliza kwako.
Mkuu umeguswa kwa kutajwa MBOWE TUHuna akili
Ooh yes!!!.Umeongea vyema kabisa.Sometimes kusoma sana au kutosoma hakudetermine GPA kubwa.
Huko "Private" vyuo vingi wanapeana miGPA mikubwa mikubwa tu wakati vyuo vingi serikalini wanafunzi wana kazi ya kuoneshana umwamba na ma-lecturerers.