Waziri Ummy kufanya mabadiliko kwa Watendaji wa Mamlaka za Serikali

Hilo tatizo ni kubwa sana! Mtu ana miaka kumi hajapanda daraja, lkn wamepandisha madaraja lkn mtu huyo ana panda daraja moja tu na anakuja kulingana na mtu aliyepanda miaka mitano iliyopita! Ni kama uonevu au serikali hawajui wawasaidie vipi......wahanga wa tatizo hilo wapo! Inakatisha tamaa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…