Ni jambo jema yuko kwenye swaumu!Naona leo waziri wetu wa afya ambaye hatumuelewi siku hizi, bi Ummy Mwalimu amepokea ripoti ya ukaguzi wa maabara kimya kimya.
Chanzo changu cha kuaminika kinadokeza kuwa waziri wetu amepewa ripoti hiyo leo mchana mjini Dodoma.
Itabidi tufuatilie hali ya mbuzi wetu hukooo6
Mkuu salary slip,Huo ukimya ni dalili ya Mkulu kuumbuliwa yeye na watu wake
Huyo ni mzushi.Huo ukimya ni dalili ya Mkulu kuumbuliwa yeye na watu wake
Ni kweli mkuu.Mkuu salary slip,
Hapa haumbuliwi mtu, wote wanahofu kubwa.
Kinachofanyika ni kutengeneza itakayoweza mpaisha mkuu siyo kumshusha.
Ndiyo maana ya ukimya huu, wakishapika ikaiva utawaona mezani
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni mzushi.
Ripoti ikikamilika atakabidhiwa Dr Mwigullu Nchemba!
Ndio waziri wa afya huyo nchemba, mbona kamati imeundwa na kutangazwa na waziri Wa afyaHuyo ni mzushi.
Ripoti ikikamilika atakabidhiwa Dr Mwigullu Nchemba!
Sina shaka na chanzo chako Mkuu,Fuatilia kisha tupe Updates!!Naona leo waziri wetu wa afya ambaye hatumuelewi siku hizi, bi Ummy Mwalimu amepokea ripoti ya ukaguzi wa maabara kimya kimya.
Chanzo changu cha kuaminika kinadokeza kuwa waziri wetu amepewa ripoti hiyo leo mchana mjini Dodoma.
Itabidi tufuatilie hali ya mbuzi wetu hukooo6
Jabiri Hamza Bin Oil
But report haiwezi pingana na awalipae salaryHuo ukimya ni dalili ya Mkulu kuumbuliwa yeye na watu wake