Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani TBCCM wameishiwa charge?Ulitaka umsindikize kwenye kupokea ripoti? Subiri utaelezwa kilichoandikwa kwenye ripoti. Isitoshe aliyetoa order ya kufanywa uchunguzi ndiye anapaswa kupewa ripoti na Ummy Mwalimu. Mwenye kutoa order halazimishwi kwa vyovyote vile kuiweka ripoti hadharani.
Mimi nimeiona tayari. Idadi ya wanaopona kutokana na ugonjwa wa Corona imeongezeka hasa baada ya kupata kikombe cha Madagascar!Hamtakuja Kusikia Kilicho Ndani!
Walitaka kuona report ikisema vipimo vya corona ni bomu lakini nimesikia mkurugenzi wa CDC Afrika akisema vipimo vipo sawa kabisa. Hivyo hakuna kujijitea na mapapai kuwa positive hizo ni siasa chafu za Africaa.Naona leo waziri wetu wa afya ambaye hatumuelewi siku hizi, bi Ummy Mwalimu amepokea ripoti ya ukaguzi wa maabara kimya kimya.
Chanzo changu cha kuaminika kinadokeza kuwa waziri wetu amepewa ripoti hiyo leo mchana mjini Dodoma.
Itabidi tufuatilie hali ya mbuzi wetu hukooo6
Leo hii mchana alikuwepo Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamara haya huko dodoma amekwenda saa ngapi ebu tuwache kupicha habari hata kama tunatumiwa tusiwe wajinga kiasi hicho mkuuNaona leo waziri wetu wa afya ambaye hatumuelewi siku hizi, bi Ummy Mwalimu amepokea ripoti ya ukaguzi wa maabara kimya kimya.
Chanzo changu cha kuaminika kinadokeza kuwa waziri wetu amepewa ripoti hiyo leo mchana mjini Dodoma.
Itabidi tufuatilie hali ya mbuzi wetu hukooo6
Kwi kwi kwi.....!Ripoti ikikamilika atakabidhiwa Dr Mwigullu Nchemba!
Kwanini aliweka order ile hadharani??Ulitaka umsindikize kwenye kupokea ripoti? Subiri utaelezwa kilichoandikwa kwenye ripoti. Isitoshe aliyetoa order ya kufanywa uchunguzi ndiye anapaswa kupewa ripoti na Ummy Mwalimu. Mwenye kutoa order halazimishwi kwa vyovyote vile kuiweka ripoti hadharani.
Thubutu?,msije sema wameonewaHuo ukimya ni dalili ya Mkulu kuumbuliwa yeye na watu wake
Ulitaka umsindikize kwenye kupokea ripoti? Subiri utaelezwa kilichoandikwa kwenye ripoti. Isitoshe aliyetoa order ya kufanywa uchunguzi ndiye anapaswa kupewa ripoti na Ummy Mwalimu. Mwenye kutoa order halazimishwi kwa vyovyote vile kuiweka ripoti hadharani.
Aisee !!! Kwakweli hiyo ripoti tunaisubiri kwa hamu sana Nina Elizabeth langu lipo kwenye friji naogopa kulila mpaka nipate ripoti kamili ya ukaguzi wa maabara yetu ...Naona leo waziri wetu wa afya ambaye hatumuelewi siku hizi, bi Ummy Mwalimu amepokea ripoti ya ukaguzi wa maabara kimya kimya.
Chanzo changu cha kuaminika kinadokeza kuwa waziri wetu amepewa ripoti hiyo leo mchana mjini Dodoma.
Itabidi tufuatilie hali ya mbuzi wetu hukooo6
Leo hii mchana alikuwepo Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamara haya huko dodoma amekwenda saa ngapi ebu tuwache kupicha habari hata kama tunatumiwa tusiwe wajinga kiasi hicho mkuu