Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ina maoni tofauti na yale yaliyosababisha uchunguzi... Kama matokeo yangefanana ingeandaliwa press conferenceNaona leo waziri wetu wa afya ambaye hatumuelewi siku hizi, bi Ummy Mwalimu amepokea ripoti ya ukaguzi wa maabara kimya kimya.
Chanzo changu cha kuaminika kinadokeza kuwa waziri wetu amepewa ripoti hiyo leo mchana mjini Dodoma.
Itabidi tufuatilie hali ya mbuzi wetu hukooo6
Jr[emoji769]