Ina maoni tofauti na yale yaliyosababisha uchunguzi... Kama matokeo yangefanana ingeandaliwa press conferenceNaona leo waziri wetu wa afya ambaye hatumuelewi siku hizi, bi Ummy Mwalimu amepokea ripoti ya ukaguzi wa maabara kimya kimya.
Chanzo changu cha kuaminika kinadokeza kuwa waziri wetu amepewa ripoti hiyo leo mchana mjini Dodoma.
Itabidi tufuatilie hali ya mbuzi wetu hukooo6
kwani dar hadi dom kwa ndege ni siku ngapi, endapo kama mtu akiamua kuwa sehem zote mbili kwa siku hiyohiyo mmoja?
Kulikuwa na haja gani ya kutoa order ya kufanya uchunguzi hadharani? Ilikuwa atoe order kimya kimya otherwise tutajuwa test kits hazina matatizo mwenye matatizo ni yeye.Ulitaka umsindikize kwenye kupokea ripoti? Subiri utaelezwa kilichoandikwa kwenye ripoti. Isitoshe aliyetoa order ya kufanywa uchunguzi ndiye anapaswa kupewa ripoti na Ummy Mwalimu. Mwenye kutoa order halazimishwi kwa vyovyote vile kuiweka ripoti hadharani.
Umeona akina G Sam walivyo wazushi!Leo hii mchana alikuwepo Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamara haya huko dodoma amekwenda saa ngapi ebu tuwache kupicha habari hata kama tunatumiwa tusiwe wajinga kiasi hicho mkuu
Akili hizi..!! Acha tuUlitaka umsindikize kwenye kupokea ripoti? Subiri utaelezwa kilichoandikwa kwenye ripoti. Isitoshe aliyetoa order ya kufanywa uchunguzi ndiye anapaswa kupewa ripoti na Ummy Mwalimu. Mwenye kutoa order halazimishwi kwa vyovyote vile kuiweka ripoti hadharani.
Above all, sample zetu si ndo zinakwenda pale..! Angekuwa anapeleka sample yake peke yake, ingekiwa sawa..!! Sasa kwa vile za kwetu ndo zinapelekwa kule, atuambie kupoje ili tujue ukweli wa mahibu yatolewayo..Kulikuwa na haja gani ya kutoa order ya kufanya uchunguzi hadharani? Ilikuwa atoe order kimya kimya otherwise tutajuwa test kits hazina matatizo mwenye matatizo ni yeye.
Dodoma kuna uwanja wa ndege na ndege zetu zinatua huko nani safari ya chini ya saa 1.Leo hii mchana alikuwepo Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamara haya huko dodoma amekwenda saa ngapi ebu tuwache kupicha habari hata kama tunatumiwa tusiwe wajinga kiasi hicho mkuu
Lengo lilikuwa kusitisha takwimu ya walioambukizwa na waliokufa. Lengo lao limetimia, hatutakaa kamwe tujue takwimu sahihi za maambukizi na vifo vya corona Tanzania.
Natamani kujua majibu yaliyomo. Haujanusa nusa ?Naona leo waziri wetu wa afya ambaye hatumuelewi siku hizi, bi Ummy Mwalimu amepokea ripoti ya ukaguzi wa maabara kimya kimya.
Chanzo changu cha kuaminika kinadokeza kuwa waziri wetu amepewa ripoti hiyo leo mchana mjini Dodoma.
Itabidi tufuatilie hali ya mbuzi wetu hukooo6
Sii mpaka wakamuulize mzee wasemeje? BTW hivi mzee baba amesharudi kijijini kutoka kule kisiwani?Huo ukimya ni dalili ya Mkulu kuumbuliwa yeye na watu wake
Nahisi hiyi ripoti inamuumbua raisi na specimen zake za mapapai na mbuzi!Naona leo waziri wetu wa afya ambaye hatumuelewi siku hizi, bi Ummy Mwalimu amepokea ripoti ya ukaguzi wa maabara kimya kimya.
Chanzo changu cha kuaminika kinadokeza kuwa waziri wetu amepewa ripoti hiyo leo mchana mjini Dodoma.
Itabidi tufuatilie hali ya mbuzi wetu hukooo6
Kigogo huko ni mawe juu ya mawe, hakuna kulalaKwani Kigogo anasemaje.?
Health Alert: U.S. Embassy Dar es Salaam | U.S. Embassy in TanzaniaLengo lilikuwa kusitisha takwimu ya walioambukizwa na waliokufa. Lengo lao limetimia, hatutakaa kamwe tujue takwimu sahihi za maambukizi na vifo vya corona Tanzania.
Ulitaka umsindikize kwenye kupokea ripoti? Subiri utaelezwa kilichoandikwa kwenye ripoti. Isitoshe aliyetoa order ya kufanywa uchunguzi ndiye anapaswa kupewa ripoti na Ummy Mwalimu. Mwenye kutoa order halazimishwi kwa vyovyote vile kuiweka ripoti hadharani.