Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,085
- 9,022
Duh, ina maana huyu waziri hakugundua hilo mapema? afukuzwe kazi imemshinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha kumbe takwimu wanazotoa wanapika kwanza?Hapo wanaanza kutengeneza mazingira ya kutangaza idadi yenyewe na siyo zile ngonjera
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Walikua wapi wasizuie imported cases? Kwanini walikua wanaruhusu watu waingie kutoka kwenye nchi zenye huu ugonjwa?Waziri wa afya mh Ummy muda huu anazungumza na viongozi mbalimbali wa dini juu ya mikakati ya kudhibiti Corona.
Kwa sasa anaongea Shehe wa mkoa wa Dsm slhad Mussa Salumu ambaye anawalaumu baadhi ya viongozi wenzake wa dini wanaoshindwa kutekeleza maagizo ya wizara.
Kipi cha ajabu hapoWatu wa aina hii ndiyo mnaompa shida na vyombo vya usalama mmiliki wa JF kila siku kushinda Kisutu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha kumbe takwimu wanazotoa wanapika kwanza?
Watu wa aina hii ndiyo mnaompa shida na vyombo vya usalama mmiliki wa JF kila siku kushinda Kisutu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huu ugonjwa unafichika?Zwazwa mmoja...Endeleeni kuficha ugonjwa. Wakiupata watu kadhaa hapo Lumumba mtatia akili.
Alafu yeye akakimbia kijijini kwaoMkaidi alisema hapa corona itashindwa, Mungu ataendelea kutulinda, so tusitishane bhana..
Huyu Mnamuonea tu Aliyeyaleta haya yote ni yule aliyekimbilia kijijini kwaoduh, ina maana huyu waziri hakugundua hilo mapema? afukuzwe kazi imemshinda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vyovyote itakavyokua ila mm najua sikujiumba! Yupo alieniumba na ananijali. Atanipigania kwa kila hali mbaya itakayonikumba