Asante Waziri kwa jitihada zako za kuhakikisha sekta ya afya inawajibika ipasavyo kwa wananchi.
Lakini naona kama unazunguka sana kuhusu kutatua tatizo la uhaba wa dawa mahospitalini.
Wiki iliyopita hapa JF tulitoa maelezo kwa kifupi kuhusu sababu za uhaba wa dawa kwamba ni kwasababu ya Uongozi mbovu wa MSD.
Achana na kukimbizana na hayo maduka ya dawa yaliyokaribu na hospitali maana haitakusaidia kitu kwanza dawa zenyewe hakuna. Fuatilia kilichoandikwa humu JF na ndo mwarobaini wenyewe.
Halafu inaonekana kama vile vionvozi wa hii Serikali mnaogopa kuuwajibisha uongozi wa MSD, mmekuwa mkiyalea matatizo pale Bohari ya Dawa tangu wakati wa Dorothy. Leo tena nimemsikia PM Majaliwa akiwa Manyara akiibembeleza MSD kuhusu kupeleka dawa Manyara, hivi MSD wanatakiwa wafanye kazi kama zimamoto kila wakati wakati hiyo ndo kazi yako?
Pelekeni nguvu zote MSD ili dawa zinunuliwe maana Serikali ya Mama Samia ilishaleta hela kibao hapa MSD.
Lakini naona kama unazunguka sana kuhusu kutatua tatizo la uhaba wa dawa mahospitalini.
Wiki iliyopita hapa JF tulitoa maelezo kwa kifupi kuhusu sababu za uhaba wa dawa kwamba ni kwasababu ya Uongozi mbovu wa MSD.
Achana na kukimbizana na hayo maduka ya dawa yaliyokaribu na hospitali maana haitakusaidia kitu kwanza dawa zenyewe hakuna. Fuatilia kilichoandikwa humu JF na ndo mwarobaini wenyewe.
Halafu inaonekana kama vile vionvozi wa hii Serikali mnaogopa kuuwajibisha uongozi wa MSD, mmekuwa mkiyalea matatizo pale Bohari ya Dawa tangu wakati wa Dorothy. Leo tena nimemsikia PM Majaliwa akiwa Manyara akiibembeleza MSD kuhusu kupeleka dawa Manyara, hivi MSD wanatakiwa wafanye kazi kama zimamoto kila wakati wakati hiyo ndo kazi yako?
Pelekeni nguvu zote MSD ili dawa zinunuliwe maana Serikali ya Mama Samia ilishaleta hela kibao hapa MSD.