Waziri Ummy Mwalimu: Wanaokata Bima ya Afya wakiwa wagonjwa wanatishia ustahamilivu wa Mfuko

Waziri Ummy Mwalimu: Wanaokata Bima ya Afya wakiwa wagonjwa wanatishia ustahamilivu wa Mfuko

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Ummy.JPG

Mdau kwenye mtandao wa Twitter ametoa hoja yake kuhusu bima na kuwatag Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, Viongozi wa Taasisi ya NHIF na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maaalum, Dkt. Dorothy Gwajima.

Ameandika: “Kilio cha Wazazi wengi kwa Sasa ni Swala la Ku Apply Bima ya Afya kwa watoto kisha ikae Miezi 3 ndio waweze Kuitumia halijakaa sawa. Tunaomba mpitie Kipengele hiki cha muda wa Kusubiri Mkirekebishe.

Waziri Ummy Mwalimu akajibu: “Tatizo baadhi ya watu wanakata Bima ya Afya tayari wakiwa ni wagonjwa tena wengine wakiwa wodini. Hatua hii inatishia uhai na ustahamilivu wa Mfuko. Nitumie fursa hii kuhimiza wananchi kukata Bima ya Afya kabla ya kuugua.”
 
Huyu mama aisee....

Bora hata asingejibu kabisa.... .. sasa ni wakati upi bima itajua huyu anaumwa na huyu haumwi?

Kwanini wasikiri tu kuwa , mfuko hauna fedha au modeling yao ni mbovu.

Watu wanachanga pesa kidogo ambazo haiziendani na gharama za matibabu, sio kujaribu ku victimize kila kitu na kila idea.

Kumchelewesha mteja kupata huduma for any reason whatsoever is just isn't right...
 
Sio kila Jambo la kupinga tu ,..waziri anahoja Hapo
Piga hesabu zako vizuri hiyo mifuko hesabu zao zitakaaje sawa Kama kila mtu mpaka aumwe ndo akakate bima ya laki kwa matibabu ya milioni.
Mfuko utafilisika huo.
Kwamba wewe unajua utaugua lini? 3 months kuanza kupata huduma? ukweli ni kwamba modeling ya cost vs income is bad... acha kutetea porojo
 
Mdau kwenye mtandao wa Twitter ametoa hoja yake kuhusu bima na kuwatag Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, Viongozi wa Taasisi ya NHIF na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maaalum, Dkt. Dorothy Gwajima.

Ameandika: “Kilio cha Wazazi wengi kwa Sasa ni Swala la Ku Apply Bima ya Afya kwa watoto kisha ikae Miezi 3 ndio waweze Kuitumia halijakaa sawa. Tunaomba mpitie Kipengele hiki cha muda wa Kusubiri Mkirekebishe.

Waziri Ummy Mwalimu akajibu: “Tatizo baadhi ya watu wanakata Bima ya Afya tayari wakiwa ni wagonjwa tena wengine wakiwa wodini. Hatua hii inatishia uhai na ustahamilivu wa Mfuko.
Majibu ya waziri Ummy kwa hoja ya mdau siyo sahihi. Hayajajibu hoja. Mdau anaongelea watoto wanaozaliwa wanapigwa pending kwa miezi 3 halafu Ummy anaongelea wagonjwa wanaokata wakiwa wodini.

Hivi Ummy anatuonaje watanzaniam?
 
Sio kila Jambo la kupinga tu ,..waziri anahoja Hapo
Piga hesabu zako vizuri hiyo mifuko hesabu zao zitakaaje sawa Kama kila mtu mpaka aumwe ndo akakate bima ya laki kwa matibabu ya milioni.
Mfuko utafilisika huo.
Huna hoja ngoja waje wazee wa kazi na hoja tuisaidie nchi....pita mbali
 
Huyu mama aisee....

bora hata asingejibu kabisa.... .. sasa ni wakati upi bima itajua huyu anaumwa na huyu haumwi?

kwanini wasikiri tu kuwa , mfuko hauna fedha au modeling yao ni mbovu.

watu wanachanga pesa kidogo ambazo haiziendani na gharama za matibabu, sio kujaribu ku victimize kila kitu na kila idea.

kumchelewesha mteja kupata huduma for any reason whatsoever is just isn't right...

kwamba wewe unajua utaugua lini? 3 months kuanza kupata huduma? ukweli ni kwamba modeling ya cost vs income is bad... acha kutetea porojo
Probability princpals ..ah ngoja nirudi zangu jukwaa la lngu pendwa la sports,..hapa naweza kua mabishana na Wana historia na sayansi ya jamii.
 
Suala la bima ya afya halitakiwi kuwa na masharti ya kujiunga, muhimu serikali iandae mazingira mazuri yatakayofanya walengwa wapate huduma bora kulingana na kile wanachochangia, bila kujali muda waliojiunga.
 
View attachment 2444948
Mdau kwenye mtandao wa Twitter ametoa hoja yake kuhusu bima na kuwatag Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, Viongozi wa Taasisi ya NHIF na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maaalum, Dkt. Dorothy Gwajima.

Ameandika: “Kilio cha Wazazi wengi kwa Sasa ni Swala la Ku Apply Bima ya Afya kwa watoto kisha ikae Miezi 3 ndio waweze Kuitumia halijakaa sawa. Tunaomba mpitie Kipengele hiki cha muda wa Kusubiri Mkirekebishe.

Waziri Ummy Mwalimu akajibu: “Tatizo baadhi ya watu wanakata Bima ya Afya tayari wakiwa ni wagonjwa tena wengine wakiwa wodini. Hatua hii inatishia uhai na ustahamilivu wa Mfuko. Nitumie fursa hii kuhimiza wananchi kukata Bima ya Afya kabla ya kuugua.”
Wanaokata bima wakiugua washitakiwe kwa utapeli.
 
Hili jibu la waziri linaonyesha wazi kbs serikali haikujiandaa na ishu ya bima ya afya, haiwezekan umpangie mtu ni wakati gan ajiunge na bima ya afya! Yaan anaumia mtu kujiunga na bima ya afya tayari akiwa mgonjwa?
View attachment 2444948
Mdau kwenye mtandao wa Twitter ametoa hoja yake kuhusu bima na kuwatag Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, Viongozi wa Taasisi ya NHIF na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maaalum, Dkt. Dorothy Gwajima.

Ameandika: “Kilio cha Wazazi wengi kwa Sasa ni Swala la Ku Apply Bima ya Afya kwa watoto kisha ikae Miezi 3 ndio waweze Kuitumia halijakaa sawa. Tunaomba mpitie Kipengele hiki cha muda wa Kusubiri Mkirekebishe.

Waziri Ummy Mwalimu akajibu: “Tatizo baadhi ya watu wanakata Bima ya Afya tayari wakiwa ni wagonjwa tena wengine wakiwa wodini. Hatua hii inatishia uhai na ustahamilivu wa Mfuko. Nitumie fursa hii kuhimiza wananchi kukata Bima ya Afya kabla ya kuugua.”
 
Ni bora wangesema tu kuna tatizo
Mbona wengine wanachangia miaka yote na ukipata mtoto ukikata bima mpaka miezi 6?
Hilo sio jibu hilo ni jawabu
 
Hili jibu la waziri linaonyesha wazi kbs serikali haikujiandaa na ishu ya bima ya afya, haiwezekan umpangie mtu ni wakati gan ajiunge na bima ya afya! Yaan anaumia mtu kujiunga na bima ya afya tayari akiwa mgonjwa?
We ulishawahi kwenda kukata bima ya gari ukiwa umetoka kukwanguliwa huko. Bima kata kujilinda sio ku cover bill.
 
Huyu mama aisee....

Bora hata asingejibu kabisa.... .. sasa ni wakati upi bima itajua huyu anaumwa na huyu haumwi?

Kwanini wasikiri tu kuwa , mfuko hauna fedha au modeling yao ni mbovu.

Watu wanachanga pesa kidogo ambazo haiziendani na gharama za matibabu, sio kujaribu ku victimize kila kitu na kila idea.

Kumchelewesha mteja kupata huduma for any reason whatsoever is just isn't right...
Naona waziri yuko sahihi. Unaweza kukatia gari yako bima baada ya kupata ajali, na bima hiyo ikakufidia hiyo ajali ambayo wakati unakata bima ilishatokea? Kama kila mtu atangojea augue ndipo akate bima, huo mfumo utaweza kujiendesha?
 
Majibu ya waziri Ummy kwa hoja ya mdau siyo sahihi. Hayajajibu hoja. Mdau anaongelea watoto wanaozaliwa wanapigwa pending kwa miezi 3 halafu Ummy anaongelea wagonjwa wanaokata wakiwa wodini.

Hivi Ummy anatuonaje watanzaniam?
Ujue pia uzazi hautokei kama ajali. Mzazi anakiwa mjamzito miezi Tisa, kwanini angojee mpaka mtoto azaliwe ndipo akakate bima?
 
Liko sawa kabisa.
Watu wengi hukata bima, pale wanapoona wanaumwa na ugonjwa unawalia pesa.
Ndio maana wakaja na huo utaratibu.

Huu utaratibu upo muda mrefu sana, hata ukiwa member ukachelewa lipa napo utasubiri siku 90.

Mwenyewe hapa nasubiria 16/02/2023 baada ya kuchelewa siku 1
 
Ujue pia uzazi hautokei kama ajali. Mzazi anakiwa mjamzito miezi Tisa, kwanini angojee mpaka mtoto azaliwe ndipo akakate bima?
Huwezi kata bima ya mtoto bila, picha ya mtoto, cheti cha kuzaliwa cha mtoto
 
Ni bora wangesema tu kuna tatizo
Mbona wengine wanachangia miaka yote na ukipata mtoto ukikata bima mpaka miezi 6?
Hilo sio jibu hilo ni jawabu
Hakuna tatizo,hilo swala lipo kwa wanaolipa binafsi aka Toto Afya Kadi
 
Back
Top Bottom