Waziri Ummy punguza kujieleza, unajifunga sana katika maelezo yako

Kumtaka ( Kummwambia ) Mtu wa Tanga apunguze ( aache ) Kujieleza tena kwa kutoa ' Pumba ' nyingi kama Waziri Ummy Mwalimu ni kupoteza tu muda wako.

Rudi katika Medani za Michezo mtizame Afisa Mhamasishaji wa Yanga SC Antonio Nugaz ambavyo huwa ' anabwabwaja ' hovyo tu akihojiwa na huwa hana la maana.

Tunu ya Watu wa Tanga ni Porojo sana.
 
Huwez kufananisha jafo na ummy ,ummy yupo vizuri zaidi mfano jafo alisema ameajiri waaalimu 13000 kumbe zilikua alfu nane ,badae ndio wakasema wataajiri hizo elfu tano zilizobaki,
Sipingi hoja yako ndio maana kwenye post yangu nimeanza kwa ku declare interest kukubali utendaji kazi wake ila ninachopinga ama kushauri ni kumtaka apunguze kujieleza na kuongea sana kutamuharibia
 


Ukiona mtu anajichanganya katika maelezo ujue kazi hiyo haiko kwenye damu yake ni kama anasukumwa kufanya alimradi liende, akikujibu hayo maswali kiufasaha njoo kwangu nikupe bata mmoja
 
Amezoea kudanganya huyu binti akisaidiwa na dikteta aliweza kuudanganya ulimwengu wote kuwa hakuna corona Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…