Waziri Ummy, zipo shule zimepania kukaidi agizo lako la shule zote kufungwa

Waziri Ummy, zipo shule zimepania kukaidi agizo lako la shule zote kufungwa

Kisanduku

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2009
Posts
284
Reaction score
483
Kwa kushirikiana na waziri wa elimu waziri Ummy Mwalimu aliagiza shule zote zifungwe na wanafunzi wote warudi nyumbani, wapumzike.

Lakini kumekuwa na ubishi wa kimyakimya na baadhi ya shuke tayari zimeshatoa agizo kwa wanafunzi hao warudi baada ya wiki moja tu.

Hii ni dharau kana kwamba shule hizo ndizo sheria. Kisingizio ni kilekile kwamba wanaobaki ni miaka ya mitihani.

Waziri shikilieni msimamo uleule shule zenye uvivu wa kumsliza syllabus kwa wakati tusuziendekeze. Ni bora zife au zifungiwe.
 
Wajibisha walimu wakuu kwisha habari yao. Tena hapo aanze na zile shule zitakazokaidi agizo halali la serikali.

Nilishangaa mkuu wa mkoa wa Dodoma kupingana hadharani na kauli ya serikali kana kwamba yeye ana mamlaka zaidi ya waziri. Agizo la waziri ni agizo la serikali nzima kama halijatenguliwa na Rais,sasa mkuu wa mkoa anabishana na agizo la Rais kwa maana hiyo.
 
Kwani wenye shule hizo si hao akina nahii na nanirihuu, mtawafanya nini?
 
Nchi yenye wajinga rukuki nwewe pia mtoa post na waziri Jinga lao.

Mtu mzima kama wewe unashadadia upumbavu.

Mitaala mibovu, mnahangaika na Ujinga.

Wazazi waliowapeleka hizo shule niwajinga Ama !.

Mnataka mhakikishe nchi nzima inazalisha wajinga wa fikra kama mlivyo.

Shame on you
 
Mjinga ni wewe mwalimu mvivu kumaliza syllabus kwa wakati. Una dakika 80 za kifundisha, tumia hizo.


Nchi yenye wajinga rukuki nwewe pia mtoa post na waziri Jinga lao.

Mtu mzima kama wewe unashadadia upumbavu.

Mitaala mibovu, mnahangaika na Ujinga.

Wazazi waliowapeleka hizo shule niwajinga Ama !.

Mnataka mhakikishe nchi nzima inazalisha wajinga wa fikra kama mlivyo.

Shame on you
 
Elimu inaendeshwa kwa siasa siasa uchwara low.

Ndo maana wanafunzi wanaenda form one hujui hata kuandika jina lake.

Wanafunzi wanatakiwa kunolewa
 
Wanoe katika muda wa shule, acha uvivu wa kutomaliza sylkabus.

Elimu inaendeshwa kwa siasa siasa uchwara low.

Ndo maana wanafunzi wanaenda form one hujui hata kuandika jina lake.

Wanafunzi wanatakiwa kunolewa
 
Back
Top Bottom