Nchi yenye wajinga rukuki nwewe pia mtoa post na waziri Jinga lao.
Mtu mzima kama wewe unashadadia upumbavu.
Mitaala mibovu, mnahangaika na Ujinga.
Wazazi waliowapeleka hizo shule niwajinga Ama !.
Mnataka mhakikishe nchi nzima inazalisha wajinga wa fikra kama mlivyo.
Shame on you
Elimu inaendeshwa kwa siasa siasa uchwara low.
Ndo maana wanafunzi wanaenda form one hujui hata kuandika jina lake.
Wanafunzi wanatakiwa kunolewa