real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,299
Waziri wa Afya, Cleopha Mailu amepiga marufuku uvutaji na uuzwaji wa shisha sababu ya madhara yake kiafya
Utafiti umeonyesha shisha ina kemikali zaidi ya 200 na ni hatari kuliko sigara
Kwenye tangazo la kisheria lililotolewa tarehe 27 Disemaba, waziri Mailu alipiga marufuku uingizwaji, uzalishaji uuzwaji, matangazo na ugawaji wa bidhaa hiyo
Atakayekiuka agizo hili aatakabiliwa na kifungo cha miezi 6 jela au faini ya Kshs 50,000 au vyote kwa pamaoja, pia kuna faini ya ziada ya Kshs 1000 kila siku
Nchi ya Kenya inakuwa ni ya tatu Afrika Mashariki baada ya Tanzania na Rwanda kupiga marufuku utumiaji wa bidhaa hiyo
Health cabinet secretary Cleopha Mailu has banned water pipe smoking of the flavoured tobacco with immediate effect citing health risks that come with it. Through a legal notice dated 27th December Mailu has equally banned the importation, manufacture, sale, advertisement or distribution of the same product.
Utafiti umeonyesha shisha ina kemikali zaidi ya 200 na ni hatari kuliko sigara
Kwenye tangazo la kisheria lililotolewa tarehe 27 Disemaba, waziri Mailu alipiga marufuku uingizwaji, uzalishaji uuzwaji, matangazo na ugawaji wa bidhaa hiyo
Atakayekiuka agizo hili aatakabiliwa na kifungo cha miezi 6 jela au faini ya Kshs 50,000 au vyote kwa pamaoja, pia kuna faini ya ziada ya Kshs 1000 kila siku
Nchi ya Kenya inakuwa ni ya tatu Afrika Mashariki baada ya Tanzania na Rwanda kupiga marufuku utumiaji wa bidhaa hiyo
Health cabinet secretary Cleopha Mailu has banned water pipe smoking of the flavoured tobacco with immediate effect citing health risks that come with it. Through a legal notice dated 27th December Mailu has equally banned the importation, manufacture, sale, advertisement or distribution of the same product.