Waziri wa Afya: Epukeni misongamano isiyo ya lazima, vaeni barakoa safi na salama

Waziri wa Afya: Epukeni misongamano isiyo ya lazima, vaeni barakoa safi na salama

[emoji23][emoji23]
Aisee Mh. Waziri hii Ni chai[emoji116]

"kila mwaka kipindi cha Novemba hadi Machi wimbi la magonjwa hususan yale yanayoathiri mifumo ya upumuaji na chakula huongezeka. Hii hutokana na mabadiliko ya hali ya hewa na mvua nyingi ambazo huendelea kunyesha kipindi hiki."
 
Mwenyekiti Yuko DAR kwenye joto kukimbia vichina
Wasimsingizie hata leo karejea kauli yake .." Ni bora kiongozi ufanye maamuzi hata ukikosea....kuliko kutochukua hatua...."
Taarifa imejaa hofu na kukwepa uwajibikaji.
 
Si wengine kitambo tu tunavaa barakoa nyungu sikuwa na time nayo
Nalog off
 
Kila mmoja wetu achukue tahadhari za kujilinda yeye na wenzake, bado nashangaa huko barabarani na kwenye vyombo vya usafiri bado idadi ya wasiovaa barakoa ni kubwa mno, sijui wabongo tuna tatizo gani kwenye bongo zetu?

Waziri wa Afya mwenyewe na bosi wake sijawahi kuwaona wamevaa barakoa, sasa kwa mwendo huu sijui huu ugonjwa hapa kwetu utaondoka lini, bado tunakabiliana nao kinadharia zaidi ya vitendo, tunaongea sana.
 
Jeshi la police lihusike kutawanya misongamano, hivi hivi ni kazi bure.
 
Muda si mrefu tutasikia "Baada ya wataalamu wetu kuifanyia utafiti wa kutosha chanjo kutoka WHO, serikali yenu sikivu imekubali kupokea chanjo hizo za bure". Usicheze na mabeberu kabisa, wakiamua kukuminya balls huna pakutokea, ni kuwa mpole tu.
 
Kila mmoja wetu achukue tahadhari za kujilinda yeye na wenzake, bado nashangaa huko barabarani na kwenye vyombo vya usafiri bado idadi ya wasiovaa barakoa ni kubwa mno, sijui wabongo tuna tatizo gani kwenye bongo zetu?...
Minazani watu awafi ndo maana watu wamepotezea barakoa watu wangekuwa wanakufa asinge ambiwa mtu vaa barakoa....
 
Hivyo vitambaa kiukweli haviwezi kukulinda na Corona.
Kila mmoja wetu achukue tahadhari za kujilinda yeye na wenzake, bado nashangaa huko barabarani na kwenye vyombo vya usafiri bado idadi ya wasiovaa barakoa ni kubwa mno, sijui wabongo tuna tatizo gani kwenye bongo zetu?

Waziri wa Afya mwenyewe na bosi wake sijawahi kuwaona wamevaa barakoa, sasa kwa mwendo huu sijui huu ugonjwa hapa kwetu utaondoka lini, bado tunakabiliana nao kinadharia zaidi ya vitendo, tunaongea sana.
Screenshot_20210224-125739.jpg
 
Huyu naye ni kigeugeu yaani mwanzanoni mbona alikuwa anaruka ruka tu na masufuria ya kujifukuza tu?
 
Back
Top Bottom