Waziri wa Afya: Epukeni misongamano isiyo ya lazima, vaeni barakoa safi na salama

Hatimaye tumeongea lugha moja, thanks God!
 
Huyu naye ni kigeugeu yaani mwanzanoni mbona alikuwa anaruka ruka tu na masufuria ya kujifukuza tu?
Kelele za wananchi na viongozi wa dini zimewagusa, walikuwa tu hawajui waingie kwa gia gani, jumapili boss alivyoongelea mambo ya barakoa ilikuwa ni kusafisha njia ili wizara ya afaya itoe tamko......corona ipo, tuchukue tahadari kama amabavyo tumekuwa tukifanya tangu awali kabla ya matamko yao haya
 
Pamoja na hayo yote, cha muhimu kufanya ni KUYAKABIDHI MAISHA YAKO KWA BWANA YESU. Ukiyakabidhi maisha yako kwa Kristo, unapata uhakika wa maisha haya na yale yajayo. Yesu alikufa akafufuka akamshinda yule aliyekuwa na nguvu za mauti yaani ibilisi. WAEBRANIA 2:14-15.

Tunapokuwa kwa Kristo tunaokolewa na mambo mengi, mojawapo ni hofu ya kifo. Tunawekwa huru mbali na hofu ya mauti.

hakika YESU ni BWANA na Mwokozi
 

Umejaribu kuweka vizuri lkn kwa zama hizi na hasa kutegemea tu maombi kuondoa kitu ambacho kipo ni ubatilifu

Mh Mkuu wa kaya kuna mengi nilimkubali na hasa kutokuweka lockdown ila alipokuwa anaweka nguvu kusema tu ni Mungu na maombi yatatuvusha kuliko njia za kitabibu nilikuwa namshangaa sana

Hivi sie Wa Tz na waafrica kwa ujumla tunajua huyo mtu mweupe ni karne kama mbili ndo katuletea hizi dini na yeye kazipokea karibia karne 19 au 20 zilizopita , sasa hapo nani anamjua huyo Mungu vizuri kati yetu na wao na haukuti ktk shida kama hii wanategemea maombi/imani tu kama msingi mkuu wa kuondoa tatizo

Waafrika tumekuwa wazuri kupokea na kukalili kuliko kuumba chetu yaani bora ujeuri wetu ungetokana na kusisitiza hata dawa zetu za asili plus vyakula vyetu vya asili ili kulinda kinga zetu za miili, lkn hii habari ya maombi ndo kama msingi wa ugonjwa kuisha inatuchoresha sana duniani bado tuna mawazo mgando

Dunia ni yetu na changamoto zake ni sisi wa kutatua sio unknown nguvu kutoka sijui wp , tuamke kutoka usingizi huu mzito
 
Wameniambukiza tayari ila wenyewe washaponaaaa. Mimi bdo nakomaa na tangawizi na malimao
 
Madam! Stop beating around the bush, say it's COVID NEW VERSION
 
Mama Gwajima, ukiwa daktari, acha unafiki.
Hii statement was long overdue, hasa kutoka kwa Wizara yenye dhamana ya Afya ya jamii.

Ulikwina?
Ulikuwa wapi?

Kilio cha wananchi , maaskofu na masheikh kimewaumbua.
Sema tena bila chenga, KUNA COVID , ukitoa na jinsi ya kuepukana nayo na mikakati isiyotia shaka ya serikali.
 
mzee baba mrudishe mama Ummy tkk nafasi yake tutakwenda sawa nae, huyu mipasho na kupoteza dira ni kwingi mno.
 
Hakika mauzauza, FIELD MARSHALL, Mrs know-it-all, mzalendo halisia, kipenzi sana cha wakili msomi, sasa zile picha za mnato za zoezi na kajifukiza na kugonga tangawizi na malimao??

Amemfanya mwanasheria Ummy aonekane aliiiweza na kuimudu sana hii wizara. Dorotea kapwaya.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kwa nini chenga nyingi hivi? Wanyoshe tu guu; goli liko wazi. Covid-19 ipo. Chukua tahadhari.
 
Wana jamvi, karibuni tujikinge pamoja kwa sanitizer ya BIO-FRESH kutoka South Africa.

SIFA ZAKE:

1. Ina 70% Alcohol Formula
2. Ni Hand and Surface Sanitizer (Inakupa nafasi ya kuspray Mazingira uliyopo pia, Mf. Ofisini, Kwenye Gari, Nyumbani na popote utapokuwepo).
3. Ina ujazo wa 500Mls (Nusu Lita)
4. Ni sanitizer ya Ku-SPRAY

Inapatikana kwa bei ya Jumla (12,000/=) na Rejareja (15,000/=).

Kwa mahitaji, tuwasiliane kupitia 0679801804.

JIKINGE NA UMKINGE MWENZIO, KWA PAMOJA TUNAWEZA.

 
Watu wana mafua makali, wanakohoa sana siku3 4 5 wanapona.

Wengine wanapata shida ya upumuaji yaani mambo mengimengi tuu sana.

Umewasahau ambao hata ndani ya siku3 4 5 wala mwaka hawaponi.

Jiridhishe takwimu zako kuwa si sahihi.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…