Pamoja na hayo yote, cha muhimu kufanya ni KUYAKABIDHI MAISHA YAKO KWA BWANA YESU. Ukiyakabidhi maisha yako kwa Kristo, unapata uhakika wa maisha haya na yale yajayo. Yesu alikufa akafufuka akamshinda yule aliyekuwa na nguvu za mauti yaani ibilisi. WAEBRANIA 2:14-15.
Tunapokuwa kwa Kristo tunaokolewa na mambo mengi, mojawapo ni hofu ya kifo. Tunawekwa huru mbali na hofu ya mauti.
hakika YESU ni BWANA na Mwokozi