Waziri wa Afya: Epukeni misongamano isiyo ya lazima, vaeni barakoa safi na salama

Unataka kusema mch. Rwakatare na Mitimingi hawakukabidhi maisha yao kwa Yesu
 
Sasa ndugu waziri, ulipokuwa unahangaika na masufuria ya kupikia supu ulijua watz ni wajinga hawaelewi kuwa ulikuwa unaigiza?
Hakika tokea uupate uwaziri umejishusha sana na ukweli mchungu hujafanya lolote la maana tofauti na kiki zisizo na tija kwenye maisha ya mtanzania.

Usichokijua labda ni kuwa wewe umeteuliwa na rais kuwatatulia wananchi kero katk sekta ya afya na SIO UMTUMIKIE RAIS ILI AKUSIFU.

In short UMMY MWALIMU was far much better than you hata kama hakuwa ametokea kwenye sekta ya afya.

HONEYMOON ya kupewa uwaziri sijui itaisha lini ili uanze kufanya kazi aliyokukabidhi mheshimiwa rais kwa niaba ya wananchi.
 
Unataka kusema mch. Rwakatare na Mitimingi hawakukabidhi maisha yao kwa Yesu
Unapoyakabidhi maisha yako kwa Kristo sio kwamba hutokufa, utakufa lakini unakuwa na uhakika wa kupumzika na Kristo milele na milele.

Pia ieleweke kuwa hao uliowataja hakuna anayeweza kuthibitisha kuwa walikuwa wameyakabidhi maisha yao kwa Kristo.

Yesu ni Bwana na Mwokozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…