Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Huo ndio uwajibikajiKumbe ukimwi unaua,
Kumbe mnaogopa kufa,
Mlikua mnadanganyana ngoma sio mwisho wa maisha.
Kwahiiyo akae kimya na akili zake hizo hizo pasipo ufafanuzi?Ww mpumbavu sana. Ww zako umeziona.
Imbecile
Kwahiiyo akae kimya na akili zake hizo hizo pasipo ufafanuzi?
Huogopi kufa?Kumbe ukimwi unaua,
Kumbe mnaogopa kufa,
Mlikua mnadanganyana ngoma sio mwisho wa maisha.
Hapo alipo anawaza per diem pekee hana habari1. Utaratibu wa kutoa taarifa kwa Jambo linalohusu wananchi NI Jambo muhimu katika utawala Bora...
Nadhani ni akili ndogo tu inakusumbua, kuna watoto wanazaliwa na HIV, wengine wanaambukizwa kwa bahati mbaya, usitukane mamba kabla hujavuka mtoKama ulivyopata ngoma wewe mwenyewe, basi hata kuicheza kwenye dawa uicheze mwenyewe.
Yaani tunaongozwa na watu wajinga haswaWako bize na mafunzo ya mtaala mpya kwa malipo ya elfu tatu
Goli la mama ni 5mil sasa utachagua ww ukacheze mpira au ukatufubdishie watt wetu
kufa kwaja1. Utaratibu wa kutoa taarifa kwa Jambo linalohusu wananchi NI Jambo muhimu katika utawala Bora. USAID kajitoa kufadhili Miradi ya UKIMWI/TB na malaria. Watu wetu wataishije? Nini mpango wa Serikali?
2. Ni wakati sasa wa kujitegemea katika kuhudumia wananchi wa Tanzania kuliko kutegemea kila kitu wafadhili, tubane matumizi kwa ustawi wa wananchi.
Ni kweli ili kuondoa Taharuki1. Utaratibu wa kutoa taarifa kwa Jambo linalohusu wananchi NI Jambo muhimu katika utawala B.
Mabilionea wapya wataongezeka kwa ulanguzi wa dawaBaada ya miezi kadhaa nchi "itachangamka" sana.
MAana yake hata Orodar au eckefin zitauzwa 10000 badala ya 2500
😁😁😹Kumbe ukimwi unaua,
Kumbe mnaogopa kufa,
Mlikua mnadanganyana ngoma sio mwisho wa maisha.