Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda anawasubiria machawa1. Utaratibu wa kutoa taarifa kwa Jambo linalohusu wananchi NI Jambo muhimu katika utawala Bora. USAID kajitoa kufadhili Miradi ya UKIMWI/TB na malaria. Watu wetu wataishije? Nini mpango wa Serikali?
2. Ni wakati sasa wa kujitegemea katika kuhudumia wananchi wa Tanzania kuliko kutegemea kila kitu wafadhili, tubane matumizi kwa ustawi wa wananchi.
Janabi anasema usile wali huku ARV anategemea wafadhiliTukiwaambia hamna elimu mnabisha 🤣🤣...Sasa mabingwa wa afya Kila kitu kitoke nje .
Daah hii issue nzito sana na hakuna mchezo hata kidogo ukicheza umeendaJanabi anasema usile wali huku ARV anategemea wafadhili
Yote hayo chanzo ni umaskini kwa maana elimu yao ni kubwa ila umasikini ni mkubwa ndo maana jitihada haziwezi kutoa matokeo!Janabi anasema usile wali huku ARV anategemea wafadhili
🤣🤣Janabi anasema usile wali huku ARV anategemea wafadhili
😆😆😆😆😆😆Ww mpumbavu sana. Ww zako umeziona.
Imbecile
Akina nani walikuwa wanadanganyana?Kumbe ukimwi unaua,
Kumbe mnaogopa kufa,
Mlikua mnadanganyana ngoma sio mwisho wa maisha.
Acha hizo pigo kamanda kua na empathy, kuna watu waliupata bila hatia, so hoja ya jamaa ijibiwe ni ya msingi haya maswala mnachekelea unaweza kuta ndugu yako wa karibu anao we hujuii.Kumbe ukimwi unaua,
Kumbe mnaogopa kufa,
Mlikua mnadanganyana ngoma sio mwisho wa maisha.
Serikali haendeshwi kwa kusikia bali kwa nyarakaIna maana mpaka sasa serikali haijasikia na kusoma kuwa Tramp anasitisha misaada ya nchi yake? Ijitokeze kutoa ufafanuzi wananchi wenye changamoto ya maradhi yanayotegemea msaada wa dawa kutoka Marekani wataishije bila msaada huo toka kwa nchi ya Tramp.
Washambembeleza mjomba kalegeza so tutaendelea kupata kwa kuombaomba
Ila kwa hili serikali inatakiwa ishtuke wasibweteke kuna siku bomu litaitika kweli.Washambembeleza mjomba kalegeza so tutaendelea kupata kwa kuombaomba tu
Serikali haendeshwi kwa kusikia bali kwa nyaraka
Ila kwa hili serikali inatakiwa ishtuke wasibweteke kuna siku bomu litaitika kweli.
Saivi tunatakiwa tuwe makini zile zama za kujiachia zimeisha aisee, kufa kabla ya wakati siopoa.Hahaha serikali ya bongo ishtuke? Utakua hujui nchi yako Kiongozi anyway labda generation ijayo
sawa, hizo nyaraka za marekani/USAID haijaona. kama haijaona huko ni kujikausha na kuzuga haini kituSerikali haendeshwi kwa kusikia bali kwa nyaraka
Ila kwa hili serikali inatakiwa ishtuke wasibweteke kuna siku bomu litaitika kweli.
Bahati mbaya sana we unaliona hilo lakini wenye mamlaka hawajali wanajua litapita tu kama mengine!Saivi tunatakiwa tuwe makini zile zama za kujiachia zimeisha aisee, kufa kabla ya wakati siopoa.