Waziri wa Afya itoe ufafanuzi kuhusu dawa za ARV, TB na Malaria zitakavyopatikana baada ya USAID/PEPFAR kujitoa

Waziri wa Afya itoe ufafanuzi kuhusu dawa za ARV, TB na Malaria zitakavyopatikana baada ya USAID/PEPFAR kujitoa

Saivi tunatakiwa tuwe makini zile zama za kujiachia zimeisha aisee, kufa kabla ya wakati siopoa.
Kuna Doctor amenambia leo asubuhi mazoezini kuwa watu wamechukua dozi nyingi sana kuna uwezekano mwezi wa pili kusiwe na dawa mahospitalini!
Kusema kweli tuweni makini kila unapotaka kupiga miti think twice na uende na akili yako sawa sawa maana maambukizi yataongezeka sana
 
Kuna Doctor amenambia leo asubuhi mazoezini kuwa watu wamechukua dozi nyingi sana kuna uwezekano mwezi wa pili kusiwe na dawa mahospitalini!
Kusema kweli tuweni makini kila unapotaka kupiga miti think twice na uende na akili yako sawa sawa maana maambukizi yataongezeka sana
Hii issue ni munoma sana, kuna ndugu zetu walikufa kwa ngoma kila mikikumbuka hua nauheshimu huu ugonjwa, akili zinanikaa sawa nikifikiria ujinga.
 
Hii issue ni munoma sana, kuna ndugu zetu walikufa kwa ngoma kila mikikumbuka hua nauheshimu huu ugonjwa, akili zinanikaa sawa nikifikiria ujinga.
Wanakwambia UKIMWI ni bora kuliko mimba kumbe dawa yenyewe tunategemea wanaume USA walipe kodi ndo tupate!
Na nchi zetu hizi na viongozi wake vichwa panzi kazi ipo sana!
Kenya jumatano wiki hii wamechukua hatua za kulikabiri hili jambo la shaba wa ARV!
Sie hata Waziri tu hana hata ABC za udaktari hana habari na kuna uwezekano tukajikuta nchi nzima haina dawa au kama zipo zikawa chini ya wajanja wachache na kupelekea uhaba na vifo vya kutisha!
 
Wanakwambia UKIMWI ni bora kuliko mimba kumbe dawa yenyewe tunategemea wanaume USA walipe kodi ndo tupate!
Na nchi zetu hizi na viongozi wake vichwa panzi kazi ipo sana!
Kenya jumatano wiki hii wamechukua hatua za kulikabiri hili jambo la shaba wa ARV!
Sie hata Waziri tu hana hata ABC za udaktari hana habari na kuna uwezekano tukajikuta nchi nzima haina dawa au kama zipo zikawa chini ya wajanja wachache na kupelekea uhaba na vifo vya kutisha!
Wapo buzy kulogana warudi bungeni season 2.
 
Wapo buzy kulogana warudi bungeni season 2.
Hatari itakuwa kubwa sana maana watadisturb supply chain ya dawa na lazima iadimike maana wajanja wachache watahodhi dawa!
Itakuwa kama issue ya sukari na serkali yetu huwa inahangaika sana kuhandle issue kama hozi na issue ya ARV ni sensitive kwa maana inahusisha usiri kwa wagonjwa, kwa maana hiyo inahitaji watu makini wa kutatua changamoto zake!
 
Lakini na
Hatari itakuwa kubwa sana maana watadisturb supply chain ya dawa na lazima iadimike maana wajanja wachache watahodhi dawa!
Itakuwa kama issue ya sukari na serkali yetu huwa inahangaika sana kuhandle issue kama hozi na issue ya ARV ni sensitive kwa maana inahusisha usiri kwa wagonjwa, kwa maana hiyo inahitaji watu makini wa kutatua changamoto za
Lakini nadhani haya makampuni ambayo yanatengeneza hizo dawa ambazo tunauziwa (indirectly) bado wanataka kutuuzia wapate faida kama awali.
Arguments zangu mbili kubwa ni
1. Je serikali itakua radhi kuzinunua ili kuokoa jahazi kwa watu wa hali ya chini.? Na kwa sababu ya nature ya gharama ya hizo dawa tutakopeshwa kwa mikopo yenye interest kubwa sana kuturudhisha utumwani.
2. Je serikali ikisema dawa ziingie lakini ziuzwe kwa wananchi, will the majority afford hio medication?
Either way ngoma nzito hii na ni sensitive kweli kama usemavyo..
 
Lakini na

Lakini nadhani haya makampuni ambayo yanatengeneza hizo dawa ambazo tunauziwa (indirectly) bado wanataka kutuuzia wapate faida kama awali.
Arguments zangu mbili kubwa ni
1. Je serikali itakua radhi kuzinunua ili kuokoa jahazi kwa watu wa hali ya chini.? Na kwa sababu ya nature ya gharama ya hizo dawa tutakopeshwa kwa mikopo yenye interest kubwa sana kuturudhisha utumwani.
2. Je serikali ikisema dawa ziingie lakini ziuzwe kwa wananchi, will the majority afford hio medication?
Either way ngoma nzito hii na ni sensitive kweli kama usemavyo..
Tuombe Mungu ipatikaze njia ya kulikabili hili ila maumivu yatakuwepo maana tayari liko kibiashara na linamasrahi makubwa ya kifedha!
 
serihali imepaniki
Unaweza kuonyesha kiumbe anaitwa serikali?
Ilitumuone alivo panik?
Wewe mwenyewe ndiyo serikali kama hujui sasa
Usifikir kuna mtu anaitwa serikali ndiyo amepanik
 
Unaweza kuonyesha kiumbe anaitwa serikali?
Ilitumuone alivo panik?
Wewe mwenyewe ndiyo serikali kama hujui sasa
Usifikir kuna mtu anaitwa serikali ndiyo amepanik
Mh! we itakuwa unaufahamu finyu sana!
 
Kama kweli amesitisha misaada ya dawa hizo basi kufikia 2026 kutakuwa na nafasi nyingi za kazi government na sekita binafis.
 
Back
Top Bottom