Waziri wa Afya ni bora ungeanza na mchakato wa Bima ya Afya kwa kila Mtanzania kuliko kutoa agizo kama hili

Kwani kifo kinabagua? Watu wanakufa hata kwa kukosa tiba ya malaria ya 30000.
 
Dunia ya leo hakuna cha bure mkuu
Yaani umuone dokta bure [emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
Dunia ya leo hakuna cha bure mkuu
Yaani umuone dokta bure [emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
Mshahara wake unatokea wapi?

Kwanini nilipie kumuona kama anafanya kazi taasisi ya serikali?

Can you justify that kwenye service costing za serikali?
 
Mshahara wake unatokea wapi?

Kwanini nilipie kumuona kama anafanya kazi taasisi ya serikali?

Can you justify that kwenye service costing za serikali?
Kwa hiyo kuchangia huduma kunakofanywa na GoT ni wizi? Maana unaropoka kama unaharisha.
 
Ndugu taasisi ya afya inapata budget ya serikali za dawa chanzo chake ni walipa kodi, wafanyakazi wa afya mishahara yao inalipwa na serikali, vifaa tiba vinanunuliwa na serikali.

Sasa based on cost operation ndio maana watu wanafanya services costing kujua kiasi cha ku charge; kwa watu wanaopokea ruzuku charge should aim to cover subsidy deficit.

Listen haya mambo sio ya kila mtu kuropoka.

Dr Gwajima ni genius, hakuna mtu wa kumfananisha nae.

Personal nishachoka kujibizana na mbutika kama wewe unaanzisha mada hujui lolote kuhusu financing walau vilaza wenzio kama kina Bashe wanaelewa elementary concept za insurance kama indemnity, huko mbele ukiwapekechenua on how to avert long term finance risk based on number of contributors or inflation sidhani kama wanaweza jibu.

Huyu mama sio size yenu kama unaelewa health management ni mtu pekee ata nchi zilizoendelea anaweza kupewa nafasi za kwenye wizara ya afya.

Kilatha out.
 
Whether ni genius or not ukweli ni kuwa watanzania ni maskini na hili la kutaka watu wawe wanalipia kabla amechemka. Kuwa genius sio sababu ya kuwa na uwezo wa kuongoza kwa kutumia busara.
 
Kwa hiyo kuchangia huduma kunakofanywa na GoT ni wizi? Maana unaropoka kama unaharisha.
Kama nilivyokwambia huna uwezo wakujadili haya maswala achana na maamuzi ya wasomi kama Dr Gwajima, stick na mambo ya wasanii wa bongo na bongo fleva not serious issues.

Let the woman work, wewe ni kiazi tu.
 
Mshahara wake unatokea wapi?

Kwanini nilipie kumuona kama anafanya kazi taasisi ya serikali?

Can you justify that kwenye service costing za serikali?
Kwa post kama hii kwa nini usikae kimya? Hujui hata sera ya kuchangia gharama za afya ilianza kwa sababu zipi hapa Tanzania!
 
Kama nilivyokwambia huna uwezo wakujadili haya maswala achana na maamuzi ya wasomi kama Dr Gwajima, stick na mambo ya wasanii wa bongo na bongo fleva not serious issues.

Let the woman work, wewe ni kiazi tu.
Nakuambia hivi point ni umaskini wa watanzania na kulazimishwa kulipia gharama za matibabu kabla,hapa amechemka.
 
Whether ni genius or not ukweli ni kuwa watanzania ni maskini na hili la kutaka watu wawe wanalipia kabla amechemka. Kuwa genius sio sababu ya kuwa na uwezo wa kuongoza kwa kutumia busara.
What does service costing entail?

Based on the above evidence of running heath services in Tanzania.

How should society top up given the current government allocation on health expenditures; how much is the deficit given the estimated costs?

Come up with an argument based on that scenario then I can give you a discussion, otherwise acha kurupoka.

Asubuhi njema.
 
Nadhani hujaelewa. Hosp zikishafahamu mhusika hana uwezo kuna taratibu, hivyo waziri kasisitiza utaratibu
 
🤣🤣🤣
 

Attachments

  • VID-20201226-WA0007.mp4
    23.1 MB
Naona bado uko ndotoni, hebu amka kumeshakucha, yani matibabu yako nichangie mimi halafu matibabu yangu atachangia nani?

Unadhani tunaishi kwenye nchi ya kijamaa?! una uwezo mdogo wa kufikiri.
Kama huna Elimu kaa kimya sio lazima uonyeshe upumbavu wako. Bima yoyote hata hao matajiri ni kuchangiana
 
Nimewaza kama wewe mkuu,sio jambo dogo la kukurupuka.
 
Mtu mwenye ajira anaweza kulipia kiwango cha juu kitachomuwezesha kutibiwa kwa uhakika magonjwa yote, wewe usie na ajira au machinga unataka ulipie elfu ishirini kwa mwaka halafu utibiwe figo kwa hiyo pesa?

Serikali lazima iweke mkono hapo.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Eti mchango wa elfu 20 utibiwe figo kiukweli ni ndoto za mchana kweupe,maana hizo bima za kulipia milioni 2 kwa mwaka bado zinabagua baadhi ya magonjwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…