Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Hizo tiba za asili za malimao na kujifukizia zilijaribiwa wapi na lini zikaonyesha mafanikio?Na hayo mafanikio yalikuwa ni asilimia ngapi?Halafu hizo njia ulizotaja hapo juu mbona hazisaidii chochote?Kwa sababu watu wanazidi kupukutika deile!Ni sahihi kuendelea kukumbatia njia ambazo badala ya kusaidia watu zinaua watu?Tanzania tunakiri corona ipo. Hata Abas kashaliweka sawa. Ila tunatofautiana namna ya kukabiliana nayo. Sisi kama nchi hatuko tayar kwa chanjo ambayo haijafanyiwa uhakiki wa kutosha. Hatuko tayar kwa lockdown. Sana sana tuongeze vifaa tiba kama oxygen na watoa huduma wa kutosha ikibid. Tuchukue taadhar za kawaida kama usafi, distancing na barakoa[barakoa si muhim sana]. Tupunguze mikusanyiko isiyo ya lazma[lakin ya kiuzalishaji iendelee]. Pia tuziamin dawa zetu za asili kama kufukiza na limao na tangawizi. na tule vyakula vya kuongeza virutubisho kinga. Tuone kama herd immunity pia itafanya kaz. Tusijiingize kwenye mbinu zinazotugharim kwa tija kidogo. Muhim zaid tupunguze hofu mana huu si ugonjwa wa kuisha leo. Tukabilane nao. Lawana na laana ziwaendee waliotengeneza hiyo virus kwa maslahi yao.