Waziri wa afya Ummy Mwalimu jibu swali hili kabla ya kesho mimi kuhamia Burundi

Waziri wa afya Ummy Mwalimu jibu swali hili kabla ya kesho mimi kuhamia Burundi

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
8,406
Reaction score
9,619
Husika na mada tajwa hapo juu,
Kwako Waziri wa Afya UMMY MWALIMU, kwanza nikupe pole na majukumu yako ya kila siku japo ni wajibu wako kuyatekeleza, na pili nikupongeze kama Mbunge na Waziri kwa jinsi mnavyoendelea kuwalimbikia watanzania Tozo wakiwemo wananchi wako katika jimbo lako la Tanga Mjini, na Sasa tunaelekea Burundi baki peke yenu mpaka 2026,

Lengo kuu la mada yangu ni kutaka kujibiwa swali kama waziri mwenye dhamana kwenye wizara husika,
Wapo Watarajali wanaoendelea na MAFUNZO ya utarajali nchi nzima katika hospitali mbalimbali Tanzania, taarifa nilizozipokea inasemekana tangu walipopewa posho zao za mwezi JUNE/2022 hamjawalipa tena mpaka leo hii, na Kama ndivyo

1. Shida nini mpaka kutowalipa posho zao mpaka Sasa , Ili hali wapo huko wanawapambania ndugu zetu wagonjwa?

2.Wewe binafsi malupulupu, Mshahara vikisimamishwa ndani ya miezi miwili utakuwa na molari ya kukaa kwenye V8? Kama sivyo kwanini mcheleweshe posho zao Ili Hali nao wana majukumu ya kukabiliana nayo.

Ningependa kabla ya kufika Burundi niwe na majibu, kama Serikali imefilisika pamoja na tozo zote nalo nijue
 
Husika na mada tajwa hapo juu,
Kwako waziri wa afya UMMY MWALIM, kwanza nikupe pole na majukum yako ya kila siku japo ni wajibu wako kuyatekeleza, na pili nikupongeze Kama Mbunge na waziri kwa jinsi mnavyoendelea kuwalimbikia watanzania Tozo wakiwemo wananchi wako katika jimbo lako la Tanga Mjini, na Sasa tunaelekea Burundi baki peke yenu mpaka 2026,

Lengo kuu la mada yangu ni kutaka kujibiwa swali Kama waziri mwenye dhamana kwenye wizara husika,
Wapo Watarajali wanaoendelea na MAFUNZO ya utarajari nchi nzima katika hospitali mbali mbali Tanzania, taarifa nilizozipokea inasemekana tangu walipopewa posho zao za mwezi JUNE/2022 hamjawalipa tena mpaka leo hii, na Kama ndivyo
1. Shida nini mpaka kutowalipa posho zao mpaka Sasa , Ili hali wapo huko wanawapambania ndugu zetu wagonjwa, ?
2.Wewe binafsi malupulupu, Mshahara vikisimamishwa ndani ya miezi miwili utakua na molari ya kukaa kwenye V8? Kama sivyo KWa nini mcheleweshe posho zao Ili Hali nao wanamajukumu ya kukabiliana nayo.

Ningependa kabla ya kufika Burundi niwe na majibu , Kama Serikali imefilisika pamoja na tozo zote nalo nijue
Pole sana..hii nchi imevamiwa na walamba asali a.k.a wapiga dili..hizo hela wameenda kuwekeza nje ya nchi...endeleeni kuwa wapole.

#MaendeleoHayanaChama
 
Husika na mada tajwa hapo juu,
Kwako Waziri wa Afya UMMY MWALIMU, kwanza nikupe pole na majukumu yako ya kila siku japo ni wajibu wako kuyatekeleza, na pili nikupongeze kama Mbunge na Waziri kwa jinsi mnavyoendelea kuwalimbikia watanzania Tozo wakiwemo wananchi wako katika jimbo lako la Tanga Mjini, na Sasa tunaelekea Burundi baki peke yenu mpaka 2026,

Lengo kuu la mada yangu ni kutaka kujibiwa swali kama waziri mwenye dhamana kwenye wizara husika,
Wapo Watarajali wanaoendelea na MAFUNZO ya utarajali nchi nzima katika hospitali mbalimbali Tanzania, taarifa nilizozipokea inasemekana tangu walipopewa posho zao za mwezi JUNE/2022 hamjawalipa tena mpaka leo hii, na Kama ndivyo

1. Shida nini mpaka kutowalipa posho zao mpaka Sasa , Ili hali wapo huko wanawapambania ndugu zetu wagonjwa?

2.Wewe binafsi malupulupu, Mshahara vikisimamishwa ndani ya miezi miwili utakuwa na molari ya kukaa kwenye V8? Kama sivyo kwanini mcheleweshe posho zao Ili Hali nao wana majukumu ya kukabiliana nayo.

Ningependa kabla ya kufika Burundi niwe na majibu, kama Serikali imefilisika pamoja na tozo zote nalo nijue
Waziri Ummy hana shida atajibu. Ila huyu wa kuwataka watu wahamie Burundi ni kichefuchefu
 
Hivi balozi wa Burundi Tanzania anajisikiaje?
 
Hivi balozi wa Burundi Tanzania anajisikiaje?
Si hao wahuni wanajifanya kujua kuongea shit zao KWa wananchi ,Yani Sasa wanaona Kuna watu wa grade flani wanatakiwa kuishi tz wengine ni hawastahili, Hawa jamaa ni swala la mda
 
Back
Top Bottom