Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu nataka majibu katika mambo haya

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu nataka majibu katika mambo haya

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
8,406
Reaction score
9,619
Waziri utukufu wa mungu ukawe juu yako, na nakupa pole na majukum yako kwa mbali sana maana ni kazi yako na ujira unalipwa hufanyi bure.

Naja kwenye dhumuni la andiko hili, moja kwa moja maana u waziri mwenye dhamana kwa hili.

Ndugu waziri chini ya wizara yako vipo vitengo vingi ambavyo kwa umoja wake ni kuratibu huduma ya mwananchi chini ya watumishi katika wizara yako, hapa namanisha watu.

Lab, nurses, Dr, watalaam wa vifaa tiba, makatibu wa afya n.k

Kumekua na tabia imejiambukiza katika wizara yako ya kuwa na utitiri wa vyama kwa kila kundi tajwa hapo juu ambazo ndani yake, ukiritimba, ubinafsi, utendaji kazi chini ya viwango, ufisadi kwa wanachama wao ni wa kiwango SGR, wakati makundi tajwa hapo juu lengo kuu ni moja mtumikia mgonjwa au mwananchi. Je, walijua hili? Kama ndio why huchukui hatua.

Leo Tz tunaweza kua na mifumo inayoendana kidunia ila sio lazima kufanana, that's hata marais wa afrika walivyoenda kumzika malkia walipandishwa daladala, ila biden hakupanda, maana yake sio lazima fanana ila laweza fanyika jambo na wao wakaja kuiga.

Swali la pili
Kama kweli vitengo vyote tajwa hapo juu ni kutoa huduma kwa mgonjwa, na kweli wawapo chini huko mikoani wanashirikiana sana, why kuwa na mavyama ya kila secta huko juu,kwani pitia wizara hakuwezi kuwa na chombo kimoja kinacho ratibu magroup yote?

Leo haya mavyama ndani ya secta hii ya afya sio watoa huduma tena wamekua sasa kama miradi ya utafunaji, kazi kila siku utaambiwa ni vikao tu hakuna tija pale, na uwezo wa kutatua matatizo ya wanachama wao hawana fuatilia.

Mwisho

Napendekeza kuwa na chombo kimoja tena pitia wizara ya afya ambacho kwa muunganiko wa mtu mmojammoja kutoka kila idara tajwa hapo juu anaweza kuwa ndani ya chombo hicho na kutenda kazi kwa ufanisi, kuliko ilivyo sasa, ni uhuni tu
 
Mkuu mbon kama hujapitia vizuri madhara ya ule mkataba wa mwaka 1986?. Hizi ni zama za Uhuru uliotukuka. Ukikagua vizur utakuta Chama cha mama ntilie ni tofaut na Chama cha wapika chapati. Japokuw a wote Hao ni wapika chapati / mama ntilie. Lipo jibu sahihi hapo Lakin mfumo wa eti wafanyakazi wa afya chini ya Chama kimoja haiwezekani. Hiyo hiyo hela ya kiingilio cha uanachama Kuna baadhi yao Kwa kiwango cha mishahara yao ni kidogo, wengine ni kikubwa.
Huu mfumo wa Sasa unaruhus hata manesi wa daresalaam kufungua Chama Chao nje ya Chama cha manesi wote Tanzania. Ukiikagua vizur hili ni la manufaa zaidi kuliko ukiritimba. Ukiritimba na ufisadi humo ni tatizo lingine linalohitaji mikakati mingine kabisa.
 
Waziri utukufu wa mungu ukawe juu yako, na nakupa pole na majukum yako kwa mbali sana maana ni kazi yako na ujira unalipwa hufanyi bure.

Naja kwenye dhumuni la andiko hili, moja kwa moja maana u waziri mwenye dhamana kwa hili.

Ndugu waziri chini ya wizara yako vipo vitengo vingi ambavyo kwa umoja wake ni kuratibu huduma ya mwananchi chini ya watumishi katika wizara yako, hapa namanisha watu.

Lab, nurses, Dr, watalaam wa vifaa tiba, makatibu wa afya n.k

Kumekua na tabia imejiambukiza katika wizara yako ya kuwa na utitiri wa vyama kwa kila kundi tajwa hapo juu ambazo ndani yake, ukiritimba, ubinafsi, utendaji kazi chini ya viwango, ufisadi kwa wanachama wao ni wa kiwango SGR, wakati makundi tajwa hapo juu lengo kuu ni moja mtumikia mgonjwa au mwananchi. Je, walijua hili? Kama ndio why huchukui hatua.

Leo Tz tunaweza kua na mifumo inayoendana kidunia ila sio lazima kufanana, that's hata marais wa afrika walivyoenda kumzika malkia walipandishwa daladala, ila biden hakupanda, maana yake sio lazima fanana ila laweza fanyika jambo na wao wakaja kuiga.

Swali la pili
Kama kweli vitengo vyote tajwa hapo juu ni kutoa huduma kwa mgonjwa, na kweli wawapo chini huko mikoani wanashirikiana sana, why kuwa na mavyama ya kila secta huko juu,kwani pitia wizara hakuwezi kuwa na chombo kimoja kinacho ratibu magroup yote?

Leo haya mavyama ndani ya secta hii ya afya sio watoa huduma tena wamekua sasa kama miradi ya utafunaji, kazi kila siku utaambiwa ni vikao tu hakuna tija pale, na uwezo wa kutatua matatizo ya wanachama wao hawana fuatilia.

Mwisho
Napendekeza kuwa na chombo kimoja tena pitia wizara ya afya ambacho kwa muunganiko wa mtu mmojammoja kutoka kila idara tajwa hapo juu anaweza kuwa ndani ya chombo hicho na kutenda kazi kwa ufanisi, kuliko ilivyo sasa, ni uhuni tu
Waziri imulike hospitali ya maweni kigoma tunabambikiwa dawa unaambiwa au unaorodhoshewa dawa nyingi kwanza kabla ya vipimo kupata majibu na ukinunua hizo dawa mgonjwa hapewi baada yahapo huzioni tena ukienda kulalamika unaambiwa marahazionekani kwenye mfumo hili sio sawa
 
Waziri imulike hospitali ya maweni kigoma tunabambikiwa dawa unaambiwa au unaorodhoshewa dawa nyingi kwanza kabla ya vipimo kupata majibu na ukinunua hizo dawa mgonjwa hapewi baada yahapo huzioni tena ukienda kulalamika unaambiwa marahazionekani kwenye mfumo hili sio sawa
Kuna matatizo mengi , lakini mavyama haya yapo piga pesa, ujinga mtupu mkuu, utashanga bahadhi ya wanachama wanaenda field na kukuta Mambo sio , wengine lazimishwa mpaka ngono , ila akirudi kwenye mavyama haya , atazungushwa eti mpaka atoe rushwa , mavyama ya hovyo kweli mkuu
 
Waziri utukufu wa mungu ukawe juu yako, na nakupa pole na majukum yako kwa mbali sana maana ni kazi yako na ujira unalipwa hufanyi bure.

Naja kwenye dhumuni la andiko hili, moja kwa moja maana u waziri mwenye dhamana kwa hili.

Ndugu waziri chini ya wizara yako vipo vitengo vingi ambavyo kwa umoja wake ni kuratibu huduma ya mwananchi chini ya watumishi katika wizara yako, hapa namanisha watu.

Lab, nurses, Dr, watalaam wa vifaa tiba, makatibu wa afya n.k

Kumekua na tabia imejiambukiza katika wizara yako ya kuwa na utitiri wa vyama kwa kila kundi tajwa hapo juu ambazo ndani yake, ukiritimba, ubinafsi, utendaji kazi chini ya viwango, ufisadi kwa wanachama wao ni wa kiwango SGR, wakati makundi tajwa hapo juu lengo kuu ni moja mtumikia mgonjwa au mwananchi. Je, walijua hili? Kama ndio why huchukui hatua.

Leo Tz tunaweza kua na mifumo inayoendana kidunia ila sio lazima kufanana, that's hata marais wa afrika walivyoenda kumzika malkia walipandishwa daladala, ila biden hakupanda, maana yake sio lazima fanana ila laweza fanyika jambo na wao wakaja kuiga.

Swali la pili
Kama kweli vitengo vyote tajwa hapo juu ni kutoa huduma kwa mgonjwa, na kweli wawapo chini huko mikoani wanashirikiana sana, why kuwa na mavyama ya kila secta huko juu,kwani pitia wizara hakuwezi kuwa na chombo kimoja kinacho ratibu magroup yote?

Leo haya mavyama ndani ya secta hii ya afya sio watoa huduma tena wamekua sasa kama miradi ya utafunaji, kazi kila siku utaambiwa ni vikao tu hakuna tija pale, na uwezo wa kutatua matatizo ya wanachama wao hawana fuatilia.

Mwisho
Napendekeza kuwa na chombo kimoja tena pitia wizara ya afya ambacho kwa muunganiko wa mtu mmojammoja kutoka kila idara tajwa hapo juu anaweza kuwa ndani ya chombo hicho na kutenda kazi kwa ufanisi, kuliko ilivyo sasa, ni uhuni tu
Zipo taarifa za kweli wafanyakazi ,au watoa huduma walio chini ya mavyama haya pale wapatapo mateso au Mambo kijinga TOKA wafanyapo KAZI KWa vitendo au kama wahajiriwa , warudidipo kwenye vyama vyao imekua ni ujinga mtu , Sasa why endelea na ujinga huu badala ya kuwa na chombo kimoja TOKA wizara husika ,Kuna ushenzi mwingi Sana huko KWa mavyama
 
Back
Top Bottom