saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 624
- 1,456
Waziri wa Biashara, Ashatu Kijaji amewajibu wafanyabishara wa Kariakoo kuwa kilichotokea ni sehemu ya hatua za kimaendeleo na kwamba biashara sio Vita.
Kupitia ukurasa wake wa Instragram Waziri Kijaji ameandika hayo leo
Kupitia ukurasa wake wa Instragram Waziri Kijaji ameandika hayo leo