Hata sungura alizita ndizi sukari zilizoiva viurii,mbichi zina ukakasi🤪🤪Waziri wa Biashara, Ashatu Kijaji amewajibu wafanyabishara wa Kariakoo kuwa kilichotokea ni sehemu ya hatua za kimaendeleo na kwamba biashara sio Vita.
Kupitia ukurasa wake wa Instragram Waziri Kijaji ameandika hayo leo
ashatukijaji
Yaani kiongozi wa Umma anaweka akaunti yake private? Hiyo ni wizara yake binafsi? Au kama ni hivyo kwa nini asiongee kwa platform rasmi za serikali? Biashara sio vita?! Amewahi kufanya biashara huyu?! Biashara ni vita, ndio maana tunapigana vita ya kiuchumi na Kenya na Mabeberu kila siku!Waziri wa Biashara, Ashatu Kijaji amewajibu wafanyabishara wa Kariakoo kuwa kilichotokea ni sehemu ya hatua za kimaendeleo na kwamba biashara sio Vita.
Kupitia ukurasa wake wa Instragram Waziri Kijaji ameandika hayo leo
ashatukijaji
Ukiona mbwa just ya mti ujue kuna mtu amemuweka hapo ,Waziri wa Biashara, Ashatu Kijaji amewajibu wafanyabishara wa Kariakoo kuwa kilichotokea ni sehemu ya hatua za kimaendeleo na kwamba biashara sio Vita.
Kupitia ukurasa wake wa Instragram Waziri Kijaji ameandika hayo leo
ashatukijaji
Anayesema biashara sio vita hajawahi kuuza hata ubuyu.kila kitu tunamgharamikia na mshahara mnonoYaani kiongozi wa Umma anaweka akaunti yake private? Hiyo ni wizara yake binafsi? Au kama ni hivyo kwa nini asiongee kwa platform rasmi za serikali? Biashara sio vita?! Amewahi kufanya biashara huyu?! Biashara ni vita, ndio maana tunapigana vita ya kiuchumi na Kenya na Mabeberu kila siku!
Mungu ingilia kati uliokoe hili taifa na kama kuna mahali tulikokosea sana hasa kwenye lile kafara la kukimbiza moto! Mungu baba batilisha viapo, laana na malipizi yoteWaziri wa Biashara, Ashatu Kijaji amewajibu wafanyabishara wa Kariakoo kuwa kilichotokea ni sehemu ya hatua za kimaendeleo na kwamba biashara sio Vita.
Kupitia ukurasa wake wa Instragram Waziri Kijaji ameandika hayo leo
ashatukijaji
Wengi wao wapo na account za hivyo , wanapaswa kuzikabili changamoto za uongozi na si kuwa kama wafalme .
Ukishaona kiongozi anaweka private account jua kwamba hana hoja, hajiamini, anaogopa kukosolewa. Uongozi wa kupeana matokeo ndo haya.
Toka Mambo ya Maridhiano yaanze,watawala wamekua jeuri mara mbili,hawana uwoga tena na Upinzani!!Mungu ingilia kati uliokoe hili taifa na kama kuna mahali tulikokosea sana hasa kwenye lile kafara la kukimbiza moto! Mungu baba batilisha viapo, laana na malipizi yote
Kwa waaamini na waaminio wote tuseme AAAMEN [emoji1545]
Waziri wa hovyo kabisa kuwahi kutokeaWaziri wa Biashara, Ashatu Kijaji amewajibu wafanyabishara wa Kariakoo kuwa kilichotokea ni sehemu ya hatua za kimaendeleo na kwamba biashara sio Vita.
Kupitia ukurasa wake wa Instragram Waziri Kijaji ameandika hayo leo
ashatukijaji
Imagine Waziri wa viwamda na biashara anasema Biashara sio Vita? Mungu atusaidie tu, huyo mama kama amewahi kufanya hata biashara ya ubuyu, niitwe mbwa!Mungu ingilia kati uliokoe hili taifa na kama kuna mahali tulikokosea sana hasa kwenye lile kafara la kukimbiza moto! Mungu baba batilisha viapo, laana na malipizi yote
Kwa waaamini na waaminio wote tuseme AAAMEN [emoji1545]
Upinzani wa Chopa!Toka Mambo ya Maridhiano yaanze,watawala wamekua jeuri mara mbili,hawana uwoga tena na Upinzani!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Siyo vita! wakati nchi zote duniani zinapigana vita ya kiuchumi kuhakikisha biashara kwenye nchi zao zinashamiri, kwa kuiba hata idea na techniques kutoka nchi nyingine. Hadi washauri majasusi wa kiuchumi wapo ili kuhakikisha nchi Ina prevail kiuchumi. Huyu mama bhana? 😊Imagine Waziri wa viwamda na biashara anasema Biashara sio Vita? Mungu atusaidie tu, huyo mama kama amewahi kufanya hata biashara ya ubuyu, niitwe mbwa!
AmeeenMungu ingilia kati uliokoe hili taifa na kama kuna mahali tulikokosea sana hasa kwenye lile kafara la kukimbiza moto! Mungu baba batilisha viapo, laana na malipizi yote
Kwa waaamini na waaminio wote tuseme AAAMEN [emoji1545]
Swahiba wa saa100 ni mweupe kichwan haswaView attachment 2627570
Ukishaona kiongozi anaweka private account jua kwamba hana hoja, hajiamini, anaogopa kukosolewa. Uongozi wa kupeana matokeo ndo haya.