Waziri wa Elimu ataka shule ya Baobab kuchunguzwa kisa video chafu zilizosambaa

Waziri wa Elimu ataka shule ya Baobab kuchunguzwa kisa video chafu zilizosambaa

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekonolojia, Dkt. Adolf Mkenda amesema wizara hiyo itatuma timu ya wataalam Shule ya Sekondari Baobab iliyopo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kuchunguza kwa kina sakata la video zinazosambaa mtandaoni ambazo ni kinyume na maadili ya Kitanzania.

Soma pia: DOKEZO - √ - Mmomonyoko wa maadili shule ya Baobab, Mamlaka ziko kimya

Waziri Mkenda ametoa kauli hiyo mkoani Morogoro, wakati wa warsha ya tathmini ya utekelezaji wa kazi za mradi wa kuimarisha ubora wa elimu ya sekondari nchini


 
Wakuu,

Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekonolojia, Dkt. Adolf Mkenda amesema wizara hiyo itatuma timu ya wataalam Shule ya Sekondari Baobab iliyopo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kuchunguza kwa kina sakata la video zinazosambaa mtandaoni ambazo ni kinyume na maadili ya Kitanzania.

Waziri Mkenda ametoa kauli hiyo mkoani Morogoro, wakati wa warsha ya tathmini ya utekelezaji wa kazi za mradi wa kuimarisha ubora wa elimu ya sekondari nchini


Watachunguza nn?
 
Wakuu,

Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekonolojia, Dkt. Adolf Mkenda amesema wizara hiyo itatuma timu ya wataalam Shule ya Sekondari Baobab iliyopo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kuchunguza kwa kina sakata la video zinazosambaa mtandaoni ambazo ni kinyume na maadili ya Kitanzania.

Waziri Mkenda ametoa kauli hiyo mkoani Morogoro, wakati wa warsha ya tathmini ya utekelezaji wa kazi za mradi wa kuimarisha ubora wa elimu ya sekondari nchini


hawa ndo viongozi tulio nao hapa inchi...hizo video ana hakika gani kuwa ni za hiyo shule au kuna kielelezo kimeonyesha huko kwenye hio video?
 
hawa ndo viongozi tulio nao hapa inchi...hizo video ana hakika gani kuwa ni za hiyo shule au kuna kielelezo kimeonyesha huko kwenye hio video?
We unajua zaidi kuliko kiongozi wa serikali,huyo ni waziri wana wataalamu kibao wa kila nyanja, au we unajua zaidi mkuu
 
We unajua zaidi kuliko kiongozi wa serikali,huyo ni waziri wana wataalamu kibao wa kila nyanja, au we unajua zaidi mkuu
Kuchunguza nini kingine waziri anataka aone nini vipapa vingine?
 
Back
Top Bottom