Waziri wa Elimu ataka shule ya Baobab kuchunguzwa kisa video chafu zilizosambaa

Waziri wa Elimu ataka shule ya Baobab kuchunguzwa kisa video chafu zilizosambaa

Wakuu,

Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekonolojia, Dkt. Adolf Mkenda amesema wizara hiyo itatuma timu ya wataalam Shule ya Sekondari Baobab iliyopo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kuchunguza kwa kina sakata la video zinazosambaa mtandaoni ambazo ni kinyume na maadili ya Kitanzania.

Waziri Mkenda ametoa kauli hiyo mkoani Morogoro, wakati wa warsha ya tathmini ya utekelezaji wa kazi za mradi wa kuimarisha ubora wa elimu ya sekondari nchini


Waziri naye aliona, haya wale shule za international wamepata majibu yao.
 
Kwaiyo unashauri serikali waache lipite tu bila kuchukua hatua kisa wewe mkuu wa shule ya Baobab umeshauri ivyo? Maana we ni mtumishi wa hapo kwenye iyo shule.
Kuchunguza unataka uone nini Waziri unachotaka kukiona Mkeo hana?
 
Ukikaa kimya, shida!
Ukiongea, shida!

Ndio tulivyoumbwa binadamu
 
Kumbe waziri Naye aliziona hizo picha za xx.duh noma sana
 
We unajua zaidi kuliko kiongozi wa serikali,huyo ni waziri wana wataalamu kibao wa kila nyanja, au we unajua zaidi mkuu
Hao unao waita wataalamu nao ni binadamu kama ww mkuu...Wanaweza kuwa sawa na wanaweza kukosea pia.
 
Kama ilivyo asilimia kubwa ya wantanzania, hawa viongozi wanajali ngono tu.
 
Hizo video zilikuwa kuchafua tu iyo shule.
ZImechukuliwa tu huko mtandaon zikapewa wahusika. Uwo n Utafiti wangu nisha fanya
 
Back
Top Bottom