mbegubora29
JF-Expert Member
- Mar 14, 2015
- 513
- 338
Ile nintaasis ya elim sio ya kunyanduana na ikithibitika kama ni pale watatolewa ili wasiendelee kuwaambukiza wengineKuchunguza nini kingine kwamba wana malinda au hawana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile nintaasis ya elim sio ya kunyanduana na ikithibitika kama ni pale watatolewa ili wasiendelee kuwaambukiza wengineKuchunguza nini kingine kwamba wana malinda au hawana?
Waziri naye aliona, haya wale shule za international wamepata majibu yao.Wakuu,
Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekonolojia, Dkt. Adolf Mkenda amesema wizara hiyo itatuma timu ya wataalam Shule ya Sekondari Baobab iliyopo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kuchunguza kwa kina sakata la video zinazosambaa mtandaoni ambazo ni kinyume na maadili ya Kitanzania.
Waziri Mkenda ametoa kauli hiyo mkoani Morogoro, wakati wa warsha ya tathmini ya utekelezaji wa kazi za mradi wa kuimarisha ubora wa elimu ya sekondari nchini
Kuchunguza unataka uone nini Waziri unachotaka kukiona Mkeo hana?Kwaiyo unashauri serikali waache lipite tu bila kuchukua hatua kisa wewe mkuu wa shule ya Baobab umeshauri ivyo? Maana we ni mtumishi wa hapo kwenye iyo shule.
Angechunguza kimya kimya bila mapambioIle nintaasis ya elim sio ya kunyanduana na ikithibitika kama ni pale watatolewa ili wasiendelee kuwaambukiza wengine
Siwezi kutoa maoni kwa kitu ambacho sijakiona ntakuwa mnafikiMimi nasikia sikia tu video video na sijaziona
Huko kwa mama zako vipi au wao hawafundishwi?Watoto wameonyesha mambo ya Wazaramo mkoleni hadharani
Kwani kunyandua maana yake ?Aaaagh we mhusika nn mbona umekaza ubongo!?
Waulize mama zakoHuko kwa mama zako vipi au wao hawafundishwi?
Watoto hao wanabanduliwa muda huu wanachunguza nini na wanasema hio video sio ya leo wala jana hao mabinti wanaoonekana sasa hivi wapo vyuoni hukoKwani kunyandua maana yake ?
Mimi nili comment pasipo kujua maana yake.
DuuhKwani kunyandua maana yake ?
Mimi nili comment pasipo kujua maana yake.
Yaa..unafikiri amejuaje bila kuangaliaAliziangalia!?
Hao unao waita wataalamu nao ni binadamu kama ww mkuu...Wanaweza kuwa sawa na wanaweza kukosea pia.We unajua zaidi kuliko kiongozi wa serikali,huyo ni waziri wana wataalamu kibao wa kila nyanja, au we unajua zaidi mkuu
Wewe si ndiyo unajua mila za makabila mbalimbali?Waulize mama zako