Waziri wa Elimu ataka shule ya Baobab kuchunguzwa kisa video chafu zilizosambaa

Waziri wa Elimu ataka shule ya Baobab kuchunguzwa kisa video chafu zilizosambaa

Watoto hao wanabanduliwa muda huu wanachunguza nini na wanasema hio video sio ya leo wala jana hao mabinti wanaoonekana sasa hivi wapo vyuoni huko
kuna video ile ya nyimbo ya JB. Iyo video n ya kitambo sana na wale watu hawangei kiswahili . Toka iyo nyimbo y 'Sorry' imetoka mpa sasa n almost 8 yrs itakuaje hiyo clip iwe ya hv karbun. Wakat huko telegram grps video ina miaka mngi na inasemekan n wa malawi
 
hawa ndo viongozi tulio nao hapa inchi...hizo video ana hakika gani kuwa ni za hiyo shule au kuna kielelezo kimeonyesha huko kwenye hio video?
Mbona rahisi tu. Peleka video wananafunzi watatambuana. Usiweke vikwazo. Hata hili wewe lingekushinda kufanya.? Hata hiyo video unatoa picha.
 
Back
Top Bottom