Watachunguza nn?Wakuu,
Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekonolojia, Dkt. Adolf Mkenda amesema wizara hiyo itatuma timu ya wataalam Shule ya Sekondari Baobab iliyopo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kuchunguza kwa kina sakata la video zinazosambaa mtandaoni ambazo ni kinyume na maadili ya Kitanzania.
Waziri Mkenda ametoa kauli hiyo mkoani Morogoro, wakati wa warsha ya tathmini ya utekelezaji wa kazi za mradi wa kuimarisha ubora wa elimu ya sekondari nchini
Nan aliwashawishi wanyanduane!? Nan aliwarekod!? Na nan alituma mtandaon!? Na mazingira yapi wezeshi!?Watachunguza nn?
hawa ndo viongozi tulio nao hapa inchi...hizo video ana hakika gani kuwa ni za hiyo shule au kuna kielelezo kimeonyesha huko kwenye hio video?Wakuu,
Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekonolojia, Dkt. Adolf Mkenda amesema wizara hiyo itatuma timu ya wataalam Shule ya Sekondari Baobab iliyopo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kuchunguza kwa kina sakata la video zinazosambaa mtandaoni ambazo ni kinyume na maadili ya Kitanzania.
Waziri Mkenda ametoa kauli hiyo mkoani Morogoro, wakati wa warsha ya tathmini ya utekelezaji wa kazi za mradi wa kuimarisha ubora wa elimu ya sekondari nchini
Ulikuwepo wakati wananyanduana au wewe ndio ulikuwa unanyanduliwa ?Nan aliwashawishi wanyanduane!? Nan aliwarekod!? Na nan alituma mtandaon!? Na mazingira yapi wezeshi!?
Aaaagh we mhusika nn mbona umekaza ubongo!?Ulikuwepo wakati wananyanduana au wewe ndio ulikuwa unanyanduliwa ?
hawa ndo viongozi tulio nao hapa inchi...hizo video ana hakika gani kuwa ni za hiyo shule au kuna kielelezo kimeonyesha huko kwenye hio vidndo maana ya uchunguz ili waje na majib ya kisayansi Kwann unalalama
DuuuhVideo zenyewe ziko wapi
Lawama za nn sasa ngoja wachumguz waje na majibNchi iliyokosa dira.
Viongozi kutwa kutwa wako TikTok kuangalia nini kinatrend wachukue kiki.
We unajua zaidi kuliko kiongozi wa serikali,huyo ni waziri wana wataalamu kibao wa kila nyanja, au we unajua zaidi mkuuhawa ndo viongozi tulio nao hapa inchi...hizo video ana hakika gani kuwa ni za hiyo shule au kuna kielelezo kimeonyesha huko kwenye hio video?
Mimi nasikia sikia tu video video na sijazionaVideo zenyewe ziko wapi
Kuchunguza nini kingine kwamba wana malinda au hawana?Lawama za nn sasa ngoja wachumguz waje na majib
Kuchunguza nini kingine waziri anataka aone nini vipapa vingine?We unajua zaidi kuliko kiongozi wa serikali,huyo ni waziri wana wataalamu kibao wa kila nyanja, au we unajua zaidi mkuu
Watoto wameonyesha mambo ya Wazaramo mkoleni hadharaniZipo wapi tumsaidie kuchunguza. Aziweke hapa
Kwaiyo unashauri serikali waache lipite tu bila kuchukua hatua kisa wewe mkuu wa shule ya Baobab umeshauri ivyo? Maana we ni mtumishi wa hapo kwenye iyo shule.Kuchunguza nini kingine waziri anataka aone nini vipapa vingine?