KERO Waziri wa Elimu Prof. Mkenda, tueleze mitihani ya kila wiki kwa kuwalipisha wazazi mchango wa Tsh. 1,500 kila Ijumaa , ndiyo sera uliyoiruhusu?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Kila Ijumaa wazazi tunadaiwa shs 1,500 kama ada ya mtihani. Je walimu wanafanya haya kwa ruhusa ya Wizara kama examination policy?

Mtoto asipoleta hela anapigwa. Tupelekane mahakamani na walimu wako kwa kuwapiga watoto bila sababu? Kama mtoto hakupewa hela, unampiga ili hela aitoe wapi?

Au Ni miradi ya waalimu kujiongezea kipato?
Wazazi watashindwa

Nitakupa ushahidi kama ukihitaji uthibitisho

Soma :
 
Mmh!!! 1500, elimu haijawahi kua ya bure au kwasbb CCm inawapumbaza ili mjipe kura, ata nchi zilio endelea hamna services za elimu za bure, mzazi kubali kubeba msalaba wa mwanao, otherwise acha kuzaa,....
 
Mzazi nenda shule kamuone mkuu wa shule mwambie "sitaki mwanangu afanye hiyo mitihani, sitaki kuombwa hiyo hela wala sitaki mwanangu aguswe"

Pia usisahau kwenye vikao vya wazazi chukua mic sema hautaki hiyo mitihani haukubaliani na hilo swala hivyo hautatoa pesa
 
Hili jambo huwa linanitafakarisha sana.Majibu ni muhimu.Asubuhi hii nimeshaumizwa.
 
Ninataka tamko la serikali, kama ni policy ya wizara, then it needs another approach, kama ni miradi ya walimu, then also needs a different approach!
Waziri atoe tamko, then one from there will see the way forwrd!
 
Ili mtoto afanyiwe visa kama vya mama mwenye nyumba na mpangaji bodaboda?Linahitajika jibu la jumla.Michango-kero ni ruhusa mashuleni?
 
Mmh!!! 1500, elimu haijawahi kua ya bure au kwasbb CCm inawapumbaza ili mjipe kura, ata nchi zilio endelea hamna services za elimu za bure, mzazi kubali kubeba msalaba wa mwanao, otherwise acha kuzaa,....
Tunataka tamkola serikali. kama ni rasmi, wazazi tujue, kama ni miradi ya walimu tujue! Issue siyo kulipa, issue je unamlipa nani? Mradi wa mwalimu?
 
Ninataka tamko la serikali, kama ni policy ya wizara, then it needs another approach, kama ni miradi ya walimu, then also needs a different approach!
Waziri atoe tamko, then one from there will see the way forwrd!
Sio mradi wa walimu bali ni makubaliano ya wazazi katika vikao, kuomba watoto waongezewe ufaulu..... Hivyo walimu ni watekelezaji.

Kama unachukua hatua chukua tu, hakuna serikali itakuja kukupa tamko kwenye hilo.
 
Ya ukweli haya. Tena hata likizo siku hizi watoto wanalazimishwa kwenda shule. Asipoenda anachezea bakora. Waalimu ni watu wapumbavu kama bodaboda.
 
Sio mradi wa walimu bali ni makubaliano ya wazazi katika vikao, kuomba watoto waongezewe ufaulu..... Hivyo walimu ni watekelezaji.

Kama unachukua hatua chukua tu, hakuna serikali itakuja kukupa tamko kwenye hilo.
Kuhusu vipigo na kufukuza watoto shuleni ambao hawajapewa na wazazi/walezi hiyo michango?Jibu wakati tunasubiri majibu ya maswali ya awali.
 
Tunataka tamkola serikali. kama ni rasmi, azazi tujue, kama ni miradi ya walimu tujue! Issue siyo kulipa, issue je unamlipa nani? Mradi wa mwalimu?
Tamko halipo mkuu 😹 ndio maana nakuambia chukua hatua
 
Kuhusu vipigo na kufukuza watoto shuleni ambao hawajapewa na wazazi/walezi hiyo michango?Jibu wakati tunasubiri majibu ya maswali ya awali.
Huo utaratibu wa kupiga watoto hata mie siupendi kwakweli unanikwaza sanaaa ndio wazazi msimame sasa.....sio kuandika tu huku watoto wakati wenu wanaoga fimbo
 
Wewe ni mzazi?

Jambo hili ni la waziri?

Ni kwamba jambo hili linaishia kwa vikao vya wazazi wa shule husika.

Kama wewe huna uwezo; pitia vikao vya wazazi.
 
kama mitihan inawajenga watoto na wakimu wanajipinda sion tatizo.hela ngap unapoteza kwneye mambo ya ovyo ovyo. kulipia mtihan tu ndio umaiiiiindii?? enz zeti pale kwa mudi maphizikizs mnalipq pindi sh 100.na ilikua kubwa kweli..kwa ustadh kule unapiga pepa kwa 500 la languages na mnakua mnajinoa
acheni unaaa
 
Mtoto wako wajibika
Wewe unataka mtoto wako alipiwe na nani?
Ile mitihani inahitajika gharama za stationery a
Kulipa 1500 Kwa week hadi ufungue Uzi wa kulalamika
Mtoto wa darasa la pili anachangia 2000 kwa mitihani miwili(copies) yenye gharama halisi ya urudufishaji ni Tsh 200 unaona ni sawa?
 
Ili mtoto afanyiwe visa kama vya mama mwenye nyumba na mpangaji bodaboda?Linahitajika jibu la jumla.Michango-kero ni ruhusa mashuleni?
Mtoto akirudi nyumbani muulize shuleni hali ikoje nini kinaendelea, kama kafanyiwa kisa muulize huyo mwalimu.....kisha kaonane na mwalimu uso kwa jicho, mwanao afanyiwe ndivyo sivyo unaogopa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…